Luggie the great
Member
- Oct 20, 2019
- 19
- 55
Dar ipo salama kwa Damu ya Yesu.Kimbunga Laly njiani,
Wakazi wa Dar, Si vyema kubeti maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ipo salama kwa Damu ya Yesu.Kimbunga Laly njiani,
Wakazi wa Dar, Si vyema kubeti maisha.
Mimi nitasubiria Hadi June 1 ndio nipate mwafaka was kuamini.au kutomwamini ndugu Boniface victor !Kimbunga Laly njiani,
Wakazi wa Dar, Si vyema kubeti maisha.
Naweza kudhubutu kumwita ni Nabii wa uongo bwana Boniface Victor, kulingana na 1 Yoh 4:1, Kum 18:20-22.Mimi nitasubiria Hadi June 1 ndio nipate mwafaka was kuamini.au kutomwamini ndugu Boniface victor !
Amen amenDar ipo salama kwa Damu ya Yesu.
Kaamua kuelekea MogadishuKimbunga Laly njiani,
Wakazi wa Dar, Si vyema kubeti maisha.
Uzuri wa pwani zetu zimezungukwa na wazee wa kamati na sasa wanamsaada wa TMA wanapata taarifa mapema sio rahisi ngome zao kufikiwa na hayo majanga.Kaamua kuelekea Mogadishu
Binafsi naona kama Hussein Mwinyi na Anthony Mtaka wana uwezo wa kutenda pasipo mashinikizo ya watu. Maana wanafanya kazi zao with minimum guidance ni kama hawategemei sana kujikomba kwa mtu ili wafanye kazi zao.Je katika hawa Waheshimiwa ni yupi mmojawapo akipewa na Deep state au na Raia wa nchi kwa mjibu wa katiba ya JMT kuwa Rais wa Nchi yetu,
1. Hussein Ally Mwinyi.
2. George Simbachawene.
3. Dotto Biteko.
4. Anthony Mtaka.
5. January Makamba.
6. Innocent Bashungwa.
7. Zitto Kabwe.
8. Josephat Gwajima
Ni yupi anaweza ku fiti na kuifanya nchi yetu kupata maendeleo ya kiuchumi, kisayansi, kijeshi, rushwa kupungua nchini, rasilimali za nchi kunufaisha raia wengi?
Aaaaaaaa sawa vizuri, mkuu Mnanguliti Cv ya Mheshimiwa Mtaka ikoje hasa?M
Binafsi naona kama Hussein Mwinyi na Anthony Mtaka wana uwezo wa kutenda pasipo mashinikizo ya watu. Maana wanafanya kazi zao with minimum guidance ni kama hawategemei sana kujikomba kwa mtu ili wafanye kazi zao.
Mwenye maono na logic anapozungumza na hasa akiwa mkali kiutendaji ni Josephat Gwajima anafaa!Je katika hawa Waheshimiwa ni yupi mmojawapo akipewa na Deep state au na Raia wa nchi kwa mjibu wa katiba ya JMT kuwa Rais wa Nchi yetu,
1. Hussein Ally Mwinyi.
2. George Simbachawene.
3. Dotto Biteko.
4. Anthony Mtaka.
5. January Makamba.
6. Innocent Bashungwa.
7. Zitto Kabwe.
8. Josephat Gwajima
Ni yupi anaweza ku fiti na kuifanya nchi yetu kupata maendeleo ya kiuchumi, kisayansi, kijeshi, rushwa kupungua nchini, rasilimali za nchi kunufaisha raia wengi?
Dah mkuu hapo ndo magumu sana ila mi nimeangalia tu uwezo wake na utendaji wake kuhusu uwezo wa darasani ukweli sina A,B,C zake, napo pia kwa nchi yetu si issue sana maana hata aliyepo madarakani sasa elimu yake ni kama ya kuungaunga sana.Aaaaaaaa sawa vizuri, mkuu Mnanguliti Cv ya Mheshimiwa Mtaka ikoje hasa?
Na kiungozi sifa zake zikoje zikoje maana nimejua juzi juzi akiwa mkuu wa Simiyu na Dodoma.
MkuuNaweza kudhubutu kumwita ni Nabii wa uongo bwana Boniface Victor, kulingana na 1 Yoh 4:1, Kum 18:20-22.
Majigambo kuwasema na kuwakejeli watumishi wa Mungu wa Dar es Salaam kwa wingi, kiko wapi?
Kwani leo tarehe gapi?
Nyeeee, Nyeeee "Dar es Salaam itaangamia kuanzia mara 1 Apr, mara kati ya 20 April - 20 May, ndipo mtajua mimi ni Ni Nabii Mussa nimetumwa na Mungu"
Asituletee ngonjera nyingine watakaomwamini huenda ni Wachaga wa Kiroho.
Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI, Josephat Gwajima si Mromani Catholic je inawezekana kupata urais wa JMT nje ya Roman Catholic na Sunni?Mwenye maono na logic anapozungumza na hasa akiwa mkali kiutendaji ni Josephat Gwajima anafaa!
Mwinyi ana utulivu Sana kichwani,lakini Tuhuma zake kule Zanzibar leaks sijajua ukweli wake Hadi Sasa au ndio kuchafuana!!
Mwinyi ana huruma na utu kabeba roho ya Baba yake!!!
Lakini Kwa maana ya akili maono na malengo ya kitaifa ya miaka 100 ijayo ni josephat tu !ukimsikia anaongea unaiona Tanzania mpya ikijijenga pole pole!
Mkuu Kwa Mwinyi Imani ndio kila kitu!uturuki ndio taifa pekee la ulaya lenye Wavaa kanzu wengi,kiimani mvaa kanzu ndugu yake ni mvaa kanzu!Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI, Josephat Gwajima si Mromani Catholic je inawezekana kupata urais wa JMT nje ya Roman Catholic na Sunni?
Kingine Dotto Biteko ni mpole yule kweli?
Kuhusu Mwinyi Zanzibar ninaona mambo matatu,
1. Anaazisha mradi /miradi mingi Zanzibar, ambayo inapaswa kukamilika kwa muda mfupi yeye miradi yake kuisha mwendo wa kinyonga,
haiwezekani barabara ya kilomita 9 mwaka na zaidi unaenda haijakamilika, hakuna sehemu korofi, madaraja ni mawili tu tena ni vijidaraja,
Apewe Tanganyika miradi mikubwa mfano barabara kilomita 100 si atachukua miaka mitano anafanya miradi isiyo kamilika?
2. Ufisadi analalamikiwa sana, mfano mzuri tu, maswala ya medical check up Kwa Wafanyakazi Wa umma na wa sekta binafsi walikuwa wakifanyiwa hospitali ya Mnazi mmoja au hospitali yoyote ile mwajiri atakayoona inafaa,
hivi sasa unaambiwa mradi kauchukua yeye kampa mkewe na Waturuki, sehemu ya kufanyia check up ni mmoja tu, Migombani.
Issue ya ufisadi yeye na waliomzunguka wanalaumiwa, hachafuliwi, hata Ally Karume na Mzee Baraka Shamte wana ccm wenzake wamelalamika sana.
3. Inakuwaje Rais Mwinyi anawapenda saaaana Waturuki kuwatumia kwa wingi kwenye miradi mbalimbali?
Je kwa sababu amewahi kusoma kule?
Kwa nini asichanganye na watu wa mataifa tofauti tofauti?
Maana hadi tofali kufyatua Waturuki, uchimbaji wa Mawe kule Kandwi Waturuki, acha kwenye miradi mingine.
😂😂😂 Mkuu Mnanguliti umenifanya nicheke aisee, Mwenye Elimu ni yupi?ukiangalia hiyo orodha uliyoitoa ni kama mwenye elimu ya kutosha ni kama mmoja tu wengine elimu zao ni kama za kumulika na tochi sana.
Duuuuuuh hatari, Mungu awape uhai wazee wenye kulipenda Taifa, rasilimali za nchi na watu wake hasa wenye kutaka rasilimali za nchi zinufaishe watu wengi na taifa na si kikundi cha watu wachache.Mkuu Kwa Mwinyi Imani ndio kila kitu!uturuki ndio taifa pekee la ulaya lenye Wavaa kanzu wengi,kiimani mvaa kanzu ndugu yake ni mvaa kanzu!
Mwinyi ni kudra za njia ya baba ye ndio zinaweza mbeba!coz amekuwepo kwenye Kuta kimkakati kwa muda mreefu sana!
Doto Biteko ni aina ya watu ambao deep state Huwa wanawa indose na ana fanana kabisa ukimcheki!
Kile cheo sio kwa bahati mbaya amekipata Nina nadharia mbili;-
1.Ni Dr. Philip mpango wa 2026 kama mhusika hakutakiwa kugombea akagombea wakamwacha apite ili....!?Mzena 2026 !!!!?nadhani umenielewa!
2.Kelele za NEC na pressure ya Dola kwenye mchakato wa 2025 ya kumpata mtia Nia imuibue Biteko!!!
Kuhusu Gwajima na nguvu ya kanisa kuu !Nina nadharia hizi;-
1.vita vya kidini na awamu ndani ya nec na pressure ya dola italeta kauli ya tukose wote apewe M protestant ndio aibuke!
2.Mtifuano ndani ya chama na serikali kupelekea RIP za watu ,wazee wakubwa wenye kauli ndani ya mchakato !top ten ya NEC ambayo imetawaliwa na Kanda ile wakaamua kumpigania mmoja wa Kanda Ile na mjoli mwenye ushawishi Sana kitaa hasa kiroho akapeta!hapa tusimsahau Inocent Bashungwa namuona ni threat kwa mjoli pia!!!
Naona mengi ambayo siwezi yaandika hapa mengine !japo Afya ya namba Moja pia itaamua hatma ya mpeperusha bendera!!!!
Sisi waswahili tunasema kunako majaaliwa ya mwenyezi Mungu!
Wenye elimu wapowapo ila za darasani hasa namuona😂😂😂 Mkuu Mnanguliti umenifanya nicheke aisee, Mwenye Elimu ni yupi?
Januari au Mwinyi au Bashungwa au Biteko?
Sawa mkuu ila Zitto mmmmh.Hahaha
Wenye elimu wapowapo ila za darasani hasa namuona
Zitto, Mwinyi labda na Bashungwa maana sina CV yake sana
Kwa hiyo mtu wa Mungu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI unataka kuniambia nisimpige Boniface Victor?Mtu mwenye akili timamu kuongea kwa kujiamini hivyo sio Bure;-
1.Ni kweli anatumiwa na Mungu na amemtokea!
2.Utabiri ni WA kweli lakini hesabu za kutimia unabii huo sio za kweli ,labda kaona range ya mwezi was nne Hadi Tano mwaka huu kumbe ni mwaka mwingine kabisa!