Dark days 17/03/20...


It seems like they have mission within a major mission”,.
 
1. Kwa kuzingatia matukio mengi ya kifisadi na rushwa like Richmond, EPA, Kagoda, Ubinafsishaji wa bandari , matukio mengi ya rushwa regarding to CAG reports etc, ni wazi kwamba our Economic Intelligence ( Under SSIT) is not in action!

Kwa mtazamo wako, ni kwanini hatuupi umuhimu uchumi wetu kama tunavyofanya kwenye usalama wa raia ( kulinda amani ya nchi) hali ya kuwa tunajua kuwa hakuna taifa imara bila uchumi imara?

2. Kwanini kama taifa hatuna malengo ya pamoja tunayoyapambania kiasi kwamba dira ya nchi inaamuliwa na Rais wa kipindi husika?

3. Speaking about katiba mpya, nini mpango wa system kuhusu hili hasa kwa kuwa iliyopo ina mapungufu mengi kama kumpa mamlaka makubwa Rais ambapo wengi wao huyatumia vibaya, Muungano kuwa na mashimo mengi nk ?
 
Aiseee hatari sana.
Mm ninaamini hata 1995 kipipa hakushinda, 2000 na 2005, sijui ila 2010 bila shaka Padri alishinda na 2015 nakubali Manywele alishinda.
9991 ndipo mambo yalifanyiwa mazingaombwe na 5002 ndipo hasa mfumo huu ulijikita Kwa mapinduzi baridi, baada ya aliyeharibu kuzidiwa kete...Ever since life has never been the same...Buuut the good news is 1520 mambo yalivurugika kabisa kabisa na hayajawahi kurudi normal...Kwa sasa sote tupo kwenye pata potea, kuvizoana na kulana vichwa...Hii yote kupelekea kwenye mema!
 
Aiseee hatari sana.
Mm ninaamini hata 1995 kipipa hakushinda, 2000 na 2005, sijui ila 2010 bila shaka Padri alishinda na 2015 nakubali Manywele alishinda.

You got my concept very well,. 95’
15’ 20’ it happened dirty fouls extremely visibly, while referees were on their side,. Opponents were had nothing to deal, as referees werent not on their side especially 20’
 
Mimi sijui mengi lakini Kuna Moja naliliona katika macho Yale ya ndani ambayo hayajawahi nidanganya hata siku Moja... TZS akishinda vita hivii vibaya ovyo dhidi ya maadui wote including huyu ambaye anaonekana anaelekea kupiga hatua...Sielewi how, why and when!
 

Kama the mission itakuwa accomplished na saiv bi mkubwa anawogopa bado mapema hao alio collaborate nao....... sasa akichukua nch hawa watu watakuwa wanampangia na kumdai as returns na hapo nch inakuwa utupu ...... ndio maaana mkuu wa majeshi aliwahi kusema publicaly kuwa ndani ya mifumo ya nch kuna wageni naye kuna namna alikuwa anatuma codes may be ...... lets pray for our beloved country
 
Hiyo inaitwa HONEY POT kwa wale wa Cuba au waty wa cyber wamenielewa.
 
Relax kunavyotaka kupambazuka Giza huwa totoro...It is well with my country...Hakuna kitakachotokea nje ya mapenzi mema Kwa nchi na raia wake...Kila Ubaya unafikia mwisho wake, Ili Ile njema ianze kuonekana!
 
..... Tamu - chungu, Ukipiga darubini na Ukaamua kuunganisha dot unahisi kabisa kuna kama mpambano wa
Mwanafunzi v/s Mwalimu,

Baadhi ya pages za kweye social media zilizokuwa zikimpiga vita mfalme yule
Sasa tena zile zile kwa aina fulani zinampiga vita Malikia,
Kigogo Kigogo fb na Instagram, Chehali Jasus nk nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…