Unabii wa 2023 Unaendelea:
MTO FRATI / EUPHRATES KUKAUKA.
MTO huu ni Moja ya mito mikubwa Duniani, Ina urefu wa 1700 miles na upana wa 1.7 miles.
MTO huu unapita ktk Nchi mbili za Syria na Iraqi. MTO huu ni Moja kati ya mito 4 iliyoizunguka Edeni.
MTO huu umekauka Kwa muda mfupi sana maana 2020 ulikuwa Haina dalili za kuwa kama ulivyo Leo.
UNABII KTK BIBLIA.
UFUNUO 16:12. Says:
Na huyo wa SITA akakimimina kitasa chake juu ya MTO Ule mkubwa FRATI, maji yake yakakauka, Ili njia itengenezwe Kwa WAFALME watokao ktk MAWIO YA JUA.
UFUNUO 9:14. Kufunguliwa Kwa Malaika 4 Walofungwa MTO FRATI. Bible says;
Sauti Kutoka PEMBE ya madhabahu iliyo mbele ya MUNGU ilisema, Ikimwambia yule Malaika wa SITA aliyekuwa na baragumu, wafungue, nao Malaika wanne waliofungwa kwenye MTO mkubwa FRATI/ Euphrates.
UFUNUO 6:7&8. Muhuri wa nne kufunguliwa 2019/2020:
Na tazama farasi wa RANGI ya kijivujivu na Yeye aliyempanda, Jina lake ni MAUTI na KUZIMU akafuatana naye.
Nao wakapewa mamlaka juu ya ROBO ya nchi, WAUE Kwa upanga, na Kwa njaa na Kwa Tauni na Kwa hayawani wa Nchi.
Muhuri wa nne ulipofunguliwa 2019/2020 ndipo liliruhusiwa JANGA la CORONA ktk Dunia.
Na Nia ni kuua ROBO ya Watu bil 7 waliopo duniani. Corona imeondoka na wake, vita zinaendelea na majanga mengine pia yanaendelea.
Nabii wa Mungu kabla muhuri wa nne kufunguliwa, aliambiwa Aombee Dunia Ili WAOKOLEWE angalau watu 50 milioni Kila Nchi Kwa wastani.
KUKAUKA Kwa MTO FRATI / Euphrates ni Ishara pia ya kufunguliwa Kwa Malaika 4 waliofungwa baada ya kuasi sawasawa na kitabu Cha mwanzo. Walifungwa ktk MTO huo na sasa wamefunguliwa (Ufu.9:14).
Malaika hao ndio watakaowaongoza WAFALME watokao ktk MAWIO ya JUA. East. Na watapita ktk MTO huo Ukiwa mkavu Kwa miguu kama ilivyotabiriwa ktk (UFUNUO 16:12.).
Na WAFALME hao 4 watapita ktk MTO huo, watembeapo Kwa miguu crossing FRATI river wakiwa na Askari wa vita 200 ml. Wakiongozwa na Malaika wanne waasi.
Baada ya dalili hizo na UFUNUO huo Kutokea, ISRAEL tayari inajiandaa Kwa vita 2023 maana unabii unasema mataifa yataungana kwenda kuishambulia Israeli.
ONYO.
Vita hivi vinavyoenda Kutokea ktk mataifa vinalenga kuua ROBO ya wakazi 7 bilioni walionktk uso wa Dunia,
Hivyo walioombewa wapone angalau watu ml 50 ktk Kila Nchi ktk Dunia ni WATAKATIFU, wamchao Mungu, Wana wa Mungu ndo watapona.
Malaika 4 waasi waliofunguliwa wataungana na shetani na majeshi yake kuua watu zaidi ya 1.8 bilioni people ambao ndo inakadiriwa kuwa ROBO ya Watu bil 7 Walio duniani.
Acha dhambi, Vaa magunia, uomboleze na mtafute Mungu Ili uwe mmoja wa watakaosalimika au kuokolewa.
Pesa ktk ac Yako, bunduki Yako, uchawi wako, au marafiki zako walevi hawatakuokoa ma majanga yajayo, njia pekee ni kugeuka na kutubu na kuacha UOVU.
Shetani anayewapumbaza ktk starehe na ulevi KAZI yake ni kuiba, kuharibu na kuua, hawezi Kuokoa, zaidi ya hapo anakuwazia mabaya akuangamize.
[emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji449][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji448][emoji449][emoji448][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344]
Asomaye na Afahamu. Na mwenye sikio na asikie.
Ameeeeeen.