Dark days 17/03/20...

The MoNA asante sana kwa kunitoa tongongo kwa mbaaaaali, Dip steti ni dubwasha fulani linatisha, heri yao walio kwenye hilo dubwashiko.
Kuna sehemu Yoga alisema Bt alikuwa ni katibu wao, na kuna wale 10 kwa 7 walimfuata, inaonekana kwenye mazungumzo yao kama vile Bt hawaogopi na kama vile anawajua sana kuliko.
 
The MoNA asante sana kwa kunitoa tongongo kwa mbaaaaali, Dip steti ni dubwasha fulani linatisha, heri yao walio kwenye hilo dubwashiko.
Kuna sehemu Yoga alisema Bt alikuwa ni katibu wao, na kuna wale 10 kwa 7 walimfuata, inaonekana kwenye mazungumzo yao kama vile Bt hawaogopi na kama vile anawajua sana kuliko.
 

The MoNA kama 1st CEO kwamba hakuijua yote,
1. je Mwasisi wa dip steti Tanzania ni nani?

2. Dip steti ilianzishwa mwaka gani Tanzania?

3. Malengo ya kuanzishwa Tanzania ni yapi?
 
Ben aliondolewa na BT na haraka haraka vijana wa BT wakaja na tuhuma kuwa late CEO anahusika. Lengo la kumuondoa be ili BT na timu yake wakija muondoa late CEO asipatikane wa kupiga kelele. Lakini ben naye alipita na mchonga ili abinafsishe NBC kuzaa NMB na mashirika ya umma. Maana ingekuwa late CEO alimuondoa ben basi hata BT angekuwa kaondoka naye. Maana late CEO alipewa nyeti za uhaini ili atoe ruhusa ya kummaliza BT ila alikataa kabisa.
 
Nachohisi hili dip siteti lilisukwa na 1st CEO wakati anaamua kuachia ngazi akaona awese kuongoza kwa mkono wa nyuma kupitia hili dude zito. Kumbuka 1964 kuna maasiyalitokea jeshini, kisha mwaka 1982/1983 watu wakakitaka kiti.

Hili dude linaogopeka mno, na ndilo linaweka wahusika madarakani, hata 2015 chguo la BT halikua chaguo la Dip Siteti, akaja na lao maisha yakasonga.

Nachoshindwa kuelewa ikaaje 2021 yakatokea yaliyotokea, je late alikua kinume na hili dubwana kubwa? Wakala kichwa nk ama kuna nini nyuma ya pazia
 
Kwanza tufahamu Muundo wa deep state ni Siri na hakuna anayejua Muundo wao hata Putin aliwahi kuwalalamikia nanukuu "Inaonekana Kuna Watu wenye nguvu Kubwa nyuma ya Serikali zote Duniani na ndiyo wanaamua Mustakabali wetu" kwa mawazo ya haraka tu hawa deep state wapo Kama kabeji au kitunguu ukiwa ganda la juu ujue Kuna ganda lingine na lingine na lingine hivyo hauwezi kuwafahamu hata siku moja mbaya zaidi hawana utambulisho na kumbuka miongoni mwao ni wafanyabiashara matajiri na ikumbukwe hao matajiri wanao run show huwez kuwakuta ktk list za Forbes Ila hao akina Gates,Elon,Jeff Bezon na wengine wengi ni wafanyakazi wanaosimamia na kuwezeshwa na hao wasiojulikana,JFK pia aliwalalamikia vile vile hadi mauti yanamkuta.Duniani Kuna Siri ambazo hatutakaa tufahamu kamwe hata hao Wachache wanaojifahamu hawawafahamu wengine wa ndani ndani milele na milele so Unaeza kuwa sehemu ya juu tuu na pia ukawa monitored na Kuna mengine hayajui kbs imagine wanaomiliki Federal reserve how powerful they are? Mi nadhani huu Ulimwengu unamilikiwa na Watu Wachache Sana na ndiyo hao wametengeneza hizi deep state za kibara,Kanda na taifa,jiulize Kama vyombo vya Ulinzi na usalama vinaripoti kwa ceo je ceo anaripoti kweli kwa vibwengo Kama asemavyo ndugu yetu? Kuna Siri ndani ya Siri na ndani ya ile Siri ya ndani tena Kuna Siri nyingine ndani ndani uko sirini ambao kimuundo Inaonekana ni Watu Wachache Sana wenye mrengo unaofanana kwa kila kitu uko sirini ndani ndani kbs.
 
Itoshe tu kusema bt ni kina kirefu.

Nikikumbuka ile 95 wakati anakubali kiurahisi kumuachia nafasi bwm vile alivyo sema team zangu za kampeni zote ziwe timu za bmw!
Kumbe mwamba ako na team tokea enzi hizo, tena team za ushindi.

Ndio mkuu.
Kina kirefu ambacho kukipima wahitaji vifaa maalum.

Mwamba plans zake kutoka akiwa monduli ndizo anazoziishi sasa. BT ndiye CEO aliyeukwa uCEO kwa kuuchorea ramani toka kitambo sio kitu cha kubahatisha.
 
Duh! Kuna watu wana Roho! Aisee!
 
Ila mbona visa vingine vinakua personal sana ila vina sura ya dipstaity
 
Hawezi kukosa, alishaingia anga za BT mara kadhaa akaona kila alifanyalo BT yupo hapo.

Akapunguza speed, na kwa ushauri wa MZEE akampa plans kadhaa za kudeal naye na sio kama Sasha alivyokuwa anataka.
Kukosekana ni ngumu.
Ndio wanazidi kumlewesha!
 

[emoji81]hapo mwisho sasa.

Unazipata ukishamuwa mtu wa kitengo, a mfukunyuku zaidi. Sio mtu wa kusubiri kupewa data tu, mbina utapata vizuri tu. Je kama huyo aliyetangulizwa na ben 10 alimwambia huyo mzee? Doesn’t that make sense?

Pakishakuwa na mazungumzo, bajna ya wawili wakizungumza siri, ujue sio siri tena. Huyo mtafuta data hakua akitafuta mwenyewe tu kwa kuangalia alitumia watu. Je vipi kama aliomba msaada kwa mzee? Doesnt that make sense?

Niliwahi kusoma mahali kuhusu hili kwenye comment moja ya uzi ambao siukumbuki. Kuwa ben ten alimtanguliza muasisi, kwa kuwa alikuwa kikwazo kwake kimamlaka. Leo umeniongezea taarifa muhimu sana, huenda ikawa kikwazo kikawa ndiyo hayo mafaili. Ila alimuondoa unnoticed kiasi muasisi hakulijua hili. Vinginevyo angeshampa faili mtu mwingine adili nalo.

Yeah The late CEO, mtu aliyekuwa anamsikiliza ni ben ten, huyo ndiye alimuingiza kwenye uongozi wa kampuni. Kuna kipindi akiwa na cheo chq kusimamia wizara fulani ndani ya kampuni, late CEO aliwekewa poison ili atangulizwe, alionekana mwimba kwenye deals za watu. Akanusurika kisha akamfuata Ben ten akamwambia mim siwezi tena, nataka kuacha mambo ya kampuni. Bet ten akamuita kwa jina lake akamwambia kapige kazi usiogope. Nafikiri ndicho kilimfanya late CEO kumsikiliza sana Ben ten hata kumuogopa, hata uCEO alipewa na ben ten. Unajua kamati kuu ya green party kilikua kama chini ya ben ten alikuwa na sauti sana tena sana. Yeye ndiye alisema nywele nyeupe na dodo wakatee majina kisha late CEO apitishwe. Hapa ni baada ya majibizano ya lisaa na zaidi kamatini.
Lakini upande wa pili inasemekana Ben ten alikuwa kikwazo kwa BT kwenye mambo yake hivyo akamtanguliza ben ten ili aje kwa late CEO. Kwan angeanza na late CEO Ben ten angekuwa mwiba mkali sana.

Bado sijapata taarifa sahihi kati ya BT na late CEO nani alihusika na kutangulizwa kwa Ben ten?

Ila huko juu vita sio poa inahitaji nguvu nyingi za kiroho kuliko za kimwili.
 
Kwanza nikiri wazi mimi mwenyewe ni Fan wa BT nazikubali sana akili zake na jinsi anavyowahenyesha adui zake ila siku za hivi karibuni baada ya kifo cha Mai Dodo ni kama BT amekuwa dhaifu sana,saikolojia yake ni kama anapoteana hivi!

Nakasirika sana ninapoona role model wangu anapoteana,mfano hotuba yake ya leo pale jumba jipya haikupaswa kuwa vile!ilitakiwa amsifie late CEO mwanzo mwisho ili kuwapoteza maadui.

Mungu ibariki Tanzania,mpe maisha marefu BT.(emotions zinampagawisha,now he is too week, I'm afraid the man will fall this time)
 

Enhee..!!! Huko ni dip stet ndani ya dip stet ndani ya dip stet.

Unaweza kuona umeimaster kumbe upo hatua za awali kuielewa. Ni li dumbwana kweli.

Yes BT level alizofikia ni kubwa sana kwenye dip stet, japo hajafikia sehemu ya maamuzi binafsi. Ndicho kilichomfelishs late CEO yeye alideal na BT direct, badala kuusoma mchezo wote na mfumo wa BT. BT amekuwa mvumilivu toka enzi hizo za muasisi ili tu apate kuijua kampuni.

Yaani dip steti ni kama pyramid hivi mfumo wake.
 

2) kumbe Zile mambo za KIOO Zina ukweli [emoji102]
 
Wenye dip taste leo wapo kwenye kikao chao kama ilivyoelezwa...Nimeota tu abunuasi mie!
 
Para ya mwisho ni muhimu sana kuliko zooote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…