Kiswanglish ambacho hakina the the the is is is pekee nilicho kielewaNimemwagiza ras simba aje anisaide [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole mwaya
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kiongozi wa NGO's
Hah! Aisee duh!FLASH BACK!
Mimi mzee ananiamini!! ananipenda na ananisikiliza..........
Mimi naongea na mzee moja kwa moja!!
Na nina kuhakikishia mzee anataka kampuni yetu isipate usumbufu kutoka kwa hawa wajinga wajinga,
Nimesha mwambia mr new culture achague moja this year ni either aje tukae mezani awe na sie au tumfute kwenye ramani!!
Na na kuambia ntamfuta nakwambia!! Subiri ouone...........
Huyo alikuwa ni mini - branch manager, kijana mtiifu kwa late CEO, kijana tishio na kipenzi wa late CEO. Kijana aliyepata madaraka makubwa sana yaani kuwa mini-branch manager wa kampuni huko kaskazini from no where!!
Alipata wadhfa huo only becouse alikuwa anafanya yale late CEO alikuwa anayataka! Kijana alijipatia umaarufu kwa kuwa alikuwa clearly anawanyanyasa business partners wa kampuni under born town in the title kuwa wanaihujumu kampuni!
Aliwanyanganya fedha na akipenda hata mabinti zao yote aliyafanya in the name of late CEO kwani jina la late CEO lilitisha kila kona ya kampuni
Kijana huyu aligelezea what branch manager makao makuu alikuwa anafanya! Walikuwa kama mapacha hivi mambo yao!! Walijiamini sana kwakuwa walikuwa wamefunikwa na koti la late CEO! mini branch manager Nayeye alikuwa na task force yake na kiji office maalum cha kushughulika na wale wote wako against na late CEO!
alianzisha kikundi chake ambacho kilikuwa kinapokea maelekezo kutoka kwa branch manager wa makao makuu yakiwa kama maelekezo kutoka kwa late CEO.
One thing late CEO alikuwa anafanya, as long as kuna branch manager yoyote au mini - branch manager yoyote yule anawachachafya team born town kwenye branch yake, kwake ilikuwa ni furaha, hakujali wala kutaka kusikia kingine, alitoa big up adharani kukubaliana na matendo hayo bila kujua wengine walikuwa sio team born town bali ni victims tu! Vita nivita ukiskia suporter wa adui wanalia kwako ndo furaha!
Huyu kijana alipenyezewa taarifa kuwa mr new culture na born town ni the same page behind the scene, Naukweli ni kwamba kwa muda huo haonwatu haziivi na late CEO!Alijua kuwa kama akifanikiwa kumdhibiti vizuri mr new culture basi lazima awe promoted kuwa branch manager kamili!!
So aliazisha oparation zake za kumshughulikia mr new culture, physically, economically, soccially and politically yote ni aaminiwe zaid na late CEO!
Na alimshugulikia kweli kweli jambo lilio mpa furaha sana late CEO! aliienjoy sana kusikia mr new culture anatandikwa na kijana wake! Na alifurahi zaid aliposikia kijana alikuwa akideal effectively na vijana wa mr new culture!
Kijana na team yake walitumia orpotunity hiyo ya kupendwa na kuaminiwa kufanya mambo mengine behind the scene ya ajabu sana ambayo yalifumbiwa macho simply becouse alikuwa akimfurahisha tu late CEO! Haya mambo yalikuja kumgusa directly born town!!
Iko hivi, kijana alikuwa anapenda sifa, nikawaida kwake kufika sehem ya starehe kunywa, kula kisha asilipe! Na ukimsumbua sana anakutisha kukuondoa duniani!
So one day akiwa na convoy yake aligusa pasipo gusika!! Na kuingia directly kwenye targets za born town!! Ipo hvi
Kuna business partner wa born town likuwa anapiga sana deal za madini! Bahati nzuri he was so smart cycle yake mtandao wake ulikuwa mzuri kiasi cha system ya kampuni kutokumjua!!
So one day business partner wa bornntown alikuwa na mzigo wake na ulipaswa kusafiri kutoka ukanda huo wa mini branch manager kuelekea nje kabisa ya kampuni!! Kila kitu kilikuwa sawa ispokuwa kijana mmoja aliyejua mchongo mzima kuamua tu kuuvujisha kwa sababu hakuwa treated sawa na mtoto wa business partner!
Iko hivi, Kuna deal nyingi sana za madini ya kampuni kuskika yalikuwa ya kampuni lakini hayajawai kuwa registered kwenye ofisi za kampuni yakiuzwa nankampuni nyi gine! Nahata ya kiuzwa kampuni haipati profit yoyote!
Main dealer wa hiz issues ni business partner wa mr born town mr tembo!!
Huyu jamaa nje ya kudeal na ishu za tembo sana deal zake zingine ni hizo ishues za madini! Na ameset system ambayo ni ngumu sana kumconect directly, yaani ni invisible!! Hata ishu za tembo kujulikana nikama ilitokea error ambayo iliondoka na watu kimya kimya!
Iko hivi every member of mr born town ana kitengo chake cha kucollect funds kwenye kampuni!! Na wametawanyika ipasavyo, hakuna mahala hutowakuta!!
Sasa huyu informer baada ya kuwa na mgogoro na mtoto wa business partner, aliamua kumwaga ugali na mboga kwa mini branch maneger kuwa kuna mtu anamzigo na unapaswa kusafiri kutoka nje yakampuni! Na estimetion za mzigo husika ni bilion kadhaa! Na as anareceive that leak mzigo uko njiani unaaza mwendo!!
Baada ya taarifa hii, mini branch manager nikama alipandwa na mzuka maana late CEO alushatoa maelekezo hakuna jiwe lolote kutokanje ya kampuni! Sasa kwa thamani ya jiwe hilo kama kweli akilidhibiti kwake nibonge la ujiko!
Basi bwana Kijana na team yake wakaamsha gari, ilikuwa saa 11 za jioni ! Kwa kuwa mtoa leak aliwapa ramani nzima kuwa wanatokea wapi, wanapitia wapi, so kijana akawahi kutega maeneo muhumu.
Kwakuwa washapata details za muhimu, ni gari gani, namba zipi and etc
Kijana aliigawa team yake mara tatu, moja ilirudi nyuma kabisa kuitafuta gari husika kule inako toka ili kuifuata kwa nyuma na nyingine ilikuwa inaisubiri round about ya barabara kuu ya kuingia mji mkuu kaskazini, na nyingine ikawa inatega njiapanda ya kutoka mikoa ya kaskazini na hiyo ndio gari na yeye mini branch manager alikuwemo!!
Sasa Gari iliyokwenda kuifuatilia target car ilibahatika kuiidentfy ile gari so iligeuza chap ikatoa signal kuwa gari wameiona njiani! Na chap wakatoa taarifa kuwa wameiona gari na wako nyuma yake wanaifuatilia!!
Walikuja nayo hadi mji mkuu wa kaskazini kisha wakachukua barabara ingine wakawa ka wameiacha hivi, ile gari nyungine iliyokuwa ikisubiri mji mkuu kaskazini ikafuata maelekezo ya wapi wapite ili waipaye then wakaiona kisha wakapose kwa nyuma na wakaendelea kuifuatilia silently!!
Ndani ya target car kulikuwa na jamaa wa tatu! Kijana yaani mtoto wa pekeee wa business partner wa born town ambaye analink na mzee tembo, dereva mmoja na kijana mwingine ambaye yeye ni mlinzi binafsi wa kijana wa business partner!
Ndani ya gari walikuwa na fedha m20, na mzigo husika!! Toka mwanzo wa safari kijana mlinzi binafsi alikuwa makini sana! Alikuwa akifuatilia kila kinachoedelea pande zote za gari. Huyu kijana aliwahi kuwa mfanyakazi wa kampuni tena idara nyeti ya security na baadae akanyakuliwa na mzee tembo kisha kwenda kupelekewa kuhakikisha deal zake upande wa madini ya kampuni zinakwenda sawa! Yaani alikuwa ninmtu wakusimamia namna madini yote yanapopatikana yanatokaje!
So akiwa pale mbele walipishana na gari aina ya nissan patrol nyeupe, na wakati wanapishana alibahatika kumuona dereva wa gari na kumtambua kutokana na uzoefu wake! hakusema kitu alikaa kimya kwanza kufuatilia nini kitaendela
Baadaa ya dakika kama 15 hivi alipotazama kwenye side mirrors aliiona ile gari kwa nyuma yao! palikuea na gari ndogo aina ya toyota spaicio iliyokuwa inawafuta then nissan patrol wakiongozana kuelekea mjimkuu kaskazini!! Akaendelea kuifuatilia akitaka kuhakikisha kama itakuwa inawafuata au la!
Kupitia uzoefu wake bada ya dakika kama 10 hiv aligunduabile gari ile ilikuwa inawafuata, aka chukua simu yake chap chap, akatuma sms! Kwenda kwenye namba flani hivi! Akaandika "change of plans, meeting point , astra B4"
Meseji ikawa delivered upande wa pili, chap vijana wa wili wakiwa kwenye pick up, chafu chafu hivi imebeba nyasi nyiiingi kama za malisho wakawasha gari yao wakaelekea "astra B4", mmoja alikuwa na begi la mgogongoni limechoka choka tu! Wakapaki upande wa pili wa bara bara wa gari kurudi kule wanakotoka hawa wanao kuja!
Walipoingia mji mkuu wa kaskazini ile nissan patrol ikapotea then within five minutes nyuma yao ikaingia gari aina ya V8 land cruser, chap kijana aka tumia side mirror kusoma namba!
Akaingia kwenye mfumo wa kampuni kujua nani mmiliki wa ile namba, majibu yakaja ile number ni ya toyota porte!! Akajaribu tena kuitrce ikaja namba ile ni ya toyota porte! Akajaribu tena ikaleta toyota porte! Chap Kijana akajiongeza kuwa ile plate number sio ya gari ile, akajua hawa niwengine na wanaendelea kuwafuatilia!
Kijana akatuma sms kwenye namba ile tena! "Status", akajibiwa, "on meeting point" chap akageuka siti ya nyuma akamwambia kijana anayemlinda, " sikutaka kukuambia chochote but tuna fuatiliwa toka zamani sana, unaona hiyo gari inatufuata ilikuwepo nyingine naona yenyewe itakuwa imetangulia, chukua huo mzigo kwenye bag weka kwenye mfuko wandani wakoti hela ziache humo humo kwenye bag, there is a change of plan"
kijana akashtuka sana hofu ikamwingia akaambiwa atulie! Hakuna shida kila kitu kiko planned!
Kijana securty akamwambia dereva endesha gari kuelekea jengo la kampuni maarufu la umeme wa jua , Ilo jengo lipo barabarani kabisa kuelekea kutoka nje ya mji mkuu kaskazini karibu na mataa yakuongozea magari!
Akaambiwa akifika pale apaki kwenye parking then wao watashuka kisha watarudi na safari itaendelea! Dereva akatiimaelekezo, kulingana nahali ya hewa makoti makubwa kuvaliwa ukanda huo nikawaida tu, so walipofika pale kijana akaweka amesha vaa koti na ame uficha ule mzigo kwenye koti lake kubwa, hilo koti lime tuna tuna kiasi huwezia jua kama mtu ameweka kitu au hajaweka kitu!!
Wakashuka pale faster then wakaingia ndani ya jengonla kampuni ya umeme wa jua , njiani kijana akawa anamwelekeza kijana wa business partner kuwa aeleke mens toilet uoande wa kulia atamkuta mtu mle ndani! ampe huo mzigo!
moja kwa moja walipoingia ndani kijana akaelekea mens toilets, alipofika tu ndani alimkuta yule kijana mmoja kati ya wawili waliokuja na pick up anamsubiri kesha clear toilets ziko safe kwa ajiliyao!!
kijana wa business partner akatoa ule mzigo akampa yule mwingine! chap akauchukua na chap akautia kwenye begi mgongoni kisha akatoka nje yaani ilikuwa ni fasta sana na akatoka kama vile hamjui yule alioingia mule ndani! Wakati huo ile gari V8 ikawa ime paki mita chache kutoka kwenye lile jengo wakisubiri kuona nini kinaendela na taarifa wakawa washatoa kule njia panda!!
Wakaulizwa wameshuka na begi,wakasema no wameshuka watu wa wili na dereva bado yumo kwenye gari!! Pale pale Yule kijana aliyebaki kwenye pickup akapokea sms, " carry over" kijana akawasha gari akaondoka zake, kwa aliye kuwa nje alijua ni pickup tu ya nyasi ilikuwa imepaki na sasa inaondoka zake, yule kijana na mzigo akatokea mlango mwingine, akapita njia za uchochoroni wakakutana na ile pickup inamsubiri akaingia chap na safari ikaanza kwa kufuata plan nyingine kabisa!!
Kijana akatoka mens toilet akapita reception kumpitia yule mlinzi wake wakatoka wakaingia kwenye gari na safari ikaanza! Baada yadakika kama 6 hivi ile gari V8 ikaonekana nyuma yao! Kijana yule wa security akamwambia yule kijana wa business partner hii gari umeikumbuka, kijana akatazama nyuma akaiona! Akamwambia yes nimeikumbuka!
Akamwabia mzigo ukosalama na utavushwa kwa plan nyingine, akamwambua alihisi watafuatiliwa toka wanaadaa safari kwani kuna mazungumzo aliyasikia kuna mtu anataka tushikishwa adabu!!
Kule njia panda wakawa wanasubiri kwa hamu!! Baada ya kusikia ile gari imeanza tena safari! Na Wakati huo huo ile gari yenye nyasi inazidi tokomea mbali zaidi!!
walipofika pale njia panda wakakutana gari mbili zinawasubiri na ile v8 nyuma yao zikawa tatu! Wakashushwa wote chini mpaka dereva! Kijana wa mini branch manager akaingia kwenye ile gari yenye mzigo na msafara ukaanza wa zaidi ya lisaa limoja kuelekea nyumba moja huko iliyoko migombani mafichoni!
Sasa ujinga wa mini branch manager tamaa ikawa imemuingia, yeye anawaza lile jiwe tu! Sio tena late CEO! Walipofika kwenye ile nyumba yule dereva na yule kijana wa securty wakiwa wamfungwa macho wakawekwa room nyingine na huyu mtoto pekee wa partner wa born town akawekwa chumba cha peke yake!!
Wakaipekua ile gari kwanza yoote na wakachukua lile begi wakakuta kuna 20 milioni tu ila jiwe halipo!
Kijana akabaa kweli kweli, akaenda kwenye room ya mtoto wa business partner, akamwambia anataka lile jiwe alokuwa anatorosha lasivyo shughuli inaishia pale!
Kijana baada ya kumtambua mini branch manger kwa uwoga ikabidi kusema ukweli kuwa nikweli jiwe walikuanalo ila walishalivusha wakiwa mji mkuu kaskazini na kwa muda mliotufikisha huku, litakuwa lisha fika mbali!
Baada ya kusikia hivyo mini branch manager akabaha akawa mkali akawa aamini! akawaita team yake kuwapa taarifa nawao wakabaha zaid! Wakaanza kutembeza kipigo kizito!!
Accidentaly wakati kipigo kinaendelea na katika kutishina bastola kichwani, ghafla ikafayatuka kweli na ikawa risasi imempata mtoto wa business partner kichwani! Na pale pale dogo akaanguka akatapatapa kisha story yake ya maisha ikaishia pale!!
Baada ya ilo tukio wote wakawa wamechanganyikiwa, baada ya discussion fupi uamuzi ukafanyika kuwa wote inabidi washutiwe tu! Yaani dereva na yule security, Na ndicho kilifanyika!
Wiki moja baada ya kijana kupotea, business partner alijua kuwa kijana wake alikuwa ubducted na aliye mu abduct ni mini branch manager! Ila status ya alive or dead akawa haijui
Akamtaarifu mzee wa tembo, mzee wa tembo akamtaarifu born town!! Resorces zukawa collected Wakaanza kutrace the whole issue!
wakaconfirm kuwa kijana alisha tembea mbele za haki, na aliye mtembeza ni mini branch manager na kundi lake!!gari ilitiwa moto na miili haijulikani iliwekwa wapi!!
Business partner hasira zilijaa akataka kufanya tukio mzee wa tembo na born town kwa kuwa they know what was about to happen walimtuliza na kumpromise a very huge revenge! na kwa namna ilivyo kuwa kwa wakati huo hawakuwa na namna maana mini branch manager alikuwa under high protective enviroment ya late CEO,
Ulikuwa uwezi hata kumsogelea kirahisi! so baada ya late CEO kuficha moto kati ya watu waliumizwa ni minibranch manage, ni alilia live live yaani! na alilia sana! Why?? becouse alijua alichokifanya na sasa kinga yake haipo tena na alijua revenge is on the way!!
***********************************************
Anonymous: Hellow .....
Born town: Yes! Born town speaking!
Anonymous: I know who you are huna haja ya kujitambulish !! Just know your now our target
Born town: What?
Anonymous: Yes Your now our target!
Born town: Wewe nani??
Anonymous: Iwe leo au kesho au kesho kutwa, next year, your going to die a silent death!!
Simu ikakatwa!!
**********************************
Whats goin on who is this man??
Born town: Hellow??
CEO : Yes mr born town good evening?
BORNTOWN:Are you in war with me again??
CEO :What??
BORN TOWN :Are you in war with me again?
CEO: No..no i dont know unasema nini!
BORN TOWN : Okey!
simu ikak katwa!!
****************************************
Tanzanite: hellow
Anonymous: yes sir
Tanzanite : how was it?
Anonymous : he called the CEO!
Tanzanite: good! Did you notify the CEO before
Anonymous: yes sir i did!
Tanzanite: good!
Simu ikakatwa!
***********************************
And the saga continues!!
[emoji117]Nini kilimkuta mini branchmanager ?
[emoji117]Nini kinaendelea kuhusu branch manager?
[emoji117]Is born town going to survive this time?
[emoji117]Who is anonymous? And who is unknown?
[emoji117]What is the plan to take down born town?
Till next time!!
See you!! Ntakuwa offline kwa muda
Amso sooooorry!!
Goodbye!! Love you all!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Mziki mnene [emoji34][emoji447][emoji450][emoji448][emoji449][emoji446][emoji1623]Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hii simulizi ni tamu sana, hasa ikiwa kwa lugha ya malkia. Je yoga unaniruhusu niitafasili? kisha nitaiweka kwenye thread yake ikiwa kamili. Angalia huu mfano.Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Haitanoga..Hii simulizi ni tamu sana, hasa ikiwa kwa lugha ya malkia. Je yoga unaniruhusu niitafasili? kisha nitaiweka kwenye thread yake ikiwa kamili. Angalia huu mfano.
==
Boss, they have taken the boy as we thought.
Okay, so it's really KP?
Yes!! It's him indeed!! We scanned the laptop, and the software they installed on it is the same!
Can you track where the boy has been taken?
Yes! We haven't switched on the tracker because they will scan to see if he has any tracking device!
Good! Keep me informed of every step!
Okay, boss!!
This guy!!! He always admires my company!! This time we're eating from the same plate!
The boss takes his phone and calls the current CEO, "I need to talk to you, and I'm coming there!" Then he hangs up!
Born town and his convoy quickly begin the journey to the company headquarters. After about two hours, he successfully arrives at the company headquarters without any trouble since it's like his home there.
He goes straight to his host's office and waits for him. While there, he continues to look at pictures of other CEOs who have passed through, including his, arranged in order from the first CEO to the present one! When his eyes reach the late CEO's picture, he smiles a little!! He says to himself, "This guy......"
Then after five minutes, the current CEO enters and sits down.
"Hello, boss!"
"Marhaba!! I see you updated the furniture since the last time I came here!"
"Hahaha, true, boss! The decoration guy advised me to change them, and I thought it was a good idea!"
"Ohoo! Okay!"
"Welcome, boss! Your call surprised me!"
"Yes! I'm here again for the second time, and I came here un-activated, so I guess it's because of that! I will go straight to the point because I know you have a busy schedule."
"Don't worry, boss. You are welcome here!"
"When you went through the company files after being given this office, did you have a chance to go through KP's file?"
"Sorry? Who?" (The CEO is startled, and his blood pressure begins to rise)
"Don't act like you don't understand me. Have you already found out what KP wanted from us and how I dealt with him?"
"Boss, no, I haven't gone through anything related to KP."
"Now I've come all this way to inform you that you need to task your people to give you KP's file. There are issues in there that you need to know before you continue with your stupidity and the old man forms a union to deal with me!!"
"And by the way, tell the old man that I respect him a lot; he is still my guy!! Tell him I can smell an enemy as far as I can!! And if you don't have that file, take this flash!"
Born town hands the CEO a flash with details about what KP did!
Then, as he's leaving, he says, "Greet KP for me and tell him that this time, I'm freer than he thinks!"
When the current CEO heard that born town was coming, he informed the old man, who planted audio devices in the CEO's office, ready to listen to why born time was there!
After hearing what was said there, everyone was in shock....
The CEO quickly went inside and opened his laptop and put in that flash!!
Then a small folder with 26 GB on the flash appeared in front of him!
He opened the folder and found a folder titled "Operation +250 Bingo," with PDF files, pictures, audio clips, and video clips with different titles.....
So what happened between KP and born town??
I hope we'll finish the last two episodes soon!
Daah ndio mana mwana kasogezwa naona lipicha la Giza Nene linakaribia one mistake one goal...I have plan for 2025!
But first we need our returns!! We have lost a lot of money becouse of late CEO! .....
Sawa mzee basi tutaonana!......
New CEO received a note! There is this mzee (minister) in the next wing wants to see you before group general meetings! He says its urgent!
New CEO baada ya kuona jina la mzee, she said okey prepare the meeting i need to hear what he has to say!
So mzee was told, new CEO has agreed to meet him At company general meetings and he was told when and how he will meet the CEO. Alisisitiziwa tu ahakikishe anakuwepo kwenye hiyo meeting!!
Mzee said okey and waited for that day! So the day came new CEO traveled to new company head quators for the general meeting! After breakfast Mzee was told to come and meet new CEO it was a very secret meeting! Unnoticed one!
The meeting was done in a very secret place untrecable!
Karibu mzee! Naona umenitafuta sana!
Yes mwanangu nimekutafuta, and without kupoteza muda Kuna mambo very sensitive nahitaji tuyazungumze! Na hayo nayazungumza kama mimi sio cheo ulichonipa!
Okey! Nambie!
First you should know i know everything that happend last year! I know everything since i am among those who coordinated the plan!
Your in that position today becouse of us!
New CEO akabaki kama anashangaaa! mzee hakuwa na kona kona he was straight foward and very sereous!!
Now nimekuja hapa becouse kuna vitu haviko sawa in this company And ni muda sasa i and others, we want viwe sawa sawa! And it is you whom will make them sawa!!
New CEO akauliza vitugani and HOW?
Listen, tunajua ulitaka kumtoa out of the system mr born town! But this man is smart na anawatu every coner! Including me and others! You cant just get him out of the system with the same people in the system whom adore him and they under his payrole!
Na tunajua nikweli unataka kuendela kuwa CEO of this company until 2030! Tunajua sababu mimi na wenzangu ndio tumekuinvestigate wewe since the first day unakalia icho kiti,
Hata kijana uliyekuwa unamtumia mwanzoni kuimplent plan yako aliyemkamata na kumhoji na kukusanya all info ni mimi even before born town hajaja hapa kwako kuku tisha! Sisi tunajua kiwa Your suporse to be in power up to 2025!! And still that is a plan hakuna kilicho badilika
I know mr born town alikuja hapa akakupa every thing ulifanyia behind the scene! Najua alikutisha sana, And promissed you that kama utafollow his leads you will be in power till 2030, he was lying! I am the one who collected every info in your office!
Hata mazungumzo mliyo yafanya that day mie ninayo yote!! Kila unachokifanya hapa au mjini mimi ninacho! Na lazima born town akipate anakipata kile ambacho mimi nimekisikiliza kwanza kisha na mpatia!!
Unawasaidiz wako wawili hapa acha huyo anaekaa nyuma yako huyo ana note kila unachofanya nakutoa report kwa kijana wangu then inakwenda kwa born town! Tunajua unakula nini kila siku, tunajua unaongea nani kila siku! Hata hii meeting nimeischedule mwenyewe vijana wanaagaika kujua unaongea nani humu ndani saiz waandae report iende kwa mr born town!!
Hapa ninapo zungumza nina acces ya what will happen to you in 2024 sito kuambia leo ! But you have to listen! I am here to help you takedown mr born town!
CEO akawa kama anatetemeka hivi baada ya maelezo hayo mazito toka kwa mzee!
Sawa mzee umekuwa open sana! Kwanza nikushukuru kwakweli, sikuwahi fikiria how powerful you are and sikuwahi kujua how deep your envolved in this company!
ila sasa i have made my decition, i will be the CEO of this company under mr bornntown's leadership! i dont want to mess with that guy any more! If he doesnt want me to be in power as CEO i will step down!! Thats all! Staki ugomvi na huyu mtu!
Okey! Nimekuelewa! Ila unahitaji kulitafakari jibu lako tena, let me ask you!! What if the plan is worse than to take you down from being the CEO? wewe si umefanya kazi na born town? Ujui kuwa huwa kinyongo chake hakiishi? He can smile at you but once you did him dirty he will twice dirty you?
Wewe ulienda msiliba kwa outside investors, and some wamepull out their investment from him! Wako dilema waitng for your next move! Do you know how much amepata loss? Dou you know how much he hates you for that?
Wewe umeappoint baadhi ya watu kwenye office nyeti whom he didnt tell you to do! Unajua ninamna gani amegadhabika??
Trust me! Kuendelea kumsikiliza na kufikiri kuwa mko sawa na ameshakusamehe ni ujinga uliokithiri!! wake up! Your in his trap! Am here niko kwenye cycle yake! I know what he wants from you, when and how!
Na leo hii atakupa jina la mzee tembo Kuwa assistant wako upande wa board! Anataka a close eye on you! Jina utaletewa muda sio mrefu! After this meeting! Kama tutamuacha atambe hivi its wrong. You have the power to do something why unaogopa?? Once and for all let us remember you for taking him down and make the company free!
Sawa mzee nimeelewa but let me ask you this question! Unataka kunisaidia kwenye hili but what will you get in return?
mzee aka mtazama CEO kama sekunde kama 10 hiv kisha akafunguka! I dont want money or anything! I have been in this position since 19s, What i want, is him to rest in hell but i want also you to promise me that after you in 2030, not his son or mr february will be given even a sportlight to become CEO, i want them to never become leaders of this company! Am saying this since this is a war! I will make you the winner but i might not survive this! Am old enough to leave a legacy that will benefit our next generation and not some group of bandits
New CEO akauliza tena, How am i going to do that, when you have said kuwa they are every were! And most of my servant are in his payrole! How mzee? And why will you not survive, if you cant survive how will i survive !
Listen!! I have been in this system for a long time! I, my self also made him who he is today, i know him! Me and my team can coordinate this war very smart! We have a plan, a smart one! We can take him down under a condition of me not surviving the war! Just say your ready and we will initiate it!
Okey!! Mzee naomba unipate muda nitafakari! Then nitakujulisha na asante kwa ushirikiano wako! Mzee akanyanyuka akatoka zake chap and went off his house!!
New CEO akawa kabaki kwanza pale ndani kama haamini alichokisikia!! Msaidizi wake mmoja akaingia na bahasha akamwambia, boss kuna bahasha yako hapa! New CEO akafungua kuisoma akakutana na jina la mzee tembo, kama alivyo kuwa keshapewa hint!! She smailed!!
Mzee alifika kwake then akaenda moja kwamoja kwa ofice yake yaani Home office! akafungua droo ndogo ya meza ya mkono wake wa kushoto! Akatoa simu ndogo aina ya nokia ya batan! Akaifungua nyuma akatoa betri kisha akachukua line kwenye moja ya droo nyingine akaiweka kwenye simu na kuiwasha simu! Akaandika namba flan hivi kisha akapiga! Simu ikwa inaita .....
Unknown: Hellow!
Tanzanite: Tanzanite speaking!
Unknown:Yes tanzanite!
Tanzanite: The facillitator has all the info now, waiting for activation!
Unknown: Good!! Very good!! Did she understand you?
Tanzanite: Yes! She did!
Unknown: Good! Thanks for an update, still am in hospital
Tanzanite: Thanks na ugua pole!!
Mzee akakata simu! It wasa avery short call!
then akaizima simu kisha akachomoa ile line na akatoka mpaka nje ambako kulikuwa na public toilets!! Katupa zile line nasimu then akaflash! Akatoka zake nje!!
*****************************************************
New CEO alirudi kwenye general meeting nikama kukamilisha tu maelekezo but she was not there! She was thinking of what mzee told her! She was worried that labda mzee katumwa na mr born town kuja kumchunguza tena, she didnt know what to do at that point. Haswa akikumbuka maneno na sura ya born town "are you in war with me"
Baada ya meeting, taarifa zilianza kuvuja kuwa mr born town is running the show, new CEO hana analofanya bila kumhusisha born town! some company members wengi wao hawakupenda but they were woried about ugali wao na sio maslahi ya kampuni!
So kundi hilo likaitisha kikao behind the scene kujadili kwanza why new CEO anataka awepo mpaka 2030! Kundi hilo halitaki kabisa kusikia hiyo habari, Lakini pia kampuni nikama haileweki! Imekopa sana hela kutanua uwekezaji lakini uwekezaji ni hewa, bidhaa za kampuni haziuziki, nighali kwa customer na hakuna a well planned recover mode kufanya kampuni iwe strong!!
Maisha ya watumishi na wana wa kampuni yanazidi kuwa magumu, they cant afford three meals per day! Na CEO wala hana time na izo ishu, she is buzy rebranding company name bila kuzingatia hali halisi ya kampuni!!
Lakini pia walijadilli why born town a retired CEO analazimisha kuendelea kuwa kwenye system!! Who is he!! Kwanini ataki kustaafu kama wengine??
Kundi hili likakutana na kundi la team late CEO, shida ikawa wanaagenda moja, lakini wanatofautiana nani awe CEO, agenda yao ni kumg'oa born town na new CEO in 2025, sasa linapokuja suala nani awe CEO mwaka huo shida ndio inakuwa kubwa, kila kundi lina mtu wake!!
So wakakubaliana kuwa suala la who is goin to be CEO waliache kwanza, ila kumtoa new CEO 2025 na born town ndio iwe kipaombele!
They came with a plan! Moja nikuunda a new group under the name of late CEO, hii group ipambane kuchukua u CEO wakampuni in 2025 na group hii itapambana na na mr new culture group na hii group ya new CEO mr born town group ambayo ndio alikuwa late CEO
Group hii itatembelea properganda za late CEO, Maana alifanikiwa kuwakamata customers kibao kwa properganda zake haswa wale aliotokanao ukanda mmoja!
Upande mwingine wa muungano wao wabaki ndani ya born town grop nakuanzisha kampeni ya kuonyesha uovu wa group kwenye kuiendesha kampuni! Baadhi ya members wakachaguliwa kuwa front liners! Kazi yao ni kufanya profile demage ya company leaders ambao wako infavour of mr born town na sio maslahi ya kampuni!
Hawa walijiapisha hata kama wasipopewa urepresentative tena 2025 kupitia group hiyo ya born town haina shida ila kufikia huo mwaka, jambo lao lazima liwe limekamilika! Na wakinyimwa watakwenda kwenye group walio anzisha tayari three years before 2025 CEO elections!!
Born town alipata taarifa hiz, his enemy walikuwa wanaongezeka kila siku! Badala ya kupungua!! So alikua na mambo mawili moja ni ku msimamia new CEO atimize mambo yake and at the same time alipaswa a deal na hili group!!
So Sababu ya connection na resorces alizonazo it was not that difficult for him to control both groups but what he didnt know...
mzee, a close frind to him!! A person whom made him who he is to day!! A person amemsaidia kwenye kumuondoa late CEO, aperson who is running the show behind the scene had a plan for him!!
And the plan is to ensure he is gone gone! Yaani gone kabisaaaa!
So who is mzee and Why mzee is mad at born town?? Who is unknown?? Why is mzee reporting to unknown????
[emoji26]From dark days....... And now Road to 2025!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Daah ndio mana mwana kasogezwa naona lipicha la Giza Nene linakaribia one mistake one goal...
Sema we jamaa unajua naunajua tena,hua nakufatilia sana genius.
Wewe ni mtu wa ajabu sana, huko juu umemsema mwenzako kwamba anatoa lugha za matusi ila cha kushangaza nawewe unanaanza kuwatolea lugha chafu na kuwatukana wenzio badala ya kujibizana kwa Facts.
Personal Values ni mkusanyiko wa mambo yote ambayo mtu fulani anaona kwake ya faida na umuhimu kama vile imani, dini, tamaduni, mila,ideas, nk nk. Kila mtu ana Values zake kwenye maisha basi haina budi kumuheshimu mtu na values zake katika masha.....Haiwezekani kipimo cha akili duniani iwe kuwa mfuasi wa mbowe au chadema.
Na kipimo cha ujinga iwe Kuunga mkono mambo aliyofanya JPM which are of course Superb, never ever in this Crazy world
Mungu alipotuumba kila mtu alimpatia Free Will yaani kila mtu achague mtindo wake aupendao wa kuishi duniani na Mungu mwenyewe anaheshimu kila chaguzi ya anayofanya mwanadamu katika maisha ndio maana hua hatuingilii katika machaguzi na maamuzi yetu ya maisha.
Sasa wewe kwanini uone wenzako ni wajinga,maskini na wapumbavu kisa tu They didn't feed your ego. Heshimu values na machaguzi ya watu kama Mungu anavyoyaheshimu sio lazima wote tupende mtu mmoja au kitu kimoja, hiyo ndio demeokrasia amabayo CDM imekua ikiihubiri sasa nashangaa watu wakiifuata mnawadhihaki.. Nashindwa kuelewa mnataka nini nyie binaadamu wenzangu....Kama mtu hujapenda anachokipenda basi wewe waache ondoka zako kama utashindwa kubishana nao kwa hoja.
Lazima tutofautiane mitazamo na preferences hicho ndio kinatufanya tuwe binaadamu na sio robot ambao wapo coded kuExcute a certain Task.
Binafsi kama ingekua ili JPM arudi basi mtu inatakiwa ajitolee uhai wake ningekua tayari kufanya hivyo with proud. I'll love and appreciate JPM Here and Hereafter. On this life or the Next.
Respect, You need to give it out to others. If you wat to receive it
View attachment 2236192
Maneno mazito sana haya.
Wewe ni mtu wa ajabu sana, huko juu umemsema mwenzako kwamba anatoa lugha za matusi ila cha kushangaza nawewe unanaanza kuwatolea lugha chafu na kuwatukana wenzio badala ya kujibizana kwa Facts.
Personal Values ni mkusanyiko wa mambo yote ambayo mtu fulani anaona kwake ya faida na umuhimu kama vile imani, dini, tamaduni, mila,ideas, nk nk. Kila mtu ana Values zake kwenye maisha basi haina budi kumuheshimu mtu na values zake katika masha.....Haiwezekani kipimo cha akili duniani iwe kuwa mfuasi wa mbowe au chadema.
Na kipimo cha ujinga iwe Kuunga mkono mambo aliyofanya JPM which are of course Superb, never ever in this Crazy world
Mungu alipotuumba kila mtu alimpatia Free Will yaani kila mtu achague mtindo wake aupendao wa kuishi duniani na Mungu mwenyewe anaheshimu kila chaguzi ya anayofanya mwanadamu katika maisha ndio maana hua hatuingilii katika machaguzi na maamuzi yetu ya maisha.
Sasa wewe kwanini uone wenzako ni wajinga,maskini na wapumbavu kisa tu They didn't feed your ego. Heshimu values na machaguzi ya watu kama Mungu anavyoyaheshimu sio lazima wote tupende mtu mmoja au kitu kimoja, hiyo ndio demeokrasia amabayo CDM imekua ikiihubiri sasa nashangaa watu wakiifuata mnawadhihaki.. Nashindwa kuelewa mnataka nini nyie binaadamu wenzangu....Kama mtu hujapenda anachokipenda basi wewe waache ondoka zako kama utashindwa kubishana nao kwa hoja.
Lazima tutofautiane mitazamo na preferences hicho ndio kinatufanya tuwe binaadamu na sio robot ambao wapo coded kuExcute a certain Task.
Binafsi kama ingekua ili JPM arudi basi mtu inatakiwa ajitolee uhai wake ningekua tayari kufanya hivyo with proud. I'll love and appreciate JPM Here and Hereafter. On this life or the Next.
Respect, You need to give it out to others. If you wat to receive it
View attachment 2236192
Ulikua ukweli mchungu[emoji16][emoji16][emoji1787] ukimpatia popoma aumeze[emoji1787][emoji16] chungu lakini ndio dawaKwanza nikushukuru kwa kuchukua muda wako na kuisoma "hadithi" hiyo juu! Asante sana mkaka!!
Pili nikushukuru kutoa mawazo yako kuhusu "hadithi hiyo hapo juu" nashukuru sana!!
Mwisho niombe kukukumbusha hadithi ulioisoma haijamtaja mtu, au kuwazungumzia watu ambao nimeona unataka wahusisha!
Niendelee kukujulisha kuwa natambua kuwa yaweza kuwa hadithi hiyo imekukwaza niseme pole saa na haikuwa dhamira ya fanani!!
Ila kuna msemo literature is a mirror of the society!! Na kila mmoja yupo free ku interprete alichokisoma from his/her point of view!!
Ubarikiwe sana!! Tukutane 15agust 2022 kama utapenda!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Thanks for noticing me. I'm flattered.Sema we jamaa unajua naunajua tena,hua nakufatilia sana genius.
Much obliged Sir na inapendeza.Maneno mazito sana haya.
Nimekuheshimu!
Shiiiit this takes ages😒March 20 my dear!!.[emoji8]
[emoji848]"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba
"Naomba kurekebisha ulimi wa Kaka yangu Mzee Makamba ulivyoteleza wakati ananisifia alisema usiogope hutokufa, mtu mzuri hafi, hajakusudia kwamba wanaokufa ni watu wabaya, wote hapa tumefiwa, kwahiyo nirekebishe kipengele kile kisiende kikatumika vibaya,"- @samia_suluhu_hassan
"Mzee (Makamba) alikuwa kwenye 'emotional' alidhani amenikosea alivyoniambia si utakufa utatupisha, lakini akajirudisha akaniambia usijali mtu mzuri hafi, alikuwa kwenye emotional lakini hajakusudia vingine vyovyote,"- Rais Samia
"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete
MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.