Dark days 17/03/20...

Kuna ka sauti Bungeni kananijia "I know there is a wish, which I'm going to grant" nahisi ndo mambo ya December hayo...
Nadhani tatizo Ni uw...mkuu,,,kwamba imeonekana waz.. Mkuu Ndo amefanya haya tumuondolee heshima au tumuwajibishe....
Nimetafakari kwa makini Sana kwa niaba ya chama changu kwa niaba ya serikali yangu nimeamua kumuandikia rais barua ya kumuomba niachie ngazi....!!!!
 
Iwe na uzi wake. Isiunganishwe na hii. Iwe "Dark Days Fate:The last Empress March 19th 2021" Itanoga
Dah aisee mkuu umeiweka vizuri sana nimeipenda kama vipi tuipigie kura...
Dark Days Fate: The last Empress Of Gotham March 19th 2021
Au
The Last Empress of Gotham: Dark Days Fate March 19th 2021

NB: Gotham ni Imaginary Country or City haipo yaani ya Kufikurika

CC: yoga
 
Je BT na Mkojani mornden taarab hawajafanya political science ili kuwazoofisha SG?
Wasingeweza kufanya hivyo mkuu!!

Halafu kurudi kwa former Branch manager nadhani ni mpangokazi wa state sio wao na kama wamekubali ni matakwa ya state iwe hivyo bila hata wo kujua wamelenga nini!!?
 
Narud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…