Dark days 17/03/20...

[emoji106][emoji120]
 
Kwa hiyo atalipwa mabilin yake au ndiyo imeisha hivyo?
 
Kwakweli[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Unatembea roho mkononii hapana hapana kabisa mkuu!

Kweli aisee.

Ukiingia hautoki. Wao wanaamini moyo wa mtu kichaka. Ukianza mashambulizi ndio basi, hata ukikubali yaishe, adui yako anaamini utamrudia ukipata nguvu. Ni kuwindana tu mpaka mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…