Dark days 17/03/20...

Hi
Ilikuwa mwaka gani hiyo ilitukia?
Ni nchi gani hiyo?

Nani aliye pelekwa hospitali?
Hiyo hospitali aliyopelekwa ilikuwa ya nchi yake au nje ya nchi?

Hivi Mgonjwa wa korona anaweza kufanya akaongea kwa ufasaha ili hali yuko Mahututi kama ilivyoeelezwa na m6f sidiefu. Kwa waliowahi kua attend wagonjwa wa corona mkuje ili tuunganishe dots
 
Luhaga Mpina anataka ufanyike Uchunguzi huru juu ya suala hili.
 
Ndo maana prof tangu wakati huo ameanza kuongea kama punguani bila kushirikisha ubongo kwa sababu ya damu inayomlilia....
 
Ndo maana prof tangu wakati huo ameanza kuongea kama punguani bila kushirikisha ubongo kwa sababu ya damu inayomlilia....
Ndo hivyo naamini naye hatakuwa na mwisho mzuri, vipi yule dokta mwingine mbona hasikiki popote au naye alipotezwa namaanisha dr mich...e au ni huyu huyu hili jina lilibuniwa tu kutupoteza maboya sisi vibwengo
 
Ndo hivyo naamini naye hatakuwa na mwisho mzuri, vipi yule dokta mwingine mbona hasikiki popote au naye alipotezwa namaanisha dr mich...e au ni huyu huyu hili jina lilibuniwa tu kutupoteza maboya sisi vibwengo
Ndiye huyu huyu
Unakumbuka yule kijana snitch aliwahi kuleta taharuki wakati wa the late CEO kuwa huyu prof kazuiliwa mahala? It was short and slight info iliyozimwa haraka sana....

Leo MNH imegeuka chanzo cha mapato ya serikali na siyo pilicy yake ya kuhudumia Taifa.... He is out of his mind
 
We know all the story and who you are talking about.Kikwete hataishi milele at some time he will have to go either by force or by the will of God.
 
Operations, kama hizi, zilianza around or before 1920s, kwa jina na sababu zingine.

Na kwa nchi za dunia ya tatu, sometimes, wana zicopy na kuzipaste kutoka Latin and Central america kuja Tanzania na Africa.

Deep states za Africa (including Tanzania), ziko influenced na formula za namna hii.


Google:

Operation Gladio: The Unholy Alliance between the Vatican, the CIA, and the Mafia. By Paul L. Williams.

NATO's Secret Armies: Operation GLADIO and Terrorism in Western Europe. By Ganser Daniele.
 
Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.

Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.

Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).

Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.

Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.

Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.

Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.

Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.

Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).

Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).

Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.

Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).

Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.

Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.


Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).


Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
 
Mkuu asante kwa kudadavua, mimi naomba kuuliza,

1. Dini ya Judaism enzi hizo kabla kuvunjwa lile hekalu la pili na kuondoshwa kwao 70 AD, Kuhani Mkuu alikuwa akisimamia mambo mbalimbali kwenye dini hiyo kwa mjibu Wa Torati,

1. Je hivi sasa 2024 Kuhani Mkuu wanaye?

2. Miongoni mwa kazi za Kuhani Mkuu ni kufanya upatanisho wa taifa na Mungu mara moja kwa mwaka kwa kuingia pakatifu pa patakatifu kwa damu ya mnyama, je kwa kwa sasa wanafanyaje upatanisho na hawana patakatifu pa patakatifu?
 
Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi

Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
 
Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi

Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
DNA zilipimwa na wakagundua hao sio waisraeli
 
Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…