Naam , kitu pekee alichojaliwa ni uvumilivu na tabasamu la aina yake, lakini ni mtu mwenye abc za kutosha kwenye hii state, mwanzo wake sio jana wala leo, kama alikua tayari kuwania uceo kati kati ya miaka ya 90 na aliwini kwa kiasi kikubwa dhidi ya ngome kubwa kipindi kile, aliwini dhidi ya teacher ambae ndio yake ilikua ndio na hapana yake ilikua hapana kweli. Itoshe kusema huyu mr sio wa kupika nae chungu kimoja, kosa kubwa late ceo haukuzingatia ukubwa wa huyu mtu, alidhani ukiisha kiwa chief executive officer basi hakuna yoyote juu yako wala kando yako anaweza sumbua, kumbe bwana alipo lala leo mwenzie aliamka jana, ni kusema kitanda ulicholala unajua kunguni wake!
So ilimpasa mr late akae darasani sana kabla ya kufanya aliyoyafanya mwisho wa siku imekua Garama kwake, familia na sisi sote.
Binafsi mpaka leo sijaweza kupona sawa sawa kutokuwepo kwa late ceo, pale ndio ilikua sehemu pekee ya kuvuka sisi kama campuni lakini huwenda ikatugharimu miaka hata 50 ijayo kurudi 2015-2021!