Dark days 17/03/20...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujambo lakini!?
karibu mkuu YOGA twasubiri kuku choma kwa hamu ulilete hapa tuanze kuvunja mifupa aina ya CODE ....rete brand niuuu...
 
Veronika Amadu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naam, Ile "riwaya"/liwaya haikuwa ya Mchezo mchezo.
===
Wizara ya Utamadu, Sanaa na Michezo, ingetoa fungu la kuandaa filamu za kutumia vitabu vya Akina Musiba(siyo huyu anayedaiwa fidia) na akina Ben Mtobwa kwa kutumia Hata watengeneze filamu maarufu Duniani, wakiwatumia na baadhi ya wasanii wetu wa ndani.

Hii ingeonyesha ni namna gani tunathamini wasanii, na waandishi wetu wa Sanaa na tuna dumisha Sanaa hizi na kuitangaza Tanzania kwa upana zaidi Duniani.

Kuna furusa nyingi, ni namna gani unaiangalia Hali kama furusa. Mimi nimeiona hii.
 
Mkuu kuongoza watu milioni 60 n.k sio mchezo kumbuka kuna watu tu familia zinawashinda. Sio mchezo
 
Uceo sio issue kabisa mzee amekonda mpaka huruma
 
Mkuu kuongoza watu milioni 60 n.k sio mchezo kumbuka kuna watu tu familia zinawashinda. Sio mchezo

Ukikubaliana na dip steti ni rahisi. Wewe toka umekuwa si unaona wengi umewakuta na mpaka leo wapo kwenye kampuni na vyeo vingi tu…!!! Huoni hata vijana wakipewa nafasi hawabanduki.

Ishu ni kwenda kinyume nao (dip steti na dip stet ndani ya dip stet), hali huwa ngumu. Ukikubaliana nao wanakusaidia sana kuwaongoza hao 60m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…