enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,838
- 7,346
Vipi kuhusu wachina, wahindi, wajapani n.k??? Tumepewa akili na maarifa tutumie vizuri na siyo kuendeshwa na mihemko, papara na hisia za kidini!Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa jinsi dunia lilivyopiga hatua kubwa, hivi vitabu vya kidini vitapitwa na wakati muda siyo mrefu!
Walichobakiza ni kuunganisha matukio na nukta ili yafanane na wakati huu tulionao, ila itafika mwisho!