Dark days 17/03/20...

Mkuu hii tena ya wapi?
 
Km ana kichwa kizuri atazifungua
 
mimi nahitimisha kwa kusema kuwa yoga ndie namba a.k.a Samia Suluhu Hassan...mama umetisha sana mama nakupenda hadi naumwa...!​
Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,

Alafu hivi mama SSH kipindi cha Mzee Nyerere Tiyari alikua katika utumishi wa umma,?

Nauliza hivi kwa sababu ipo clip moja hivi kwenye wimbo wa dr Remmy Ongara ,katika ile nyimbo ASILI YA MZIKI WAPI,

Waweza nenda you tube na play iyo nyimbo mpaka mwisho ,kipabde flani hivi in black and white yupo mama na ushungi wake anacheza taratibu namfananisha naye ,

Chungulieni huo wimbo alafu wakongwe twambieni ndo ndie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…