Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 490
- 1,351
Kwa mujibu wa code atakuwa ni yeyeWanya ni yule yule kontrola ambae alishapumzika kimajukumu au? Nachanganyikiwa mimiii
Alooo!!!! Na huyo mseminari ni late CEO ama?Kwa mujibu wa code atakuwa ni yeye
Ayeeee!!! Asante mkuu, imeisha hiyoooHapana huyo ni Camilius
Nini kikakuleta humu? Mbea namba moja.Watu wa huu Uzi mnajikutaga nyie ndo mmeiweza nchi,mnaijua sana kumbe umbea tu usio na madhara..[emoji23]
.Aise ... Aise Aise
Mkuu hii tena ya wapi?Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza
Gear box inamanisha nini kushushwa
2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .
Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Kuna post iliwekwa hum , ikiwa na code hizo mkuuMkuu hii tena ya wapi?
Km ana kichwa kizuri atazifunguaKuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza
Gear box inamanisha nini kushushwa
2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .
Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Kikowapi ndugu Samurai?Hiyo ndoano ukiimeza tu, 7/45 ni mbali sana.
Mpango: SITAKUFA, Bali nitaishi niushuhudie wema wa Mungu katika Nchi ya Walio hai."Kazi ambayo MUNGU amenituma kuifanya sijaimaliza. Wakati utakapofika nitarejea kwa MUUMBA wangu” Philip Mpango.
Mpango: SITAKUFA, Bali nitaishi niushuhudie wema wa Mungu katika Nchi ya Walio hai.
"Kazi ambayo MUNGU amenituma kuifanya sijaimaliza. Wakati utakapofika nitarejea kwa MUUMBA wangu” Philip Mpango.
Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,mimi nahitimisha kwa kusema kuwa yoga ndie namba a.k.a Samia Suluhu Hassan...mama umetisha sana mama nakupenda hadi naumwa...!
Lengo lenu ni lipi? Ili asilete fictitious story aliyotuahidi? Mbona mna wasiwasi sana. Muacheni...!mimi nahitimisha kwa kusema kuwa .....ndie namba a.k.a Samia Suluhu Hassan...mama umetisha sana mama nakupenda hadi naumwa...!