Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nape anasema Mama apewe mda hadi 2030 wakati Katiba inasema hivyo wala siyo huruma na utashi wa Nape na kwa kauli hii ya Nape inadhihirisha ni kiasi gani Mama hapendwi na wana ccm japo wanajificha kutoka hadharani kulikua na ulazima gani kwa Nape kutamka hoja ambayo katiba ya Nchi na Ya ccm Dr Samia bado anastahili kufika2030? Kauli ya Nape ni ya kiuhaini kabisa nilitegemea wangejitokeza wale maji safi kukemea kauli hii kama desturi yao kuwashambulia wenzao lakini nashangaa wapo kimya.....

Mama amekwisha jengewa boma wameshamzungushia michongoma na miiba sijui kama anajua na kama anajua basi hana uhakika au anajua ni utani tu tuliozea wa makabila yetu ila safari hii nasema wako serious very serious kuna jambo walijifunza 2015-21.
 
Nape anasema Mama apewe mda hadi 2030 wakati Katiba inasema hivyo wala siyo huruma na utashi wa Nape na kwa kauli hii ya Nape inadhihirisha ni kiasi gani Mama hapendwi na wana ccm japo wanajificha kutoka hadharani kulikua na ulazima gani kwa Nape kutamka hoja ambayo katiba ya Nchi na Ya ccm Dr Samia bado anastahili kufika2030?
Mama amekwisha jengewa boma bila kujijua wameshamzungushia michongoma na miiba sijui kama anajua na kama anajua basi hana uhakika au anajua ni utani tu tuliozea wa makabila yetu ila safari hii nasema wako serious very serious kuna jambo walijifunza 2015-21.
Dr Samia? Kumbe keshakuwa Dr mara hii?
 
Wewe Nani kakudanganya Jambo kama hili anaweza kufanya MTU mmoja?yaani taarifa kama hizi awe nayo MTU mmoja tumia akili.hiki ni kikundi cha watu.
Hiki ni kikundi cha watu wanaofanya kazi moja, na hupeana taarifa za kila mmoja. Anayeandika hapa ni mmojawapo kati ya hao na huandika baada ya kupewa taarifa za pande nyingine.
 
Unabii wa 2023 Unaendelea:



MTO FRATI / EUPHRATES KUKAUKA.

MTO huu ni Moja ya mito mikubwa Duniani, Ina urefu wa 1700 miles na upana wa 1.7 miles.

MTO huu unapita ktk Nchi mbili za Syria na Iraqi. MTO huu ni Moja kati ya mito 4 iliyoizunguka Edeni.

MTO huu umekauka Kwa muda mfupi sana maana 2020 ulikuwa Haina dalili za kuwa kama ulivyo Leo.

UNABII KTK BIBLIA.

UFUNUO 16:12. Says:

Na huyo wa SITA akakimimina kitasa chake juu ya MTO Ule mkubwa FRATI, maji yake yakakauka, Ili njia itengenezwe Kwa WAFALME watokao ktk MAWIO YA JUA.

UFUNUO 9:14. Kufunguliwa Kwa Malaika 4 Walofungwa MTO FRATI. Bible says;

Sauti Kutoka PEMBE ya madhabahu iliyo mbele ya MUNGU ilisema, Ikimwambia yule Malaika wa SITA aliyekuwa na baragumu, wafungue, nao Malaika wanne waliofungwa kwenye MTO mkubwa FRATI/ Euphrates.


UFUNUO 6:7&8. Muhuri wa nne kufunguliwa 2019/2020:

Na tazama farasi wa RANGI ya kijivujivu na Yeye aliyempanda, Jina lake ni MAUTI na KUZIMU akafuatana naye.

Nao wakapewa mamlaka juu ya ROBO ya nchi, WAUE Kwa upanga, na Kwa njaa na Kwa Tauni na Kwa hayawani wa Nchi.

Muhuri wa nne ulipofunguliwa 2019/2020 ndipo liliruhusiwa JANGA la CORONA ktk Dunia.

Na Nia ni kuua ROBO ya Watu bil 7 waliopo duniani. Corona imeondoka na wake, vita zinaendelea na majanga mengine pia yanaendelea.

Nabii wa Mungu kabla muhuri wa nne kufunguliwa, aliambiwa Aombee Dunia Ili WAOKOLEWE angalau watu 50 milioni Kila Nchi Kwa wastani.

KUKAUKA Kwa MTO FRATI / Euphrates ni Ishara pia ya kufunguliwa Kwa Malaika 4 waliofungwa baada ya kuasi sawasawa na kitabu Cha mwanzo. Walifungwa ktk MTO huo na sasa wamefunguliwa (Ufu.9:14).

Malaika hao ndio watakaowaongoza WAFALME watokao ktk MAWIO ya JUA. East. Na watapita ktk MTO huo Ukiwa mkavu Kwa miguu kama ilivyotabiriwa ktk (UFUNUO 16:12.).

Na WAFALME hao 4 watapita ktk MTO huo, watembeapo Kwa miguu crossing FRATI river wakiwa na Askari wa vita 200 ml. Wakiongozwa na Malaika wanne waasi.

Baada ya dalili hizo na UFUNUO huo Kutokea, ISRAEL tayari inajiandaa Kwa vita 2023 maana unabii unasema mataifa yataungana kwenda kuishambulia Israeli.

ONYO.

Vita hivi vinavyoenda Kutokea ktk mataifa vinalenga kuua ROBO ya wakazi 7 bilioni walionktk uso wa Dunia,

Hivyo walioombewa wapone angalau watu ml 50 ktk Kila Nchi ktk Dunia ni WATAKATIFU, wamchao Mungu, Wana wa Mungu ndo watapona.

Malaika 4 waasi waliofunguliwa wataungana na shetani na majeshi yake kuua watu zaidi ya 1.8 bilioni people ambao ndo inakadiriwa kuwa ROBO ya Watu bil 7 Walio duniani.

Acha dhambi, Vaa magunia, uomboleze na mtafute Mungu Ili uwe mmoja wa watakaosalimika au kuokolewa.

Pesa ktk ac Yako, bunduki Yako, uchawi wako, au marafiki zako walevi hawatakuokoa ma majanga yajayo, njia pekee ni kugeuka na kutubu na kuacha UOVU.

Shetani anayewapumbaza ktk starehe na ulevi KAZI yake ni kuiba, kuharibu na kuua, hawezi Kuokoa, zaidi ya hapo anakuwazia mabaya akuangamize.


[emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji449][emoji448][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344]

Asomaye na Afahamu. Na mwenye sikio na asikie.

Ameeeeeen.
Huyo Mungu wa kwenye biblia hana fair kabisa haiwezekani kiumbe kilichopigana na malaika zake na yeye mwenyewe na kidogo kiwashinde eti anatuletea tupambane nacho sisi, anania njema na sisi kweli huyu Mungu wa kwenye vitabu tunavyosoma? Mwenye akili asome na aelewe
 
Maybe she/he is under control!

Au anasuburi wakati sahihi ufike!
No!

Unakumbuka kwenye uzi wake ule alipoandika;-

In the living memory of Mzee!

In the loving memory of Mr Tanzanite!
In the loving memory of BT!

Hadi mojawapo ikamilike ndani siku za mbeleni ndio she aendelee, HUWEZI endeleza hadi baadhi yakamilike hasa hizo loving memories!!

Kwanini naandika

Ndoto ya yule jamaa (Maharage ya ukweni)
 
Ninamashaka kama kampuni hii ina hao wanaojiita deep state/watu wanaolinda maslahi ya nchi Kwa sababu ya mambo yanayoendelea Kwa mfano ubadhilifu wa Mali ya Uma au ufisadi.watu wanajipigia kila upande.I think the don't care about us.
Deep state ipo!

Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!

Mf;-

Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!

Okh

Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!

Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!

Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!

Halafu

Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!

Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!

Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!

TUSUBIRI
 
Back
Top Bottom