Dark days 17/03/20...


Wengine wapo binafsi sanaaaa”,. Kuliko kampuni kunufaika. Kwa BM yes kuna mahali alijiwekezea yeye kama yeye ila aliikumbuka kampuni kwa mapana sana bila kujilimbikizia kwa kizazi chake cha sasa na vizazi vijavyo.

Kuna kautamaduni kanajengeka ambacho hakakuwepo siku hizo, kujilimbikizia kwa ajili ya familia zaidi bila kujali wengine.

JK wa 2, na NEW CEO wapo busy sana kujiwekezea binafsi nje ya kampuni, ndio maana BM bado anaoneka alilete mapinduzi makubwa sana. Kaanzisha taasisi zilizomrahisishia utendaji kazi wake enzi za utawala wake na waliomfuata.

By gone aliliwazia mema taifa japo in a very wrong ways sometimes. Alijuwa wailao kampuni ni akina nani na wanakula vipi ila alifeli kuchagua very smart people ku execute mission zake na vission zake zinufaishe kampuni.
 
The Old the Wine. ....the fine it becomes
 
Bado BT na genge lake. Sasa new ceo anatakiwa amalizane nao kwa kuwalambisha udongo kama anataka kufanikiwa. Tena wanavyochukiwa sasa awa eliminate wote ili awe huru. Akiwaacha watatumia hela walizoiba. Au awarudishe na amalizane nao
laiti ungejua! bora ukae kimya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…