Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza

Gear box inamanisha nini kushushwa

2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .

Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Mkuu hii tena ya wapi?
 
Screenshot_2023-12-10-10-44-32-690_com.twitter.android-edit.jpg
 
Kuna maneno kama matatu ukielewa basi,
Kwanza Dada ni nani ambae aliandaliwa safari ya kwenda wandia ambayo hakupanga yeye ,baada ya -Wanya Moris kushusha gear box mikononi mwake bila dada kujua kama anashiriki kupiga clamp- fikili dada ni nani kwanza

Gear box inamanisha nini kushushwa

2, kifo cha the mseminary kilimrudisha Moris standby, je ni mseminary yupi kifo chake kilimshutua Wanya Moris .

Moris ni nani?
The mseminary ni nani, ?
Anzia hapa ukielewa tu rudi soma code za mwandishi
Km ana kichwa kizuri atazifungua
 
mimi nahitimisha kwa kusema kuwa yoga ndie namba a.k.a Samia Suluhu Hassan...mama umetisha sana mama nakupenda hadi naumwa...!​
Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,

Alafu hivi mama SSH kipindi cha Mzee Nyerere Tiyari alikua katika utumishi wa umma,?

Nauliza hivi kwa sababu ipo clip moja hivi kwenye wimbo wa dr Remmy Ongara ,katika ile nyimbo ASILI YA MZIKI WAPI,

Waweza nenda you tube na play iyo nyimbo mpaka mwisho ,kipabde flani hivi in black and white yupo mama na ushungi wake anacheza taratibu namfananisha naye ,

Chungulieni huo wimbo alafu wakongwe twambieni ndo ndie
 
Back
Top Bottom