Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Screenshot_2023-12-08-08-20-13-211_com.twitter.android-edit.jpg
 
Hizi code zinahitaji uwe mfuatiliaji wa mambo, kama hauko very updated lazima utoke kapa hata kama wewe ulikuwa Tanzania One..
Ufatiliaji ni kweli, lakini lazima uwe mzima kichwani kukonect nukta hizo. Huyo mwandishi mwnyw nadhani hstoria yake mnaijua au hata zile uzi zake anaandikaga kiufundi sanaa

Ova
 
Mwaka huu kimetokea kituko kingine cha Muungano

Waziri wa Madini wa JMT ametiiliana saini mktaba (MoU) na Waziri wa Madini wa Zanzibar.

1Katika nchi moja, MoU inakuwaje na kwa sababu gani? Hivi ''Tanzania'' inaweza kuwa na MoU na Mtwara?

Huyu Waziri wa Madini wa JMT ni wa nchi gani? Anawakailisha serikali ya Rais yupi na wa nchi gani?
Hii Tanzania ni nchi gani tofauti na ile iliyoundwa na Tangayika na Zanzibar?

Kilichotokea, suala la madini si la Muungano. Ili Zanzibar waweze kufaidika nalo lazima washirikishwe kupitia makubaliano (MoU). Tanganyika haina sababu za MoU na Zanzibar kuhusu Madini!

Jambo la kujiuliza, kwanini Wazanzibar waliokimbiza ''gesi na mafuta' leo wanataka MoU ya madini ?

Tangu Muungano uasisiwe hatujawahi kusikia Serikali ya Tanzania ikisaini MoU, kwanini ni kipindi hiki cha SSH?

Utaratbu wa MoU unatoka wapi kikatiba , na kwamba Rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi ya Tanzania kupitia Waziri wa Madini wa JMT anasaini MoU na Waziri wa Madini wa Zanzibar! Hii ni nchi moja au mbili?

Ni suala gani jingine lenye MoU kati ya ''Tanzania na Zanzibar''?
Kwa nini wanawatia hasira watu! Kwa nini lakini? Ingekuwa Nia MoU ya mashirika ningeelewa lakini hili ninahitaji kuelimishwa na Mimi nisiwe na hasira!
 
Linapokuja suala la nguvu aliyopewa Rais wa JMT na katiba yetu, halafu Zanzibar ina Rais wake na inalinda maslahi yake, wakati Tanzania Bara haina Rais isipokuwa Raisi wa JMT ambaye anaweza kutokea Zanzibar na katiba inampa nguvu ya kufanya atakavyo na katiba haimuwajibishi. Inashangaza sana jinsi watu wanavyojifanya vipofu, pia kuna uwezekano upande wa Bara watu hawana uchungu na Nchi yao.
Aise ... Aise Aise
 
Mbona code za kawaida sana
Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza

Gear box inamanisha nini kushushwa

2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .

Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
 
Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza

Gear box inamanisha nini kushushwa

2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .

Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Kwa kiwango kikubwa sana nimeweza ku decode ila hii kampuni ni hatari Wanya si wa kitoto kitoto aise
 
Back
Top Bottom