Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 797
- 2,233
Labda her days are numbered.Kuna kitu anaumwa hadi aombewe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda her days are numbered.Kuna kitu anaumwa hadi aombewe??
Kuna wagonjwa na watu wenye shida mbalimbali wanahitaji kuombewa
MhhhKuna wagonjwa na watu wenye shida mbalimbali wanahitaji kuombewa
Umetususa na Wewe!!Sawa[emoji123][emoji123][emoji123]
Hadhi ya ofisi ya CEO wa kampuni imekuwa ikibadilika badilika kutokana na haiba na hulka binafsi ya "office bearer" na wala si kuendana na matakwa ya "culture" . Jambo hili limepelekea uongozi wa kampuni uwe chini ya maslahi binafsi ya kundi fulani lenye kummudu CEO aliyepo madarakani.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.....[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1241][emoji125][emoji125]
Bamwe bashobora kwibaza bati ‘niba Imana ari Umuremyi mwizakandi urangwa n’urukundo, ni gute yashoboraga kurema ikiremwa cy’umwuka kibi, ari cyo NAPE and January?’
WordHadhi ya ofisi ya CEO wa kampuni imekuwa ikibadilika badilika kutokana na haiba na hulka binafsi ya "office bearer" na wala si kuendana na matakwa ya "culture" . Jambo hili limepelekea uongozi wa kampuni uwe chini ya maslahi binafsi ya kundi fulani lenye kummudu CEO aliyepo madarakani.
Jambo la hatari ni pale viongozi wa vyombo vya kuthibiti usalama na ulinzi wa kampuni vinapokuwa si sehemu ya maslahi mapana ya kampuni, na badala yake kuwa ni sehemu ya maslahi binafsi ya kundi dogo lenye mikakati ya siri ya kuzidi kuneemeka na mali zote za kampuni.
Jambo la hatari zaidi ndani ya simulizi hii ya Yoga ni kuwa, ni kundi hili tu ndilo lenye kuamua nani awe nani ndani ya kampuni, na pia wao tu, watoto wao na jamaa zao ndiyo pekee wenye kuweza kuaminika kushika vitengo vyote nyeti ndani ya kampuni.
Kampuni inapoelekea itakuwa ni ya watu kutoka ndani ya kundi hilo ndio pekee watapaswa kuandaliwa kuishika nafasi ya uCEO, na kwa mtindo wa kirithishana kama vile ni milki ya kifalme. Baba alikuwa CEO, mtoto atakuwa CEO, mjukuu pia ataandaliwa kuwa hivyo hivyo, hatimaye milki ya kifalme itakuja kuwa sehemu ya koo fulani fulani tu ndani ya kampuni.
Umuhimu wa mchakato wa kupata "new culture" ndani ya kampuni ni muhimu mno. CEO wa sasa wa kampuni akitaka kuweka historia kubwa katika maisha yake, itampasa afanye hivyo, la sivyo kundi hili lenye hila mbovu itakuja chukua muda mrefu kulithibiti, na hata kuiweka kampuni katika hatari ya kufilisika na rehani ya kupigwa mnada.
Hadhi ya ofisi ya CEO wa kampuni imekuwa ikibadilika badilika kutokana na haiba na hulka binafsi ya "office bearer" na wala si kuendana na matakwa ya "culture" . Jambo hili limepelekea uongozi wa kampuni uwe chini ya maslahi binafsi ya kundi fulani lenye kummudu CEO aliyepo madarakani.
Jambo la hatari ni pale viongozi wa vyombo vya kuthibiti usalama na ulinzi wa kampuni vinapokuwa si sehemu ya maslahi mapana ya kampuni, na badala yake kuwa ni sehemu ya maslahi binafsi ya kundi dogo lenye mikakati ya siri ya kuzidi kuneemeka na mali zote za kampuni.
Jambo la hatari zaidi ndani ya simulizi hii ya Yoga ni kuwa, ni kundi hili tu ndilo lenye kuamua nani awe nani ndani ya kampuni, na pia wao tu, watoto wao na jamaa zao ndiyo pekee wenye kuweza kuaminika kushika vitengo vyote nyeti ndani ya kampuni.
Kampuni inapoelekea itakuwa ni ya watu kutoka ndani ya kundi hilo ndio pekee watapaswa kuandaliwa kuishika nafasi ya uCEO, na kwa mtindo wa kirithishana kama vile ni milki ya kifalme. Baba alikuwa CEO, mtoto atakuwa CEO, mjukuu pia ataandaliwa kuwa hivyo hivyo, hatimaye milki ya kifalme itakuja kuwa sehemu ya koo fulani fulani tu ndani ya kampuni.
Umuhimu wa mchakato wa kupata "new culture" ndani ya kampuni ni muhimu mno. CEO wa sasa wa kampuni akitaka kuweka historia kubwa katika maisha yake, itampasa afanye hivyo, la sivyo kundi hili lenye hila mbovu itakuja chukua muda mrefu kulithibiti, na hata kuiweka kampuni katika hatari ya kufilisika na rehani ya kupigwa mnada.
Nami nimekuja kuliona hiloHizi mbwa zipo za kutosha humu
UNABII JUU YA 2023.
According to Hebrews callender.
Mwaka mpya unaanza October. In other way tumeshauanza mwaka mpya 2023.
VITA DHIDI ya KANISA 2023.
Kuna vita inaendelea ktk Ulimwengu wa Roho Kwa miezi mitatu Oct, November na December.
Matokeo ya vita hiyo yatakuja kuonekana baada ya miezi 3 ya kule ktk Ulimwengu wa Roho ilikoanzia, Hivyo ktk uhalisia itaonekana JAN, FEB na MARCH 2023 ktk Ulimwengu wa mwili.
Watumishi wa Mungu watashambuliwa Kwa Kila njia kuhakikisha Mungu hapati Ibada duniani.
Watu wa Mungu wanaaswa kuomba Ili pasiwepo majanga March 2023 ktk mataifa.
Maombi serious yanaendelea Kwa Walio wa Mungu bt kama huombi jua you are in trouble maana wataanguka Kwa Tauni na upanga WANADAMU wengi Hasa WAOVU.
Kutatokea:
1.VITA ktk mataifa. 2. NJAA. 3. Riots au Maandamano. 4. Magonjwa 5. Economic stagnation, Nk. Nk nk.
Kuna vuguvugu limeanza ktk Nchi mojawapo EA, viongozi wanapuuza wanaaminia farasi na wapanda farasi wengi walionao.
Kama Pana mtu ANAONA anapita kipindi kigumu, tunapoelekea Hali itakuwa zaidi ya hapo.
SABABU ZA MAGUMU KUIKUMBA DUNIA.
1. Dhambi na UOVU uumezidi ktk Nchi hivyo adhabu lazima ije ktk Nchi mfano,
Disney channel Kuna cartoon ya KIPEPO inaitwa LITTLE DEMON, inalenga kuwaingizia watoto kuanzia 3 years na kuendelea wavamiwe na Roho ya Ushoga na usagaji na waamini single gender marriage ni jambo la kawaida.
2. RUSHWA imetapakaa ktk mataifa, HAKI na msingi aloweka Mungu haufuatwi. Damu ya wasio na hatia imemwagwa sana. Nk n k nk
3. YEZEBELI kushikilia REMOTE control kuwaongoza Wafalme wa Dunia kufuata maelekezo ya BAAL na SHETANI.
Mungu asema, Hakuna AMANI itatawala kama Bado YEZEBELI anatawala.
Uasi utatokea, Vita, Magonjwa nk, umelenga kusafisha waovu wote Ili wale WATAKATIFU wakaao Duniani wapate kupumua.
Kizazi Cha vijana waloharibiwa na YEZEBELI kitainuka dhidi ya wazazi na viongozi wao na kuleta sintofahamu ktk JAMII na Nchi nyingi.
PREPARE THE WAY OF THE LORD.
YEZEBELI wakati wa Kuzaliwa Kwa Yesu alilenga kuwauwa watoto wote Ili YESU pia auawe, bt hakuweza sababu Mungu alimficha.
Alipozaliwa MUSA Nabii, waliuawa maelfu ya watoto Ili Mission ya Ukombozi wa Wana wa Mungu usifanikiwe, bt Apangacho Mungu ndicho hutimia.
Ktk mazingira ya ugumu wa Maisha, kundi kubwa la waliokandamizwa ,Mungu atawapa uwezo waje juu Ili kudai MABADILIKO na HAKI ktk Nchi nyingi.
Uchumi utayumba, njaa itazidi, utulivu utakosekana.
Kitainuka kizazi kitakachoulizia yupo wapi Mungu wa ELIYA aliyepasua mto kupitia vazi la ELIYA mkononi mwa MTUMISHI wake Elisha.
Watataka mabadiliko, HAKI na sauti zao hazitaweza kuzuilika.
A SMALL WINDOW IN HEAVEN.
Itakuwepo njia ndogo mfano wa Dirisha litakalotumika kama Escape route Kwa watu makini, Wana wa Mungu watakaochukua mambo haya ktk Umakini wake.
Watakaoomba na KUTUBU na kuishi maisha ya utakatifu.
EZEKIEL 33:1-4
Yasema Watch man au mlinzi aliye juu ya mnara, akiona HATARI inakuja ktk Nchi yake KAZI yake ni kupress ALARM.📢📢📢📢🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺
Alarm imeshalia, imewaarifu wakaao ktk Dunia, Mataifa na Nchi Ili wajiandae Kwa yajayo.
Na mlinzi asipopress ALARM kuwastua anaowalinda, na yakatokea Madhara, DAMU ya watakaoanguka Kwa Upanga itadaiwa mikononi mwa mlinzi huyo.
Nabii amefikisha ujumbe Kwa mataifa.
NOTE. Mambo yote huanzia ktk Ulimwengu wa ROHO kabla ya kuja Kutokea ktk Ulimwengu wa mwili.
Vita inaendelea. Matokeo ya vita ya kiroho yataonekana miezi mitatu baada ya October 2022, yaani Jan, Feb na March.
Tukiomba ipasavyo March 20, 2023 madhara yatakuwa kidogo.
Bt time frame ni kuanzia 20 0ctober 2022 Hadi 20 march 2023.
Mwenye sikio na asikie.
Ameeeeen.
Unabii wa 2023 Unaendelea:UNABII JUU YA 2023.
According to Hebrews callender.
Mwaka mpya unaanza October. In other way tumeshauanza mwaka mpya 2023.
VITA DHIDI ya KANISA 2023.
Kuna vita inaendelea ktk Ulimwengu wa Roho Kwa miezi mitatu Oct, November na December.
Matokeo ya vita hiyo yatakuja kuonekana baada ya miezi 3 ya kule ktk Ulimwengu wa Roho ilikoanzia, Hivyo ktk uhalisia itaonekana JAN, FEB na MARCH 2023 ktk Ulimwengu wa mwili.
Watumishi wa Mungu watashambuliwa Kwa Kila njia kuhakikisha Mungu hapati Ibada duniani.
Watu wa Mungu wanaaswa kuomba Ili pasiwepo majanga March 2023 ktk mataifa.
Maombi serious yanaendelea Kwa Walio wa Mungu bt kama huombi jua you are in trouble maana wataanguka Kwa Tauni na upanga WANADAMU wengi Hasa WAOVU.
Kutatokea:
1.VITA ktk mataifa. 2. NJAA. 3. Riots au Maandamano. 4. Magonjwa 5. Economic stagnation, Nk. Nk nk.
Kuna vuguvugu limeanza ktk Nchi mojawapo EA, viongozi wanapuuza wanaaminia farasi na wapanda farasi wengi walionao.
Kama Pana mtu ANAONA anapita kipindi kigumu, tunapoelekea Hali itakuwa zaidi ya hapo.
SABABU ZA MAGUMU KUIKUMBA DUNIA.
1. Dhambi na UOVU uumezidi ktk Nchi hivyo adhabu lazima ije ktk Nchi mfano,
Disney channel Kuna cartoon ya KIPEPO inaitwa LITTLE DEMON, inalenga kuwaingizia watoto kuanzia 3 years na kuendelea wavamiwe na Roho ya Ushoga na usagaji na waamini single gender marriage ni jambo la kawaida.
2. RUSHWA imetapakaa ktk mataifa, HAKI na msingi aloweka Mungu haufuatwi. Damu ya wasio na hatia imemwagwa sana. Nk n k nk
3. YEZEBELI kushikilia REMOTE control kuwaongoza Wafalme wa Dunia kufuata maelekezo ya BAAL na SHETANI.
Mungu asema, Hakuna AMANI itatawala kama Bado YEZEBELI anatawala.
Uasi utatokea, Vita, Magonjwa nk, umelenga kusafisha waovu wote Ili wale WATAKATIFU wakaao Duniani wapate kupumua.
Kizazi Cha vijana waloharibiwa na YEZEBELI kitainuka dhidi ya wazazi na viongozi wao na kuleta sintofahamu ktk JAMII na Nchi nyingi.
PREPARE THE WAY OF THE LORD.
YEZEBELI wakati wa Kuzaliwa Kwa Yesu alilenga kuwauwa watoto wote Ili YESU pia auawe, bt hakuweza sababu Mungu alimficha.
Alipozaliwa MUSA Nabii, waliuawa maelfu ya watoto Ili Mission ya Ukombozi wa Wana wa Mungu usifanikiwe, bt Apangacho Mungu ndicho hutimia.
Ktk mazingira ya ugumu wa Maisha, kundi kubwa la waliokandamizwa ,Mungu atawapa uwezo waje juu Ili kudai MABADILIKO na HAKI ktk Nchi nyingi.
Uchumi utayumba, njaa itazidi, utulivu utakosekana.
Kitainuka kizazi kitakachoulizia yupo wapi Mungu wa ELIYA aliyepasua mto kupitia vazi la ELIYA mkononi mwa MTUMISHI wake Elisha.
Watataka mabadiliko, HAKI na sauti zao hazitaweza kuzuilika.
A SMALL WINDOW IN HEAVEN.
Itakuwepo njia ndogo mfano wa Dirisha litakalotumika kama Escape route Kwa watu makini, Wana wa Mungu watakaochukua mambo haya ktk Umakini wake.
Watakaoomba na KUTUBU na kuishi maisha ya utakatifu.
EZEKIEL 33:1-4
Yasema Watch man au mlinzi aliye juu ya mnara, akiona HATARI inakuja ktk Nchi yake KAZI yake ni kupress ALARM.📢📢📢📢🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺
Alarm imeshalia, imewaarifu wakaao ktk Dunia, Mataifa na Nchi Ili wajiandae Kwa yajayo.
Na mlinzi asipopress ALARM kuwastua anaowalinda, na yakatokea Madhara, DAMU ya watakaoanguka Kwa Upanga itadaiwa mikononi mwa mlinzi huyo.
Nabii amefikisha ujumbe Kwa mataifa.
NOTE. Mambo yote huanzia ktk Ulimwengu wa ROHO kabla ya kuja Kutokea ktk Ulimwengu wa mwili.
Vita inaendelea. Matokeo ya vita ya kiroho yataonekana miezi mitatu baada ya October 2022, yaani Jan, Feb na March.
Tukiomba ipasavyo March 20, 2023 madhara yatakuwa kidogo.
Bt time frame ni kuanzia 20 0ctober 2022 Hadi 20 march 2023.
Mwenye sikio na asikie.
Ameeeeen.
ITAENDELEA,.........................
AisehUnabii wa 2023 Unaendelea:
MTO FRATI / EUPHRATES KUKAUKA.
MTO huu ni Moja ya mito mikubwa Duniani, Ina urefu wa 1700 miles na upana wa 1.7 miles.
MTO huu unapita ktk Nchi mbili za Syria na Iraqi. MTO huu ni Moja kati ya mito 4 iliyoizunguka Edeni.
MTO huu umekauka Kwa muda mfupi sana maana 2020 ulikuwa Haina dalili za kuwa kama ulivyo Leo.
UNABII KTK BIBLIA.
UFUNUO 16:12. Says:
Na huyo wa SITA akakimimina kitasa chake juu ya MTO Ule mkubwa FRATI, maji yake yakakauka, Ili njia itengenezwe Kwa WAFALME watokao ktk MAWIO YA JUA.
UFUNUO 9:14. Kufunguliwa Kwa Malaika 4 Walofungwa MTO FRATI. Bible says;
Sauti Kutoka PEMBE ya madhabahu iliyo mbele ya MUNGU ilisema, Ikimwambia yule Malaika wa SITA aliyekuwa na baragumu, wafungue, nao Malaika wanne waliofungwa kwenye MTO mkubwa FRATI/ Euphrates.
UFUNUO 6:7&8. Muhuri wa nne kufunguliwa 2019/2020:
Na tazama farasi wa RANGI ya kijivujivu na Yeye aliyempanda, Jina lake ni MAUTI na KUZIMU akafuatana naye.
Nao wakapewa mamlaka juu ya ROBO ya nchi, WAUE Kwa upanga, na Kwa njaa na Kwa Tauni na Kwa hayawani wa Nchi.
Muhuri wa nne ulipofunguliwa 2019/2020 ndipo liliruhusiwa JANGA la CORONA ktk Dunia.
Na Nia ni kuua ROBO ya Watu bil 7 waliopo duniani. Corona imeondoka na wake, vita zinaendelea na majanga mengine pia yanaendelea.
Nabii wa Mungu kabla muhuri wa nne kufunguliwa, aliambiwa Aombee Dunia Ili WAOKOLEWE angalau watu 50 milioni Kila Nchi Kwa wastani.
KUKAUKA Kwa MTO FRATI / Euphrates ni Ishara pia ya kufunguliwa Kwa Malaika 4 waliofungwa baada ya kuasi sawasawa na kitabu Cha mwanzo. Walifungwa ktk MTO huo na sasa wamefunguliwa (Ufu.9:14).
Malaika hao ndio watakaowaongoza WAFALME watokao ktk MAWIO ya JUA. East. Na watapita ktk MTO huo Ukiwa mkavu Kwa miguu kama ilivyotabiriwa ktk (UFUNUO 16:12.).
Na WAFALME hao 4 watapita ktk MTO huo, watembeapo Kwa miguu crossing FRATI river wakiwa na Askari wa vita 200 ml. Wakiongozwa na Malaika wanne waasi.
Baada ya dalili hizo na UFUNUO huo Kutokea, ISRAEL tayari inajiandaa Kwa vita 2023 maana unabii unasema mataifa yataungana kwenda kuishambulia Israeli.
ONYO.
Vita hivi vinavyoenda Kutokea ktk mataifa vinalenga kuua ROBO ya wakazi 7 bilioni walionktk uso wa Dunia,
Hivyo walioombewa wapone angalau watu ml 50 ktk Kila Nchi ktk Dunia ni WATAKATIFU, wamchao Mungu, Wana wa Mungu ndo watapona.
Malaika 4 waasi waliofunguliwa wataungana na shetani na majeshi yake kuua watu zaidi ya 1.8 bilioni people ambao ndo inakadiriwa kuwa ROBO ya Watu bil 7 Walio duniani.
Acha dhambi, Vaa magunia, uomboleze na mtafute Mungu Ili uwe mmoja wa watakaosalimika au kuokolewa.
Pesa ktk ac Yako, bunduki Yako, uchawi wako, au marafiki zako walevi hawatakuokoa ma majanga yajayo, njia pekee ni kugeuka na kutubu na kuacha UOVU.
Shetani anayewapumbaza ktk starehe na ulevi KAZI yake ni kuiba, kuharibu na kuua, hawezi Kuokoa, zaidi ya hapo anakuwazia mabaya akuangamize.
🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎷🎺🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊
Asomaye na Afahamu. Na mwenye sikio na asikie.
Ameeeeeen.
day is night and night is day, He is coming and he is on the way, he is coming, preparation is necessary day, morning, evening and night only those who seek the Lord and will see him in the party.Aiseh
Ngoja niurudie ULE unyenyekevu wangu wa zamani
Nimeogopa Sana kwakweli!
Mungu atusaidie!!
Asante KWA NENO mtumishi!!
Those who seek him will see him in the PARTY kivipi tena CIA mgumu?day is night and night is day, He is coming and he is on the way, he is coming, preparation is necessary day, morning, evening and night only those who seek the Lord and will see him in the party.
Sipo mbali sana ila nilitaka kuweka nguo ya kaniki mbele ili wasioijua kaniki ina rangi gani waone kuwa ni giza kumbe ni nguo tu ya kaniki na wakiitoa panabaki na mwangaThose who seek him will see him in the PARTY kivipi tena CIA mgumu?
Ingawa hujakosea sana, me natafuta majibu ya Siasa za kidunia Biblically.
Hiyo ndo zamu yangu.
Ameeeen.