Dark days 17/03/20...

Hamna mama yupo hadi 2025 then hadi 2030
 
Umeona ile sim aliopokea new CEO kwamba mpango wa kumtoa 2027!!?

Kama akilazimisha tu itakua hivyo hawa jamaa bado hawajabatilisha ujio wa fdr ujue!!lakini nashangaa siku zinasonga tu !!
"Umeona ile sim aliopokea new CEO kwamba mpango wa kumtoa 2027"
Sim ipi mkuu alipokea na lini hiyo alipokea?
Mimi nadhani mkuu deep state wameghaili Mpango wao wa FDR, ..... maslahi yao yanasimamiwa vizuri na new CEO
 
"Umeona ile sim aliopokea new CEO kwamba mpango wa kumtoa 2027"
Sim ipi mkuu alipokea na lini hiyo alipokea?
Mimi nadhani mkuu deep state wameghaili Mpango wao wa FDR, ..... maslahi yao yanasimamiwa vizuri na new CEO
Mwishoni mwa episode 1 season 2 inaonekana hii ya juzi alotoa yoga!new CEO kapokea sim toka kwa kijana wa mzee akamwambia wanna plan ya kumtoa 2027!!
 
*Six; mr new culture, kijna msema sana and others should be brought back in the company affears na wawe trated right, and NEW CULTURE should now be prepared
Aliyeelewa NEW CULTURE SHOULD BE PREPARED ~~FOR WHAT? ETII aandaliwe kwenye nn

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Prepared kuwa pm baada ya katelephone au!!?
 
Mbona Bush baba aliua Vietnam amekuja kufa uzeeni natural death, George Bush mtoto, kaua Iraq na Afghanistan hadi leo anadunda, Idd Amin aliua sana kaja kufa uzeeni, nadhani wauaji si wote hupewa hukumu wakiwa duniani.
 
Iandike kuanzio L-u-t kisha malizia na a
 
Mbona enzi za kikwete kuna watu wengi waliuawa Sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…