NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Naona ndio hivyo Sasa hatujui ni nani kameza ndoano!!?Mimi kama najaribu kuifungua ni kama kuna sumu ukipewa au ukinyweshwa hutoboi siku 7 mpaka 45
Watu wamekula "Uhuru "!!!December 11
Yule Born town nakumbuka ata late CEO alimuonya kuacha kujimwamba-fy,alafu haikupita muda Mwamba angaanguka!Naona ndio hivyo Sasa hatujui ni nani kameza ndoano!!?
Alikohoa juzi je ninkikohozi Cha kawaida TU!!?
Au ni huyu aliekua mapumzikoni!!?
Juzi jk alionya eti"ukipata ushauri mbaya au ukipewa ushauri halafu ukakaidi bas nchi inakwenda kusiko tarajiwa!!!?
Sasa kusiko tarajiwa ni wapi huko!!?
Ngoja tuone!!!
Ni kama mbuzi wa kafara kakata kamba akakimbia madhabahu....Au Mungu akasema Abram Abram usimchinje mwanao, tazama mwanakondoo huyo umtwae nitolee sadaka....Ee Mungu wa Abraham, Isaka na Yakobo sikia maombi yetu na ujibu Kwa moto .Kikowapi ndugu Samurai?
Kuna time Huwa tunatolewa ndani ya MWILI Ili makombora yapite Kisha tunarudishwa tena.
Tusubiri.
Bado mkuu bado !uso wa Dr haunipi matumaini Yu salama!!Kikowapi ndugu Samurai?
Kuna time Huwa tunatolewa ndani ya MWILI Ili makombora yapite Kisha tunarudishwa tena.
Tusubiri.
OkKuna post iliwekwa hum , ikiwa na code hizo mkuu
Vile vipande kwenye ile video vimeunganishwa.Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,
Alafu hivi mama SSH kipindi cha Mzee Nyerere Tiyari alikua katika utumishi wa umma,?
Nauliza hivi kwa sababu ipo clip moja hivi kwenye wimbo wa dr Remmy Ongara ,katika ile nyimbo ASILI YA MZIKI WAPI,
Waweza nenda you tube na play iyo nyimbo mpaka mwisho ,kipabde flani hivi in black and white yupo mama na ushungi wake anacheza taratibu namfananisha naye ,
Chungulieni huo wimbo alafu wakongwe twambieni ndo ndie
OkVile vipande kwenye ile video vimeunganishwa.
Sio official video rudi tena ukachunguze vizuri mkuu.
Inaoneka kuna mengi chini yanatokata juu kumetulia, hilo Volcano lilipuke tupone wananchi.
Bado mkuu bado !uso wa Dr haunipi matumaini Yu salama!!
Mwambafi hajimwambafai!hata jiwe alijimwambafai lakini Yu wapi!!?
Maembe he!!?niguse ninuke akaguswa amenukia wapi!!?
Moja kati ya watu ambao walikua healthy sana ni maembe lakini ghafla TU!!
Jamani kwani december ngapi story inakuwa hewani? Mbona siku zinayeyoma tu
Endelea kuwa mvumilivu
🤣🤣🤣Ikiwa "n" imefuatiwa na "c"
Je! "m" pia itaifuata kanuni hii?
Mhh! Kumbe nilikuwa ninaota tu.
Hizi code naambulia vitu vichache tu boraa yoga aje atupe ukweli kuhusu Haya