Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Na hii ndo Ishara kamili ya Yesu kurudi Duniani. Upo sahihi kabisa tushuhudie hiyo Miaka kuona uwepo wa Yesu.According to Hebrew callender tayari tumekwisha uingia 2024.
Mwaka 2023 ilikuwa nusu shari, bt 2024/2025 ni shari kamili.
Msiotaka kutubu kubadilika na kuacha DHAMBI, mnaodhukumu HAKI za raia maskini na kuwatwisha MIZIGO mizito na shuluba tele,
KAZI mnayo!!
Laki moja na arobaini na nne Elfu,Biblia imetoa idadi ya wa israel wataookolewa ni
Laki na arubaini na nne
Kurudi Kwa Yesu mara ya pili ni Kwa HUKUMU, hiyo Bado,Na hii ndo Ishara kamili ya Yesu kurudi Duniani. Upo sahihi kabisa tushuhudie hiyo Miaka kuona uwepo wa Yesu.
Au unasemane Nabii
#JesusComingSoon
Io sio coded chini imetoa hesabu kwa kila kabila na idadi ya watakao okolewaLaki moja na arobaini na nne Elfu,
Na hesabu hiyo ni coded, Si ya kibinadamu.
12*12 Elfu, ni hesabu ya Mbinguni, ni Siri juu ya idadi wataoingia.Ufunuo wa Yohana 7:3-4
[3]akisema, Msiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.
[4]Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu.
Usibishe,Io sio coded chini imetoa hesabu kwa kila kabila na idadi ya watakao okolewa
Namba ambazo ni coded ni aiku moja kwa Mungu ndo miaka elfu hakuna kingine.
Izo saba ni saba, moja ni moja, mihuri saba ni saba ngurumo saba ni saba.
Malaika saba ni saba.
Kama usingekuwa na idadi ingeelezea kama ilivyoelezea idadi ya sisi watu ambao sio wa mataifa mistari iliofuata
Kwaio Mungu alidanganya.Usibishe,
Hesabu za kiroho, haziwi solved kibinadamu.
Mungu hajawahi Sema uongo. Kitabu Cha ufunuo ni coded.Kwaio Mungu alidanganya.
Kwaiyo Unyakuo wa watakatifu ndo umekaribia.Kurudi Kwa Yesu mara ya pili ni Kwa HUKUMU, hiyo Bado,
UNYAKUO wa WATAKATIFU ndo utatangulia, ndo maana ametuma watumishi wengi kulikusanya Kanisa Ili waishi maisha ya Utakatifu Ili wasijeachwa saa ikifika.
Ata hivyo upo vizuri sanaMungu hajawahi Sema uongo. Kitabu Cha ufunuo ni coded.
12 * 12 =144.
Hizo hesabu ni za Mbinguni.
Zamani sanaKwaiyo Unyakuo wa watakatifu ndo umekaribia.
Kuna andiko nimelipandisha hapa Jamiiforum linasema hizo Nyakati ninge quote hapa lakin sjui namna ya ku-quote unaweza kunielekezaZamani sana
Na dunia haina habari.
Makanisa na yenyewe yapobize na mamb ya kidunia atapokuja watakuwa wamelala na hawana mafuta
Na atanyakua watu wakati huo ibada za kuserebuka zinaendelea kama kawaida makanisani.
Kama maria alivyozani yupo na yesu kumbe alimuacha hekaluni ndo makanisa yatavyodhani yapo na yesu kumbe kitaambo walimtupa nje ya kanisa anagonga hodi
Kuna andiko nimelipandisha hapa Jamiiforum linasema hizo Nyakati ninge quote hapa lakin sjui namna ya ku-quote unaweza kunielekeza
Mathayo 24:21-27Kuna andiko nimelipandisha hapa Jamiiforum linasema hizo Nyakati ninge quote hapa lakin sjui namna ya ku-quote unaweza kunielekeza
Muhimu ni tuishi maisha ya utakatifu muda wote, maana muda wote watu wanaaga Dunia hata kabla ya huo UNYAKUO,Kuna andiko nimelipandisha hapa Jamiiforum linasema hizo Nyakati ninge quote hapa lakin sjui namna ya ku-quote unaweza kunielekeza
Kuna andiko nimelipandisha hapa Jamiiforum linasema hizo Nyakati ninge quote hapa lakin sjui namna ya ku-quote unaweza kunielekez
Kwaiyo Mkuu mpaka saivi Israel haijarudi kwenye aridhi yake.Yesu alisema utapoiona iisrael imerudi kwenye nchiyake ya ahadi basi siku ndo zimeisha
1947Kwaiyo Mkuu mpaka saivi Israel haijarudi kwenye aridhi yake.