Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
Is that the end or we should wait!!!!
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
Hizi code za episode hii zote nimenipita kama kishada
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
New CEO anatia Huruma SANA.
I Wish Ningekutana naye hata Inbox.
Ningempatia Dokezo La SIRI

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
I swear Mr born town will die the painful death....
 
Leo nimemuona Old CEO ukumbini kwake full furaha na ukumbi umejaa, New CEO anapitisha kila kitu kumbe ni kumuomgezea jamaa marafiki zake na kundi lao.
kuna mmoja wao kapewa nguvu za kiume nilijua anatoka jana, sasa tujiandae kununua viagra ili kupata nguvu hizo maana tunadaiwa billions kwa uzembe wa kutukata steam kila siku kwenye bed
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
Mr born in town nae siku yake itafika makazi ya kudumu ya pembe nne hatokwepa ni swala muda tu.
 
Hakuna antidote ya polonium mkuu, zaidi utapewa supportive therapy kama kutumia chelating agents na Gastric salvage kuiondoa mwilini na hapa itategemea umekula kiasi gani tofouti na hapo unakwenda na maji mapema.

Kumbuka inahusika na utoaji wa mionzi mikali ambayo huaribu seli za damu nyekundu na kuharibu kiwanda chake katika uboho (bone marrow) kupona huwa nj majaaliwa.

Hata ukipona hutokuwa na maisha marefu
Mbona mzee wa kamati iliyomng'oa masai kiranja mjengoni kwa kashfa ya Diamond ame survive?
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
Na umepindisha story.. lengo lako halikuwa kuonyesha kwamba born town anashinda kwa wakati huu
 
Huu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..

Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..

Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
Mwenyewe amesha sema ni riwaya, ila wadau mmekazana kudhania anachosema ni story ya kweli,

Embu acheni kukaza hayo mafuvu, yatapasuka bure kha!!!!!!
 
Na umepindisha story.. lengo lako halikuwa kuonyesha kwamba born town anashinda kwa wakati huu
Hitimisho la story lipo kwa Tumia akili kwenye uzi wake wa jana!!kwamba Mr Born town atastaafishwa!!kwa Sasa anaonekana mshindi kwenye uzi Huu kuwa kuonyesha kuwa alitumika ipasavyo kwenye ile mission ya mwanzo ya the late Sasa nae lazima apishe asije akawa God father na kampuni ikawa ya UKOO!!!
 
Mr born town was too mad becouse CEO wasasa ni kijana aliyemlea na kumkaribisha kwenye ulingo wa madaraka, aliumia sio kwasababu amegundua anamgeuka, nooo ameumia kwa sababu amefeli kuficha alichokipanga kukifanya dhidi yake!

Yaani nikama anajilaumu after nguvu kubwa in training her, still she has failed to be smart as he thought she should be!! So mr born town akaamua kufanya assesemnt kwanza kujua ukubwa wa tatizo alilonalo! Yaani who and who have turn they back on him! And who and who are still with him!

Pili since this man ni master mind, anao ule msemo wake kuwa hana adui wa kudumu as long as ana protect his own intersets. So aliamua kuwavuta baadhi ya adui zake wawe karibu yake nakatika kufanya hilo ni kudeal na key figures wa waliokuwa wanampinga!![emoji10]

Mr born town picked up his phone and called his team to call our new CEO assistant wakampa kazi moja! Kazi yenyewe ni kuterace au kuidentfy who is advicing our new CEO

Iko hivi, new CEO asstant, huyu alikuwa mtunza fedha wa mr late CEO, alinisurika kumtangulia the late CEO si kwa bahati mbaya bali alibakizwa for future use!!

Mr born town alimview mhasibu huyu kama a plot changer!! So aliwaambia vijana wake " we need this guy" plan ikawekwa, kijana mmoja alitumwa kumfanyia analysis!! So kwakuwa alikuwa na personal security, mr born town aliwasiliana na head of security na kumtaka amreplace mmoja wa guards wa mhasibu huyu!! Na akampa hint ni nani anafaa kwa nafasi hiyo!

So wakati evryone arround the late CEO is being termineted huyu alipaswa kuwa survival! kijana akachukuliwa na akawa planted kwenye ofisi ya mhasibu mkuu as one of the securty details! Kijana was there to observe every thing done by mhasibu na kuripoti moja kwa moja kwa mr born town na team yake

So baada kumobserve vya kutosha they come up with a nice way to deal with him! Ilifika siku mhasibu huyu alikuwa kwenye meeting board na mr late CEO, baada ya mazungumzo ya mda marefu na majadiliano, alitoka kuelekea ofisini kabla ya kuelekea nyumbani! Why sababu kunamaelekezo alipewa na late CEO Wakiwa kwenye meeting!

Alipofika ofsini alikaa nakuendela na shughuli zake kama kawaida!! Baada ya saa kama moja akiwa ofisini, he felt kama hewa inakata na kifua kama kina bana kwa kasi!! Akajaribu kuomba msaaada!! Yule kijana akaingia and fast enogh ambulence ilifika! Wakambeba akiwa na oxygen support mpaka hospitali!!

Nini kilitokea...

Kijana alipewa maelekezo ya kuchunguza ofisi ya mhasibu!! Ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni ni jengo moja refu la ghorofa tano lenye wings mbili, yakushoto na kulia! Limekaaa kama erufi "v". Jengo hili lilipambwa kwa vioo kuanzia first floor na kwa mbali vioo hivyo ni kama vina rangi ya kijani.

Jengo lina security camera from the intrence mpka ndani. Na getini pale kuna walinzi ambao kazi yao ni kuoppen gates for visitors na kuwasainsha kwenye kitabu na hata kufanya inspection kwa wageni

Kijana aliyekuwa plantend kwa muhasibu majukumu yake mengine akiwa pale ilikuwa ni kuobserve every angle ya jengo lile na kuidentfy securty weekness! Na kujua all securty detals za jengo husika. Kampuni ya Securty ya jengo lile nikampuni maarufu ya ulinzi ambayo ilianzishwa na mr born town mwenyewe enzi za u CEO wake!

Bada ya kukamilisha kukusanya data za jengo na mhusika, alizifikisha data hizo mezani kwa mr born town na timu yake kisha kurudi nakuendelea kubaki kama one of the securty guards wa mhasibu.

Ilikuwa siku ya jumanne asubuhi, vijana watatu na mzee wa makamo mmoja walikuwa na task yakufanya baada ya kupewa training ya task hiyo makao makuu ya nchi two days before!

Team ya watu hawa walifika jengo la uhasibu kwa muda tofauti!! Vijana wa wili wa kwanza walifika asubuhi mapema, mmoja akiwa kavalia black kaundasuit na laptop bag yake kama mtumishi na Kijana mwingine alifika na gari ya securty kama security guard!

Huyu wa securty alifika asubuhi ya mapema zaidi aki act kama nachukua lindo kutoka kwa wenzake!! Walishushwa jumla ya vijana wanne wa securty akiwemo na yeye ambaye alikuwa planted kwenye kundi hilo


Baada ya wao kuingia pale kijana alikwenda kusimamia position yake aliyotakiwa kusimamia! Ambayo ilikuwa ina deal na Inspection to Visitors, na kuwasainisha hao visitors kwenye visitors book!!

Kijana mwenye kaunda suit na laptop bag yake, yeye alifika muda sawa na watumishi wengine! alifika kwenye geti jeupe nakupita bila wasiwasi akiwa na kitambulisho chake kikimuonesha kama mtumishi ndani ya ofisi ile!

Maelekezo yake ni kwenda chumba cha securty ambacho kimeinclude CCTV, masuala ya internet pamoja na connection ya simu za ndani, ndani ya jengo hilo la kampuni!Alipewa key card na password yakufungua mlango wa chumba hicho bila shida na the head securty of the company!!

Baada ya masaa mawili kijana mmoja na mzee wa mkamo walifika getini wakidai wanashida na mhasibu mkuu nakudai kuwa anaoppointment nao!! Kijana wa security upande wa visitors aliwaidentfy na haraka aliwapa kitabu cha kusign in na kuwafanyia inspection ya mchongo then kuwaruhusu bila kikwazo chochote!

Walipita mpaka reception ya jengo zima, yaani maulizo wakaomba kuelekezwa ofisi za mhasibu mkuu, wakapewa maelekezo wakatoka wakaorder lift kuelekea juu wing ya kushoto zilipo ofisi za mhasibu mkuu wa kampuni!

Baada ya kupanda mpaka ghorofa ya tano, moja kwa moja yule mzee wa makamo alikwenda kwa secretary wa mhasibu mkuu na kumwonesha kuwa yuko pale kuonana na mwanasheria wa mwasibu mkuu wa kampuni!!

Wakati huo yule kijana aliyekuwa nae, yeye alipita moja kwa moja nakwenda kukaa kwa upande wa nyuma ambapo ni visitors londge and act as if hamjui yule mzee!!

Secretary akamwelekeza kuwa yupo in a wrong wing, anatakiwa ashuke second floor right wing ndiko ofisi za wanasheria zilipo!! Mzee acted like haelewi. Akastate hata kufika hapo ni kwa msaada wa kijana mmoja aliyepandanaye kwenye lift!

So secretary decided to help him! Alipiga simu reception aitwe mtu wakuja kumchukua yule mzee ampeleke sehemu sahihi, simu zikawa haziendi!! Piga more than five times ile land line ikawa haifanyi kazi! So Akamchukua yule mzee ampeleke mwenyewe, wakati huo kule security room jamaa anaobserve every movement na ku act accordingly! Secretary akalock ofisi yake kwa dor key yake kisha akamchukua mzee na kuelekea nae kwenye lift!

Wakaita lift then wakaingia, as wanaingia tu na lift inafunga, yule kijana mwingne kwa haraka sana akanyanyuka pale alipokuwa amekaa, akatoka akaelekea kwenye ofisi ya mhasibu mkuu akiwa anaelelekezwa kupitia earpiece na kijana aliyekuwa securty room akiobserve evrything through cctv cameras!

Alipofika kwenye mlango wa office akatoa smart card yake, akapitisha kwenye mlango nakuweka password, mlango ukafunguka chap akavaa canister gas mask kutoka kwenye back pack yake! Then alitoa chupa ndogo iliyokuwa na VX cream akavaa gloves na kuanza kuipaka kwa umakini sana kwenye drow handle ya meza ya mhasibu mkuu na kidogo kwenye mikono ya kiti cha mhasibu!!

After two minutes shuhuli ikawa ishakwisha, akatoka ofisini mule na mask yake chap akaivua akaweka kwenye bag pamoja na zile gloves then akarudi visitors londge akatulia kama vile sio yeye.

kule securty room kazi ikaendelea, nayo ni kudailete all moving pictures zinazowaonesha kijana na mzee toka wanaingia na wakiwa kwenye harakati zao!!


Baada ya dakika kama 10 secretary alirudi, yule kijana akapewa tena notification na mtu wa kule securty kuwa secretary amerudi! kijana akanyanyuka akamfuata secretary akamwambia nashida na mhasibu mkuu, secretary akamuuliza una appointment naye? Kijana akasema yes alinambia nifike hapa saa nne asubuhi!! Secretary akamtaka ataje jina lake kucheki hiyo appointment! akakuta jina lipo kwenye system kama kijana alivyosema! kumbe mzee wa securty room kule anaendelea kufanya yake kucheza na syestem za jengo Zima ikiwa ni pamoja na kuingiza taarifa za kijana huyu kam guest wa mhasibu mkuu!!

Secretary akamwambia nikweli naona una appointment naye lakini leo hayupo, amepata kikao cha ghafla so inabidi tu tupange upya hii apointemnt then tutakutaarifu! Kijana akasema sawa then akatoka na back pack yake akshuka chini akatokomea zake!!

Yule mzee yeye alipofikishwa kwa mwanasheria mkuu wa mhasibu mkuu akampa barua inayoonyesha anamadai yake na kampuni yanayopaswa kulipwa, mwanasheria akamwambia aiache hiyo barua ataishughulikia. Mzee Naye akatoka akatokomea zake!!

Wale wawili yule aliye act as a securty guard na huyu aliyeko security room, wao Walibaki nakuendelea na shughuli zao kama kawaida as if nothing was goin on mpaka walipo kabidhi majukumu kwa wengine bila kushtukiwa kisha kuondoka zao

Report ikamfikia mr born town kuwa the mission was done undetected! Mr born town akamnotfy kijana wake kuwa ampe taarifa incase anything happen to mhasibu!!

So baada ya kikao na late CEO mhasibu mkuu alitoka mpaka ofisini kwake Kutimiza maelekezo ya the late CEO. bila kujua akakaa Kwenye kile kiti cha hatari, ina one way or another alishika mikono ya kiti iliyopakwa VX cream, lakini pia either ali open pia draw kutoa au kuweka document zake so akawa ameishika ile handle ya draw na akawa expossed na VX cream!!

Ile kitu Ilianza kumgonga taaratibu untill akakolapse na kuwaishwa hospitali akiwa ajitambui!!


Mr born town alicheza kama pele kwa kuhakikisha mhasibu arudishi jezi kwa kipa!! Ndani ya siku kumi na nne mhasibu alikuwa anapitishwa kwenye kikaango cha umauti na uhai na akasalimika.

Na aliyefanikisha kupona kwake ni doctor yule yule mzee wa dawa za michongo kwa late CEO. Hii ili bidi huyu apone ili ile trust ya late CEO kwa doctor iwe kubwa asiweze kushtukia kitu chochote kile!

Bwana muhasibu alipozinduka alikuta maneno yashasambaa that he was dead ilipofika siku ya kumi na sita tangu kulazwa mhasibu mkuu aliamua kutoa press na kutangaza he was fine na anamshukuru mungu kwa kila jambo!!

Akawashukuru madactari na late CEO kwa juhudi za kumuokoa from death experience! Baada ya pale alibaki anajiuliza whats goin on?? How did this happen? Hakupata majinu



Afrer the death of the late CEO mr born town alihakikisha mhasibu mkuu sasa anakuwa assistant wa new CEO! iliwashangaza wengi, how come anakuwa assistant lakini thats how the master mind himself played the game na aliona kuwa ni wakati wake wa kumtumia!!

Baada ya kutangzwa rasmi kuwa sasa yeye ni assistance CEO, alijichanganya kidogo na kujisahau kuwa yeye ni assitant na sio CEO
Kuna kipindi alitoa speech as if yeye ndio CEO jambo lililomfanya mr born town kumwambia new CEO kuwa anapaswa wa mtrain assistance wake ajue kuwa yeye sio CEO so a act kama assistant CEO.

Team iliandaliwa ya kumpitisha assistant CEO kujua na kuyaelewa majukumu yake!! Wakati anafanyiwa trainig hiyo, ndipo alipata nafasi yakupata majibu ya maswali yake mengi!! Aliutumia muda huo pia kuanzisha secret investigation on what was goin on!!

Alipo dig deep he came to discover that mr born town ndie aneye fanya decition zoote ndani ya kampuni maana hata suggestion zake anazotoa kwa new CEO nikama hazifanyiwikazi mpaka zipite kwa born town mwenyewe!!

So aliposkia anatafutwa na mr born town he was exited kujua anamtaftia nini!!


Ulipangwa muda asistant akakutana na team ya mr born town badala ya born town mwenyewe!! They told him like wao ndio walimsaidia kupona kwamba Alipaswa kuwa dead! They created some stories kumuonesha born town nikama mkobozi wa kampuni!! Ile presentation ilimuingia nakujikuta ni follower wa mr new born town!

So alipopewa kazi ya kumsnitch CEO aliifanya kwa mapenzi makubwa!! So secretly akaunda team ya kumidentfy advicer wa new CEO,


Wakati huo New CEO alifanikiwa kumtoa mwenyekiti wa board na kuset agenda ya kumuweka mwingine!! Cha ajabu alijifanya kumuuliza kwanza mr born town nani anasifa za kuwa mwenye kiti wa bodi, mr born town kwakuwa alishajua nia ya new CEO akamuacha huru kwamba atachagua mwenyewe unayemfaaa!!

So assistant wa mwenyekiti wa bodi aliyejiuzuru akapewa uenyekiti!

Wakati huo Stage one ya check and balance mission ilikuwa ishakuwa initiated! New CEO akawekeza nguvu nyingi kukutana na wale external investors kuwaweka karibu yake

Akakubali miradi ya late CEO iendelee kama ilivyo kuwa imepangwa but this time akaja na style mpya kuwa ile miradi ni mikubwa sana, haiwezi endeshwa na internal funds! So akaaza kukopa ili kufund miradi hiyo! Kumbe Mikopo hiyo anakopa kwa wale investors ili kuwatengenezea faida ya haraka ili kupata trust yao!

Pia Akaruhusu wale busness partner wa mr born town waliokuwa against naye kujipangia bei ya bidha zao wao wenyewe bila kumjali final costumer!! Lengo nawao ni wapate faida lakini pia apate trust yao!

Akaenda mbali akampa uhuru mr new culture! Mtu ambaye alikuwa na kesi iliyotikisa nchi kwa kushtakiwa kuhujumu umoja wa makampuni ya bishara!! Alimtoa ili kujenga imani kwa investors wake wa nje kuwa hana ubaya na mr new culture


So any ways kabla hatujaenda mbali who is mr new culture???


"Mr new culture" Ukiskia mshindani mkuu wa kampuni ni huyu mr new culture! Toka enzi za the late CEO mr new culture hakuwai kuwa in good terms with the late CEO!

the reasons behind was, Investers wa kampuni ya mr new culture, ndio investors wa kampuni ya late CEO under the umbrela of mr Born town! So as long as he didnt like mr born town he also didnt like about mr "new culture"

Why was he called the name mr "new culture?" Ok!We all know that culture means total ways of life of a given people in a given enviroment and given time!! [emoji23][emoji23][emoji23](Acording to kitini cha civics form four [emoji23])

This guy bwana wantend a new culture from the old one!! Why! Only becouse the old culture was in favour of the late CEO company and their groups! The ways of conducting business kwenye soko la biashara was not fair to them!! Yeye na kampuni yake walitaka new ways of life!!

Akiwa kama owner, mr new culture na kijana wake msema sana walikuwa wanaaminika sana kwa wateja wao!! Kampuni ya mr new culture Nikama apple company, yaaani inaspecific wateja ambao huwaambii kitu juu ya CEO wao!!

Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!


Katika maelezo yake alidai kuwa bila yeye company inakufa so he needs to be there! Kwa muda mrefu mr new culture alikuwa anataka free and fair grounds when it comes to business!! Wakati mr born town og ni CEO, aliwahi kukutana na mr new culture, na wakakubali kukubaliana kutokukubaliana

Kwenye hiyo meeting the existing CEO kwa jina lingine CEO wa sasa alikuwepo, na alishiriki kwa asilimia 10000[emoji16] kufanya mazungumzo yale yafanikiwe! What people didnt know ni kuwa two CEO sponsored by the same investors were in a meeting to set the rules that will govern them in protecting their same investors interests!

Alipoingia the late CEO baada ya kudiscover the secret behind aliamua kuwashughulikia wote ili abaki peke yake! Katika kumshughulikia mr new culture alimvurugia biashara zake na kuwatumia vijana wake kumfilisi ili apige goti auze hisa za kampuni yake

"Mwamba" akatia msimamo akasimamia anachokiamini akagoma kuuuza hisa za kampuni yake!! Hii ilimuumiza sana late CEO ni mtu aliyekuwa hapendi kabisa kubishiwa au kukataliwa anachokitaka!

Mr new culture akiwa representative wa wale investers ambao pia wameinvest na mr born town, alipitishwa kwenye moto mkali yeye na kampuni yake hadi kujikuta gerezani mara kadhaaa nakutoka!!

Kwakuwa kulikuwa na baraza la biashara la pamoja, late CEO alihakikisha mr new culture haingii tena kwenye baraza lile la biashara, na hapati uwakilishi wowote!! Hii kitu ilikuwa organised by branch manager wa makao makuu, kijana aliyeaminiwa na kupendwa sana na the late CEO!

Huyu branch manager alitoa maelekezo kwa branch managers woote wa kampuni kuhakikisha kuwa kampuni ya mr new culture haipati nafasi ya kufanya biashara kwa namna yoyote ile! Nandicho walifanya kuhakikisha hapati uwakilishi wowote!!

Baada ya kumpigia simu mara kadhaaa na kumshawishi ajoin the other side na mr new culture kugoma, Then the late CEO akaorder head securty wahakikishe huyu mr new culture anakwenda gerezani, lengo ni kusend the message to mr born town that he should be carefully! so they framed the guy but waited kama atasurrender or not kulingana na vitisho walivyompa!

Wakti new CEO anaingia one of the head securty aliamua kuendelea na plan hiyo, na akamshawishi CEO wamshtaki jamaa na wakamshtaki, jamaa akakaa gerezani kusubiri hukumu Baada ya kujua kuwa investors anaowataka wampe support kwenye kum win mr born town nao wana msuport mr new culture ikabidi amwachie.


Alipotoka tu New CEO akaomba meeting na mr new culture haraka sana!! Akamgusia juu ya anayotaka ayafanye, kwamba anaomba support yake yaliyopita si ndwele wagagnge ya jayo na ikiwezekana amsemee vizuri kwa investors wake!!

Mr new culture alipotoka akamcall born town! Akamnotfy nini new CEO anataka, mr born town akacheka tu akamwambia dont worry she is my problem i will handle it!!

New CEO akatafakari kwakina how assistant wake aliweza kusurvive ile attack! Lakini akaconect dot kuwa alipendekezwa na mr born town kuwa assistant wake

Akajua huyu ni mtu wa mr born town! Akampangia majukumu ya kufanya nje na mazi gira ya ofisi kuu!! Akataka kumfanya assistant asiye na impact kwake, yaani iwe ngumu ku collect data na kumpelekea mr born! It was too late! Assistant alisha timiza homework yake zamaaaaani!!

Sasa Mr born town baaday yakupokea taarifa kutoka kwa assistant CEO kumhusu kijana ambaye ndiye anam advice new CEO na team yake what they did nikuwaretain!!

kupitia vijana wake watiifu baada ya kumbana kijana na team yake wailipata taarifa zoote za new CEO na what they have done so far!!

Without hasistating mr born town mwenyewe akampigia simu yeye mwenyewe new CEO, akamwabia we have to meet!! Sauti yake siku hiyo haikuwa ya kawaida kama sikuzote! So CEO alikuwa kwenye ziara flani hivi ilibidi aikatishe na kurudi haraka makao makuu!!

mr born town alifika headquators mapema sana, na moja kwa moja walipokelewa then walipewa private room na new CEO ilikufanya mazungumzo yao! mr born town akaingia mlendani hakutaka hata salam akfungua bag yake akamwaga kila kitu on the table! Kisha aka kaa kwenye kiti akatia nne yake vizuri sana And then akauliza a very simple question!

Are you in war with me ??

wakati anauliza swali hilo pembeni kijana mshauri mkuu wa new CEO alikuwa ameshakaaa, he looked very tired!! And confused!

New CEO kwa taswira aliyoina pale!! Akajiongeza and say no boss!! Not at all!! It was ........

STOP....., Mr born town akasimama akamwambia!! You have two choices, me or the other one!! I think you have gathered a lot of information to know what the other one means!!

Akasimama akanyanyuka akawa kama anatoka vile then akasita akasimama akamgeukia tena new CEO akamwambia, "and i can see unadetermination za 2025, it will not be a problem to us, as we are continuing to watch how you will behave!! Then Akatoka, yule kijana naye akanyanyuka akafuata nyuma!! CEO akabaki ameduwaa maana it was a very short meeting aisee!! Akaachiwa zile documents na flash zenye lot of issues ndani pale mezani!!


New CEO baada ya kuzipitia zile lefted documents mezani! hakuamini alichokiona! Aliamua kuachana na kila kitu and decided to obey mr new born town!! Sababu from what she saw nikwamba mr born town ndani ya ile kampuni ni kama ALFA AND OMEGA


The dark days ... Mr new born town is here to stay!! [emoji6][emoji847][emoji847]
"Wakakubali kukubaliana kutokukubaliana"

Yaani hii kampuni ya vidole viwili juu na jembe na nyundo mission yao ni moja, ila wakija huku public wanatuvuruga na tunavurugika kweli. Kumbe jamaa wanakata keki na kula vipande vipande huku wakishushia na "shampeini".
 
Back
Top Bottom