Dark days 17/03/20...

Is that the end or we should wait!!!!
 
Hizi code za episode hii zote nimenipita kama kishada
 
New CEO anatia Huruma SANA.
I Wish Ningekutana naye hata Inbox.
Ningempatia Dokezo La SIRI

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
I swear Mr born town will die the painful death....
 
Leo nimemuona Old CEO ukumbini kwake full furaha na ukumbi umejaa, New CEO anapitisha kila kitu kumbe ni kumuomgezea jamaa marafiki zake na kundi lao.
kuna mmoja wao kapewa nguvu za kiume nilijua anatoka jana, sasa tujiandae kununua viagra ili kupata nguvu hizo maana tunadaiwa billions kwa uzembe wa kutukata steam kila siku kwenye bed
 
Mr born in town nae siku yake itafika makazi ya kudumu ya pembe nne hatokwepa ni swala muda tu.
 
Mbona mzee wa kamati iliyomng'oa masai kiranja mjengoni kwa kashfa ya Diamond ame survive?
 
Na umepindisha story.. lengo lako halikuwa kuonyesha kwamba born town anashinda kwa wakati huu
 
Mwenyewe amesha sema ni riwaya, ila wadau mmekazana kudhania anachosema ni story ya kweli,

Embu acheni kukaza hayo mafuvu, yatapasuka bure kha!!!!!!
 
Na umepindisha story.. lengo lako halikuwa kuonyesha kwamba born town anashinda kwa wakati huu
Hitimisho la story lipo kwa Tumia akili kwenye uzi wake wa jana!!kwamba Mr Born town atastaafishwa!!kwa Sasa anaonekana mshindi kwenye uzi Huu kuwa kuonyesha kuwa alitumika ipasavyo kwenye ile mission ya mwanzo ya the late Sasa nae lazima apishe asije akawa God father na kampuni ikawa ya UKOO!!!
 
"Wakakubali kukubaliana kutokukubaliana"

Yaani hii kampuni ya vidole viwili juu na jembe na nyundo mission yao ni moja, ila wakija huku public wanatuvuruga na tunavurugika kweli. Kumbe jamaa wanakata keki na kula vipande vipande huku wakishushia na "shampeini".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…