NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hata obama inaaminika ni laboratory product!ndicho anachomaanisha huyo jamaa!Hebu dadavua hapo pa clony
Wala sio kumtishia..... kwani Nini Cha ajabu? Mfano Dr Janabi amewahi kwenda pale voda kipindi kile JPM kapotea wiki mbili baada ya kutoka kusini nadhani 2019 Ile. Akasema wazi kwamba Rais haonekani sababu alipata shida ya moyo!! Wala haikuwa Siri Wala haikuhitahu connection maana alikua anasisitiza haja ya kufanya mazoezi.Nyie ndio wale ukibishana na mtu unaanza kumtishia ..."Hujui nimesoma na waziri wa mambo ya ndani?? " Au "haujui RPC kamuoa dada yangu?"
Punguza ujuaji, mwandishi keshakiri hii ni riwaya tu Wala Haina facts yoyote. Sasa nashangaa wewe msomaji ndio unakua serious kutetea mada ilihali ushaambiwa ni fiction.Yaani madogo wengine wamekuja mwishooni kabisa wana Wenge alafu hawajui kitu....hata ukiangalia tu namna wanavyoandika unajua kabisa huyu hajui kitu...
Conspiracy tu hizo, why would you make a clone kama original yupo na anaenda sawa sawa na matakwa yenu? Hiyo teknolojia Bado haijafika huko ya kuclone binadamu ila wanaweza clone mtu kwa robotics sio binadamu.Hata obama inaaminika ni laboratory product!ndicho anachomaanisha huyo jamaa!
Mara nyingi clones wanakua na scar mahali hasa shingoni!
Na HIZI projects hufanywa kijasusi KWA malengo maalum ya Taifa husika!!
Zito kama zito!Wala sio kumtishia..... kwani Nini Cha ajabu? Mfano Dr Janabi amewahi kwenda pale voda kipindi kile JPM kapotea wiki mbili baada ya kutoka kusini nadhani 2019 Ile. Akasema wazi kwamba Rais haonekani sababu alipata shida ya moyo!! Wala haikuwa Siri Wala haikuhitahu connection maana alikua anasisitiza haja ya kufanya mazoezi.
Na hiki nachosema Wala hakihitaji connection maana sio ikulu Wala TISS ni hospitali tu. Madaktari wa moyo wa JPM wanajulikana na nimekutajia mmoja wapi ni PK Sasa kama ameuwawa huyo dokta angekua hai Hadi Leo? Si wangemmaliza asivujishe Siri.
Tupunguze ujuaji, fuatilia kwanza vyombo husika ukikosa taarifa ndio useme kauwawa. Sio hujawahi hata kufahamu chanzo Cha kifo unakimbilia tu kauwawa!! What the hell.
Mimi ni zitto junior ni CHADEMA damu damu..... Ila zito kabwe anatumia ZittoZ
Zito kama zito!
Mbona maandamano ya ACT yaliyeyuka!!?
Duh hii ni noma sana ngoja siku watuletee Tena clony ya mwendazakeHata obama inaaminika ni laboratory product!ndicho anachomaanisha huyo jamaa!
Mara nyingi clones wanakua na scar mahali hasa shingoni!
Na HIZI projects hufanywa kijasusi KWA malengo maalum ya Taifa husika!!
Roho yake inaishi bado!na ni kitisho KWA mafisadi hasa pale anapowatokea kwenye ndoto!!Duh hii ni noma sana ngoja siku watuletee Tena clony ya mwendazake
[emoji23][emoji23][emoji23] kaskazini kwenye kamusi yetu ni yente yente tu. Hatujui kupika sisi. Mwendo wa ngiri tu bablaiNaona cariha na miss pablo leo jukwaa limekuwa lenu.
Mmewapikia kweli hata mashemeji [emoji23][emoji23][emoji23]
Me namkubali bt. Yawezekana kbs. Pigwa spana mpaka akili imkae vyemaNaskia huyu wa sasa hivi ni copy ama clone Mwenyewe alishavuta kitambo tu
hahahaha,dahMama gwajima sikuhizi anajitahidi Kwa kweli Anna makinda yeye hutupiaga kawigi kake kauka nivae na kuvaa vizuri, Sasa madame speaker wetu kajichoka sana
I think anamaanisha YOGA ndo cloneHata obama inaaminika ni laboratory product!ndicho anachomaanisha huyo jamaa!
Mara nyingi clones wanakua na scar mahali hasa shingoni!
Na HIZI projects hufanywa kijasusi KWA malengo maalum ya Taifa husika!!
kama bado una amini media , una njia ndefu sana kua free thinkerPunguza ujuaji, mwandishi keshakiri hii ni riwaya tu Wala Haina facts yoyote. Sasa nashangaa wewe msomaji ndio unakua serious kutetea mada ilihali ushaambiwa ni fiction.
Ndio maana hata page za udaku huko insta Zina followers wengi kuliko mainstream media kama Azam au Jamii forums.
Inawezekana coz aliporipoti kushindwa KWA new CEO na kukubali tena kuwa chini ya Bt mwandiko ikaanza kia tofauti kidogo japo upo na flow ile ile!!I think anamaanisha YOGA ndo clone
It's funny unasema tusiamini media na unaamini maandiko ya JF ambayo ni media pia ikiwemo hii story.kama bado una amini media , una njia ndefu sana kua free thinker
Tofauti kati ya tolu na nani mkuu?Yoga kwenye simulizi kaandika CEO kagundua BT na tolu, CEO wa kampuni jirani haziivi. Labda ziara ya tolu ililenga kumaliza tofauti zao.