Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Kila mtu Huwa anawaona wachawi kupitia NDOTO uotazo, mchawi hujinuizia madawa Ili usimuone ktk ndoto, akija utaona unakimbizwa au kupambana na Wanyama mbalimbali au nyoka.

Kumuona mchawi Kwa sura yake inahitaji upige hatua zaidi kuyafungua macho ya Roho.

Ulimwengu wa Giza, au wale Kutoka chini wanaliita jicho la 3.

Wale wa Ulimwengu wa NURU yanaitwa MACHO ya ROHONI, ni mawili,

Kuyafungua macho hayo inahitaji kwanza kufanya Registration,

Registration ni kumkiri YESU kuwa Ni BWANA na mwokozi wa maisha Yako, TUBU DHAMBI na udhamirie kuziacha.

Baada ya kufanya Registration, Anza maombi ya Kila siku yasiyopungua saa 1 Kwa uchache kuomba ujazwe na HOLLY SPIRIT.

Holly Spirit ni ROHO wa YESU, alipopaa Mbinguni alimtuma huyo aje kukaa na kuwaongoza, kufafundisha wote waliomwamini YESU.

ROHO MTAKATIFU akiingia ndani ya mtu, humsaidia mtu kuyafungua MACHO ya ROHONI ambayo yalifungwa pale Adam alipoanguka dhambini na Mungu kumuacha.

Baada ya hapo, Utakuwa ukikutana na mchawi hatoweza kukutizama usoni, lazima akwepeshe macho ukimkazia na lazima utaiona HASIRA usoni mwake sababu unamshambulia kupitia Roho aliye ndani Yako na kumzidi nguvu.

Utaona na zaidi ya hapo, movies unazoziona wakionyesha mashetani na mapepo usidhani ni fix, ni HALISI yanaonekana kabisa.

Bt Ulimwengu huo Si lelemama unahitajika uwe mtu wa maombi Hasa, uwe Askari Hasa.

Unaweza ingia huko ukamkuta mtu wako wa karibu ni mchawi na ndo chanzo Cha mkwamo wako, hivyo ukalazimika kupambana nae,

Waeza gundua mke, baba, mama, uncle au shangazi ni mchawi, ndo litapotimia neno alisema Yesu kuwa, sikuja duniani kuleta Amani Bali upanga, mtu na mama yake, au mtu na mwanae, waeza kuwa maadui ktk Roho.

ANGALIZO: MUNGU ni Mmoja na YESU ndilo JINA Lake.

Amen.
Amen.

Nimepata bahati sana kupata elimu hii bure kabisa.

Mie sasa nakubali kumkiri Yesu kuwa ni Mungu na mwokozi wa maisha yangu nadhamiria kuacha dhambi.

Ubarikiwe mtumishi.
 
SASHA MLINZI WA NAFSI.
IMG-20230222-WA0015(1).jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230224-080922.png
    Screenshot_20230224-080922.png
    113.6 KB · Views: 59
Kwenye kuendesha kampuni kuna kuna wakati unalazimika kumkubali mtu hata kama humpendi.awamu ya pili late ceo kuna uvumi kuwa alitaka amteme deep informer, akakosa nguvu, kumbuka baba yake katika kazi alishatangulia mbele za haki. In short hakuwa na jinsi ya kumtoa. Kumbuka hapo bado hajajua kuwa deep informer sio mzuri. Alikuwa hamkubali basi tu analazimika kumkubali. Alikuja kujua amechelewa sana
Deep infomer ni nani jamani
 
Hii ni kweli kuna sehemu nilienda kwenye ofis moja. Watu wakawa wanaongea lugha ya nchi jirani, maskini hiyo lugha mimi naijua vizuri, niliwasikia kabisa wakisema huu ulikuwa mpango kumchafua eti hajui kiingereza na phd yake na ujinga ujinga mwingine.

Mr born in town. Umefanya zambi nyingi sana as if utaishi milele.
Msaada jamNi born in town ni nani?
 
Ugonjwa wa CEO ukaanza kuwa sereous, maumivu makali sana upande wa kushoto, kwenye kifua mbavu pamoja na ganzi mwilini!

Doctor akasuggest baadhi ya vipimo kwa CEO japokuwa muda mwingi alikuwa akimwambia huu ni uchovu tu, hali itakaa sawa na akawa anampa dawa za michongo!!

Kumbuka this man was higly trusted by the CEO, hakufikiria wala kuwaza kwamba he can betray him!!

CEO akaendelea kutumia dawa hizo za mchongo, ambazo in one way or another zilikuwa zikimpa outside phyisical finess ila ndani ya mwili kuna lot of slow death activities zinaendelea

Wakati haya yanaendelea the old CEO alitumia muda huo kuwa na kikao na afisa usalma mkuu wa kampuni, mwanasheria mkuu wa kampuni na baadhi ya important board members kujua namna kampuni inapaswa kuendelea!!

The sick CEO baada ya kupata taarifa hiyo, alichukia sana, yuko kitandani he isnt okey then anaskia kuna meetings zinaendela kuhusu hatma yake!!

Akakumbuka since amerudi hakuwa na secretary!! Anaamua kumteua secretary mpya kuonyesha kuwa yeye bado ni CEO na ana run the company!!

The old CEO wakati huo akiwa na team yake wao walishaanza kueneza speculation kuwa the CEO is sick na hajiwezi!! Wali wa involve a lot of people na media kuneza habari hiyo!!

hii nayo ili msukuma the new CEO kutaka kuonekana public akifanya kazi! So aliona akionekana akiwa na secretary ataweza kuwaprove watu wrong!! Na ni mda sasa haonekani public

doctor new the secret!! CEO alifosi kutoka medical room baada ya kumaliza drip yake ya tatu na akaja direct kwenye press kavalia suti yake akijitahidi kujionesha mkakamavu!!kumbe Hakuwa sawa!! He was forcing aonekane sawa!!

Kwenye press alisalimia tu then akampa nafasi secretary azungumze baada ya hapo it was the last day for the man to be seen in public


After the press nikama tatizo lilizidi, alizungumza zungumza pale na some company staff then he was rushed to the medical room, after one hour akawa kama amepoteza fahamu! And was taken to a hopital

What happened??

Iko hivi.... One day baada ya kukubali kukutana na the late mwenyekiti, a sereous meeting ilikuwa ikindelea in one of the base ya the old CEO!

Decitions were to be made on how the CEO will be terminated! And what will happen after his termination!!

Hili suala lilikuwa zito sana! stage hii sasa iligusa a group of whom call themselves "deep company obsevers" hawa ni ex - leaders of the company! Their chair man ndio the old CEO

Ni group la watu ambao wanamaslahi makubwa sana kwenye kampuni! Miradi mingi sana ya kampuni tenders ni zao!! Hakuna tender au uwekezaji ndani ya kampuni ambao behind the scene wao hawahusiki!!

These people includes native and non none native! Some living in the country and other outside the country!!

Alipojichanganya our new CEO ni kutaka kuvunja hii kitu na kutaka kurenew kila kitu alichokikuta!!


Muda mwingi Alicheza na public zaid ili apate sympath!! but kwa hawa elites mgogoro ulizidi kukua!! Na ulikuwa kutokana na tabia za CEO dhidi yao!! Ali block their opperations, take their money by force and threat them!! Aliwafanya atakavyo!! Baadhi walianza kumuogopa!

Hivyo after the meeting maamuzi yalifanywa kutumia powder inaitwa NSP, hii ni modified polonium 210! Hii inauwezo wa kucheza na mtu kwa more than 80 to 90 days since awe contacted with!!

Hii inamuondoa mtu taaaratibu!! Na ni very thin to be seen with neked eyes!! Ina sifa ya kushambulia moyo, mapafu na ubongo very slowly dependimg na health status ya mhusika until total death!!


Hii ndio iliwekwa kwenye zile seald documents, documents alizozisoma mwenyekiti akiwa wa kwanza akitoka kwa CEO na pia DOCUMENTS alizokuja kuzisoma our CEO Kama nakala kutoka kwa mwenyekiti

Taraatibu powder hii ilikuwa ikiwatafuna daily bila kufahamu!! Dalili zilijionyesha mapema hata kwa CEO but hakuchukulia serous sana

hali ya CEO ilibadilika sanaaaa baada ya press, hakuwa anajitambua! his condition was getting worse!!

Doctor akapenyeza info kwa the OLD CEO, kuwa huyu safari ndio imewadia, team ya old CEO ikapenyeza taarifa hiyo kwa mmoja wa viongozi wa kampuni nyingine shindani, kiongozi huyo akaenda kwenye social medias akapost tangazo la pole kufuatia kifo cha the new CEO. He did that for popurality na uhasama dhidi yake na the dying CEO[emoji850][emoji26]

Booom!! Habari ikatua kwa jamii na wafanyakazi,

Watu wakataka msemaji wa kampuni atoe ufafanuzi! Athibitishe taarifa ile!!

[emoji57]Jamaa akatoka akasema the guy is fine and well!! Na yuko ofisini anaendelea na kazi! Na akasikia akisema msipende kusikiliza speculations[emoji16][emoji16][emoji16]


After 15 hours of suffering, pain na near death experience, majira ya saa tisa za usiku, the CEO woke up!! Ilikuwa ghafla!! The doctor was called immedietly, then a litle check up on him was done, kisha his wife, son and doughter were also called to see their farher!!

He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! His wife came close and hold his left hand, his son and doughter also came and stood behind their mother! They both in tears, watching their very sick father! then slowly He closed his eyes!

A moment of silence ....................

the machine stoped bping!! Daktari na manesi haraka wakaingia, wakawatoa nje mama na watoto, walijaribu kufanya evrything they can but the CEO WAS NO MORE the suffering came to an end!

The doctor pronounced him dead!! [emoji849][emoji849][emoji26][emoji26][emoji24][emoji24][emoji24]

TARGET DOWN! ...... I REPEAT TARGET DOWN............. our CEO is DEAD!!

Kume kucha ....... kume kucha ........

Team yake na CEO were in shork! Hawakuamini! They decided to play dirty baada ya kusikia their CEO is dead! Team ikamuweka chini ya ulinzi dactari! Ika mwambia hakuna kutoa taarifa hiyo popote na kwa yeyote kwa sababu za kiusalama!!

Kiongozi wa team akawasiliana na new secretary, akamtaarifu, they need money!! And they need it very fast! Akamwambia sababu kwanza aliye kuteua is no longer alive! Pili una mda mchache sana toka upewe huo usecreatary guarantee ya kubaki kwenye hiyo pisition ni verry low!!

Akamwambia; assistant wa CEO kiutaratibu ndio anapaswa kuwa CEO but hafit in that position, we need money to sedduce all seccurity aggences ndani ya kampuni kumkataa huyu assistant!!

ishu hii itakwenda kwa board members!! So we need kujipanga with good balance we can select our own CEO distribute some cash and we have people kule kwenye board, then our own guy atakuwa selected and wewe unaremain in your position as secretary!!

Secretary akawasiliana chap kwa haraka na mhasibu mkuu wa kampuni! Akamdirect kutoa kiasi cha pesa kutoka accout kuu na kiwekwe kwenye account ya mmoja wa team ya the dead CEO haraka iwezekanavyo!!

Sasa kumbuka daktari alikuwa na mawasiliano mazuri tu na ya siri na the old CEO, akafanikisha kumpenyezea taarifa ameshikiliwa na team ya CEO na CEO tayari is no more!! Na huku mazito yanaendelea!!

Team hii ikiongozana na yule bwana mdogo ilikiwa inajua Assistant wa CEO sasa ndio anakuja kuwa kuwa the CEO, it was a nightmare to them! Hawakutaka kusikia maana wanataarifa kuwa yule ni mtu ni wa the old CEO maslahi yao yanakwenda kufutika!

Mchakato ukaendela kwa wao kuzuia tangazo la kifo na wakaanza harakati za kuhakikisha anawekwa mtu wao!! siku tatu zinakatika toka CEO awe dead!! purukushani zinandelea!! Raia wanahoji where is the CEO??


Mzee wa connection Tayari alikuwa keshajipanga!
Alijua haya yatatokea na alishaandaaa plan nzima!! Wakawasiliana na afisa usalama wa kampuni kudeploy stage four ya mission nzima kwanza nikucleanup the mess!


Wakamkamata kwanza dogo kiongozi wa timu ya the ded CEO na members wengine woote wakawatia kizuizini!!

Secretary[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] akafuatwa, chap kidogo akawekwa chini ya uangalizi, maajabu aliyemfuata na kumkamata ni kijana wahapo hapo company house na ana mjua kila siku, na nimiongoni mwa walio pata fungu [emoji23][emoji23][emoji23]

You remeber our deep informal?? akapigiwa simu! Akaambiwa anahitajika haraka sana DSM arudi!

"Uko wapi? Niko .....,! Haya hapo hapo ulipo leo usiku kuna watu wanakuja na kuna waandishi wa habari watakuwa na hao vijana! The CEO is gone wewe ndio unachukua jukumu! So kuna kijana ana speech soma kama ilivyo!! asubuhi itakubidi ufike DSM haraka sana toa ushirikiano wako "

Simu hiyo ilipigwa saaa tisa za mchana!! Akiwa na walinzi wake, nusu saa tu baada ya mazungumzo hayo kundi lingine la walinzi linaongezeka pale ndani!! Iina kuja na full convoy with protection

wanashuka vijana na wanaongea na walinzi wa mhusika then wanaingia kumuona mhusika!!

wanambrief sasa sereously on the death of the CEO then wanaandaa press na wanamuistruct kuwa taarifa hii ina bidi isomwe saa usiku, why sababu za kiusalama! Huyu ni CEO, anawafuasi anything can happen nibora press iwe usiku kuliko jioni hii!!


So mhusika anakubari anasubiri usiku mnene, woga ni mwingi! The so called a plan now imekuwa reality l![emoji41][emoji41] Anapaswa sasa ku anouce the death of the CEO and become the CEO

waandishi wao, nao walikuwa wako prepared!

Time came!! then anaapear on the screeen!!

Breaking news......

"Nasikitika kutangaza kifo cha CEO kilicho tokea leo(realy leo????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]) , CEO wetu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya ........"

---
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
Binadamu ni moja kati ya viumbe hatari kabisa kuwahi kuishi kwenye uso wa dunia wallah! Duh!
 
Time came, new CEO akapokea ugeni wake kutoka DOHA, ndani ya ile presidetial suite kuna room nyingine ndogo, so kijana na CEO wakapata time ya kupeana updates!

Kijana alitumia miezi zaid ya mitatu kuandaa taarifa yake!! So akaanza kumbrief CEO akamwambia huyu mtu ni god father wa kampuni! Na hayuko peke yake!! external companies zote zilizo invest kwenye kampuni yetu niether ni za kwake au zinazomwamini sana mr born town!

kuanzia kwenye kampuni zetu zote ndogo ndogo zinazohusika na utalii, umeme, mafuta na ujenzi hawa watu ni share olders! Hakuna sehemu hawapo!! Branches manager wetu wote uliowarudisha kazini asilimia 70 ni watu wake!! Hivyo tumezingirwa na watchdogs wa mr born town hakuna kitu utafanya au kutena bila yeye au group lake lisijue!

Huyu mtu nguvu kubwa anaipata kwa investors wetu wa nje!! ni anaaminika sana!! Project yetu ya kampuni kuhusu ile bandari iliyokuwa crashed na the late CEO ambayo tunairudhisha ukweli nikwamba owners wa hiyo project ni most powerfull people in this world, na kuna mazingira ya mr born town kuwa among wanufaika

Akamwambia kuna mambo wanayoyafanya sasa hivi kurudisha gharama na hasara waliyopata kutokana na uongozi wa the late CEO!! unaona kampuni yetu ya umeme, sasa hivi tunauza sana jenerta badala ya solar sytems!! lakini pia kule kwenye vitalu vya uwindaji yule investor aliyetimuliwa na the late CEO, branch manager amesha ridhia arudi na awekeze! So juhudi za kuweka mazingira ya uwekezaji zinaendelea

Kijana akasisitiza hakuna mahala utagusa he is not there!! All Head of our security ni too loyal kwake, ispokuwa mmoja tu! Huyu analysis inaonyesha bado anamkubali sana late CEO!

Kampuni pinzani zoote unazoziona hapa nchini their Chairmans are his people! huyu tuliyekuwa na kesi naye juzi! Ambaye externa investors wametishia kustop investemnts kwenye kampuni yetu kama kampuni haita drop kesi, analysisi bado inafanyika kujiridhisha kama ni mtu wake au lah!!

Lengo la the late CEO kumshughulikia huyu mr new culture lilikuwa ni kuivunja kabisa kampuni yake baada ya kugundua kuwa ni hawa hawa investors wanaomsponser huyu mr born town ndio wanaomsponsa na yeye! Sasa why wanawasponser two people with different idiologis hapo ndio task force imejikita na soon tutapata majibu



Huyu mtu mr born town wealth yake ni more than 100 years! Most of his dirty money are kept in malaysia! so kupambana naye inabidi kuwa makini na smart sana!!

Akasema kuna kundi ambalo halimtaki tena mr born town kuwa kama kiongozi wao, wanataka changes na kinachoononekana hawa watu wamejipanga sana! Wako kwenye harakati za kumuweka mtu wao!! shida hili kundi ni la watu wa ndani tu sio wa nje! Nje bado anasupport kubwa sana!!


CEO alikuwa makini sana akimsikiliza kijana wake!! Hakushtuka sana sababu baadhi ya vitu anavijua sema hakuvijua indetail kama ambavyo kijana amemfafanulia!!

So CEO baada ya briefing iile akamwambia kijana kuwa her chances are very low to survive this guy!! Kulingana na alivyo jisimika! So options zake nizipi??

Kijana baada yakuulizwa hivyo akasema option zipo but ni very risk!! We have planned a mission, but what we have to do nikuwatembelea hawa external investors unnoticed, if they are getting a proffit of 20% in their investment in our company sisi tu waongezee up to 60% or more with a condition that mmoja mmoja wasaide wewe uwe chairman mpya!! Kwamba we need to atract them to be in our side!!

Lakini pia kuwahakikishia hakuna kuvunja au kukataa mradi wao wowote!! We offer them good interest they give us power!! Maana wako after money and not some one! Istoshe wewe ndio CEO sasa hivi!

Pili kwakuwa kila dipartment ina branch manager ambao ni too loyal kwa mr born town, hao hakuna kuwagusa all we need to do nikuwaacha tu, let them be free as long as we know them! hawa watu wananjaaa sana, tuwaache Wale kwa urefu wa kamba zao[emoji1787] na wakati huo moja baada ya mwingine tuwa convert secretly wawe upande wetu, wabishi tuta apply other ways [emoji1787][emoji1787]

And this is why na introduce kwako hii kitu inaitwa " checks and balances mission"

kijana akachukua red printed document akampatia akamwambia hii ina kila kitu! Take this with you! Read it carefull then TUPE GO aheard kila kitu kitakuwa Sawa!!

Baada ya ile meeting CEO alichukua ile document na kuitunza mwenyewe! Kisha wakaagana, akatoka kwenye kile chumba wakapiga picha na yule mwarabu from doha ionekane yeye ndie alikuwa anazungumza nae na sio yule kijana then CEO akaendelea na ratiba zake!!

Sasa what is "cheks and balance mission" hii ni mission planned na kijana wa the new CEO akiwa na wenzake watano!! Project hii ilikuwa na level tatu! Target wa mission ni mr born town! Lengo ni awe termineted airther friendly or hard way!!

Project hii imekuwa categorised kwa level tatu!

Level one ni Kuua makundi yoote na kuorganise kundi moja kubwa lenye nguvu nyuma ya new CEO. Ili ikamilike Level hii iliwekwa katika stage tatu!

Moja ni kuwashusha temper na hasira team late CEO, wanashushwaje temper na hasira??? nikuhakikisha miradi yoote ya the late CEO ndani ya kampuni ina kuwa implemented kama ilivyoanzishwa na the late CEO, hii itasaidia kuwarudisha kundini wawe na the new CEO karibu! [emoji41]

Lakini pia ni kuwaidentify wale wabishi wenye misimamo sanaaaaa kuwashughulikia nicely na sio in a harsh way, ila ikibid harsh way itumike!

Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO

tatu,kuhakikisha wale resistant yaani lile kundi lisilo mkubali mr born town lipewe freedom na ulaji wa hali ya juu kwa kuinvesting in the company!!

Second level!

Hii ina stage mbili tu, Stage one is to ensure good publicity kwa new CEO, apendwe sana, yaani saaana! kwa kuhakikisha customers wa kampuni wanamkubali sana CEO!

Stage ya pili itawahusu all security agencies,hapa kijana aliwaza kutindua wote wenye mrengo hasi na CEO unoticed

Level ya tatu
Hii ndio yenyewe! Kama level one, two na three zikifanikiwa mr born town hana chake iwe nje na ndani so ni kumgoa kucha tu!

Wakati haya yakiendelea, mr born town homa ya jiji, nayeye alikuwa na yakwake kichwani!

Moja ya vitu alivyoviamini kutokana na uzoefu wake kwenye game ni kuwa ukiona mtu anafuata sana kila unalomwelekezatena bila kukosea ujue kunajambo analifanya na anajaribu kukuficha [emoji23][emoji23]

Baada ya tafakuri kwa kina Alichokifanya ni akampigia simu kijana wake mmoja, akamwambia huyu CEO nahisi kunakitu behind the scene kinaendelea! She is too good, yaani kila nnalotaka anafanya nothing is wrong! This isnt right!!

I have something in my mind nafikiri nikifanya itanipa jibu!! Nafkiri sasa Tutamuhitaji zadi mwenyekiti wa bodi!! Huyu ndio atakuwa karata yetu kujua what is goin on! Lakini pia akawaalet vijana wake pale makao makuu, kwamba heads up!! Wafuatilie whats goin he need updates!!

Kijana akamtafuta mwenyekiti wa bodi! Ikumbukwe mwenyekiti wa bodi alikuwa team late CEO, yeye ndio alimnyima kibali cha kutoka nje kijana msema sana baada ya kudugwa mirisasi, lakini pia, hata fidia yake alimnyima kabisaaa. kijana alipata majeraha kazini alistahili kulipwa!!

Kijana akaworganise timu yake wakamfuata Mwenyekiti wa bodi privetly, direct wakamwabia anachopaswa kufanya unless otherwise something worse would happen to him!

Chearman wa bodi kulingana na alivyotikiswa na wale vijana he had no choice but to implement the plan!! Akaanza kumpinga live CEO hadharani! one day akiwa kaalikwa kuwahutubia vinana wajasiliamali katika aliyo yaongea akatamka wazi kkuwa CEO anaendesha kampuni yao kwa sasa anaiendesha kwa kuchukua loans sana! Akasema kampuni yao itaweza kufilisika soon kama hatua zisipochukua haraka! Ikiwezekana atolewe!!

Hiyo kauli ya atolewe ndio ilimtoa CEO Mafichoni tena kwa hasira juu!! Hisia zilimwendesha badala ya critical analysisi ya kujiuliza kwanini huyu mtu ametamka haya sasa, na si hulo nyuma? Hiz guts na confidence za kusema haya amezitoa wapi?? badala yake CEO Alimnaga live chearman wa bodi na kudecler live kuwa yeye bado yupo yupo sana kwenye position hiyo!! Na akamtaka yeye mwenyekiti ndio atoke kwenye position hiyo!! Kimwonekano wake alimaanisha alichokuwa nakisema. Kumbe bwana, our CEO felt in Mr born town trap! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] A Very Big mistake[emoji1787][emoji1787]

Unaruhusuje hisia kwenye jambo sereous hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]

mr born town baada ya hiyo reaction ya CEO akawa amejithibitishia kuwa CEO wa sasa atakuwa na kitu behind the scene anakifanya ili aweze kubaki madarakani!! Na hicho kitu kama hajashilikishwa so she is betraying him!!! Mr born town was very maaaaaaaaad askwambie mtu!!! Very Maaaad!!

Je kete za mr born town zitaanzia wapi ili kuila kingi kwenye draft?...........

Is the CEO able to bring late CEO team under her wing??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mambo ni mengi muda ni mchache!!!
Duh! Mbwa kala mbwa la hallaullah!
 
ufukunyuku ni kwamba late ceo alimtumia wakora bontown,,wamchomoe akashtukia!tena siku chache baada ya kifo cha LOFA.
hata LOFA alichomolewa kimtindo na late ceo ambapo sababu alianza kuwashwa.
mission accomplished lofa akapigwa polorium kwenye kikao kile pale dom..
bontown alijua game ilivyokuwa hivyo akakaa red handed whenever worst case scenario!
kumbuka late ceo assasination team yake ni mambulula watupu wote ni mashahidi.
wakamtokea bontown wafanye MURDER LOOKS LIKE ACCIDENT.
kitu walifanywa sio cha nchi hii.
late ceo alikuwa na plan nyingi ili apate ufalme wa milele..lakin alizungukwa na SUCKERS watupu wasiokua wazuri kwenye medani.
kitu alichofanyiwa alikuwa anakiona na anakijua.ANTICIPATE DEATH yaani anaoneshwa inner cicle yake inapukutika huku akijua the next target ni yeye na escape route is narrow.
Duh!! Ilikua mtifuano wa hatari sana
JamiiForums-1877467598.jpg
 
Back
Top Bottom