Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Missions ilikuwa hivii

Maembe 2025 awe VP then Huyu wa sasa akae miaka 2/1 baada ya hapo awe execution then maembe ashike usukani.

[emoji23]Leo nimefurahi sanaaa.
Team msoga wapo kwenye taharuki

Hapa hakika teeth wamefanya kazi nzurii Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A6C9F5D6-D4CA-4AB8-B810-6758E58C4277.jpeg
 
Missions ilikuwa hivii

Maembe 2025 awe VP then Huyu wa sasa akae miaka 2/1 baada ya hapo awe execution then maembe ashike usukani.

[emoji23]Leo nimefurahi sanaaa.
Team msoga wapo kwenye taharuki

Hapa hakika teeth wamefanya kazi nzurii Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nini faida ya uongo uongo huu.
 
Missions ilikuwa hivii

Maembe 2025 awe VP then Huyu wa sasa akae miaka 2/1 baada ya hapo awe execution then maembe ashike usukani.

[emoji23]Leo nimefurahi sanaaa.
Team msoga wapo kwenye taharuki

Hapa hakika teeth wamefanya kazi nzurii Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uongo huu unakusaidia nini mkuu?
 
Missions ilikuwa hivii

Maembe 2025 awe VP then Huyu wa sasa akae miaka 2/1 baada ya hapo awe execution then maembe ashike usukani.

[emoji23]Leo nimefurahi sanaaa.
Team msoga wapo kwenye taharuki

Hapa hakika teeth wamefanya kazi nzurii Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye updates za yoga alisema queen Sasha ataongoza Hadi mwaka 2027 then aje mwingine. So naona kulikuwa na kaukweli Kwa mbali.
 
Mkuu

Kwahiyo ile ishu ya fdr kuingia kitalani imeyeyuka!!?

Mi nilidhani hilo tukio lita leta domino effect KWA mapapa kuanguka hasa watakaohudhuria musiba cyprian au!!!?

Kwamba picha ndio linaanza rasmi au sio!!!?
Missions ilikuwa hivii

Maembe 2025 awe VP then Huyu wa sasa akae miaka 2/1 baada ya hapo awe execution then maembe ashike usukani.

[emoji23]Leo nimefurahi sanaaa.
Team msoga wapo kwenye taharuki

Hapa hakika teeth wamefanya kazi nzurii Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usinambie hii kitu ndo unaijuwa kwa mara ya kwanza? Duniani hakuna siri watu wake wa karibu na the late ceo walivyoanza kufa siri ndo zikaanza kutoka hata huku mitaani baadhi ya watu tulijua hii mipango lakini ndo hivyo huna cha kufanya unamwambia nani? Mtu anakwambua mapema ceo kafa meza pin.

Kama mimi nilijua mapema ceo kafa wiki kabla ya tangazo , nikiingia humu jf watu wanauliza ceo yuko wapi? Nashindwa kusema maana ilikuwa ni hatari kusema. Hakuna siku zilizonitesa kama hizo wiki mbili ceo kashakufa watu hawana taarifa.
Aisee
luckyline si kwa mapenzi yale ya baba kwa branch manager hata juzi kwenye siku ya maadhimisho ya kifo chake alikuwa pale chato akiwa frontline na vijana wa mzee
Jamaa anajua kujipenfekeza sana
Heee kumbe upo![emoji23][emoji23][emoji23]Malizia Basi umekatishia patamu,Mi nilijua genge la old CEO washakuteka, nikaona nikusengenye kidogo......
Patamu kama nini[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom