Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 538
- 984
Alieeelewa naomba anieleweshe
Hizi code ni hatari sana kuna wakati unajiona kabisa hizi shule tunazosoma hazitupi maarifa mengi. Pamoja na PCM yangu code nazifungua kwa mashaka sana!!!
Noma sana!We fine??? It's december right? Get ready!!! [emoji24][emoji1241] Love ya
Hizi code zinahitaji uwe mfuatiliaji wa mambo, kama hauko very updated lazima utoke kapa hata kama wewe ulikuwa Tanzania One..Hizi code ni hatari sana kuna wakati unajiona kabisa hizi shule tunazosoma hazitupi maarifa mengi. Pamoja na PCM yangu code nazifungua kwa mashaka sana!!!
Ufatiliaji ni kweli, lakini lazima uwe mzima kichwani kukonect nukta hizo. Huyo mwandishi mwnyw nadhani hstoria yake mnaijua au hata zile uzi zake anaandikaga kiufundi sanaaHizi code zinahitaji uwe mfuatiliaji wa mambo, kama hauko very updated lazima utoke kapa hata kama wewe ulikuwa Tanzania One..
Kwa kuwa upo salama basi darasa linaendelea.We fine??? It's december right? Get ready!!! [emoji24][emoji1241] Love ya
Mbona code za kawaida sanaHizi code ni hatari sana kuna wakati unajiona kabisa hizi shule tunazosoma hazitupi maarifa mengi. Pamoja na PCM yangu code nazifungua kwa mashaka sana!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au KokafimboHi Sasa ndio jf tunayoitaka siyo kina cocastick
Kwa nini wanawatia hasira watu! Kwa nini lakini? Ingekuwa Nia MoU ya mashirika ningeelewa lakini hili ninahitaji kuelimishwa na Mimi nisiwe na hasira!Mwaka huu kimetokea kituko kingine cha Muungano
Waziri wa Madini wa JMT ametiiliana saini mktaba (MoU) na Waziri wa Madini wa Zanzibar.
1Katika nchi moja, MoU inakuwaje na kwa sababu gani? Hivi ''Tanzania'' inaweza kuwa na MoU na Mtwara?
Huyu Waziri wa Madini wa JMT ni wa nchi gani? Anawakailisha serikali ya Rais yupi na wa nchi gani?
Hii Tanzania ni nchi gani tofauti na ile iliyoundwa na Tangayika na Zanzibar?
Kilichotokea, suala la madini si la Muungano. Ili Zanzibar waweze kufaidika nalo lazima washirikishwe kupitia makubaliano (MoU). Tanganyika haina sababu za MoU na Zanzibar kuhusu Madini!
Jambo la kujiuliza, kwanini Wazanzibar waliokimbiza ''gesi na mafuta' leo wanataka MoU ya madini ?
Tangu Muungano uasisiwe hatujawahi kusikia Serikali ya Tanzania ikisaini MoU, kwanini ni kipindi hiki cha SSH?
Utaratbu wa MoU unatoka wapi kikatiba , na kwamba Rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi ya Tanzania kupitia Waziri wa Madini wa JMT anasaini MoU na Waziri wa Madini wa Zanzibar! Hii ni nchi moja au mbili?
Ni suala gani jingine lenye MoU kati ya ''Tanzania na Zanzibar''?
Decode basi mkuu tufaidi woteMbona code za kawaida sana
Aise ... Aise AiseLinapokuja suala la nguvu aliyopewa Rais wa JMT na katiba yetu, halafu Zanzibar ina Rais wake na inalinda maslahi yake, wakati Tanzania Bara haina Rais isipokuwa Raisi wa JMT ambaye anaweza kutokea Zanzibar na katiba inampa nguvu ya kufanya atakavyo na katiba haimuwajibishi. Inashangaza sana jinsi watu wanavyojifanya vipofu, pia kuna uwezekano upande wa Bara watu hawana uchungu na Nchi yao.
Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,Mbona code za kawaida sana
Kwa kiwango kikubwa sana nimeweza ku decode ila hii kampuni ni hatari Wanya si wa kitoto kitoto aiseKuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza
Gear box inamanisha nini kushushwa
2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .
Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Wanya ni yule yule kontrola ambae alishapumzika kimajukumu au? Nachanganyikiwa mimiiiKwa kiwango kikubwa sana nimeweza ku decode ila hii kampuni ni hatari Wanya si wa kitoto kitoto aise