Dark days 17/03/20...

TORU Kama mzee ghafla! Lkn mbona TORU ni alikaa sana mitaa ya nyumba nyeupe, inamaana hujawah hata kunusa chochote? Then kwenye kuomba uCEO alisema anaijua vyema system. But now kama haamini alichokua anadhani anakijua Kumbe sio
Walikua wanamchora tu ,,,,now amekata body hatariiii,,Ila as day goes naona ana-recover means ashaanza kuizoea hali
 
Usichojua ni kuwa YOGA pia ana comments na kuchangia hii simulizi kwa kutumia majina mengine. Kuna madini mengine mengi yameshushwa na wadau ambayo pengine YOGA asingeyajua au anayajua ila asingeyaweka direct, kuwa mpole....
 
LAKINI LATE CEO ALIJIPANGA KULA KEKI NA VILAZA AKINA DAB!AKAFUTA AJIRA,AKANYANYASA WATU NA MBAYA ZAIDU AKANYANG'ANYA PESA ZA MYUME MWINGIRA NA EFATHA BANK!
 
Kaingiza tena, awamu hii. Rejea kauli ya Charles Mwijage kufuatia mauaji ya katibu kata wa CCM katika moja ya kata za Muleba Kaskazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…