NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wakati wake ukifika wa kwenda kuzimu kavu ataenda tu!Kuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
Kwa kawaida Hawa jamaa hula mikataba na yule mwenye kuangazia ulimwengu Ili kushika madaraka makubwa kama hayo!Muda ukifika lazima aende akatumike Tena kabla ya natural death halisi kumfika!!!
NASIKIA MBAGALA TAYARI KUMETOKEA TETEMEKO NA NYUMBA 29 ZIMEBOMOKA!!KUNA MDAU KALETA UZI HUMU!