Dark days 17/03/20...

Kama alisema ni 25 dec sioni sabb ya yeye kuja now zaidi ya kuja na kusalimia tu
 
Mtoto unaadabu sana.umeletwa duniani kufungua pazia wakati wa usiku.
Hongera bibie.
 
Yoga, please unveil the curtain while we're going to usher the new year 2025.

The year which will reveal many unthinkable issues, but Tanzanians must experience unexpected outcomes, though they will be amid of frustrations and fears of many unknown circumstances.
 
Duuh
 
Mungu wa Biblia (YAHWEH), aliumba mbingu na dunia (na vyoote vilivyomo, including malaika wote) in 4005 BC, mwezi wa kwanza wa kibiblia (unaoitwa pia Abib au Nisan). In around March to April kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Adam na Hawa walikula tunda la kujua mema na mabaya, walipokuwa na miaka 30. Wali ishi bustani ya Eden kwa miaka 30.

Bwana Yesu Kristo (Bwana Yahushua Mashiach) alizaliwa 5 BC, siku ya 15 ya mwezi wa saba wa kibiblia, siku hii ilikuwa siku ya kwanza ya the Feast of Tabernacles. In around mwezi September to October kwenye kalenda yetu.

Bwana Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji, siku ya Pentekoste, mwaka 26 AD.

Pentekoste ni siku ya 6, ya mwezi wa 3 wa kibiblia. Punde baada ya kubatizwa alienda nyikani siku 40, ambapo alijaribiwa na Shetani. Bwana Yesu aliyashinda majaribu ya Shetani.

Siku ya Pentekoste huwa ina angukia kati ya mwezi May na June kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Siku ya 10, ya mwezi wa saba, wa kibiblia (on the day of Atonement), 26 AD, Bwana Yesu alihubiri Luka 4:18. Akitangaza Jubilee. Mwaka 26 AD ulikuwa mwaka wa Jubilee. Bwana Yesu Kristo alikuwa about 30 years of age, wakati huu.

26 AD ni miaka 483, toka 458 BC. Ni mwanzo wa 'wiki ya 69 ya Daniel'. Mwaka 458 BC, mfalme Artaxerxes alitoa decree kwa Ezra.

Miaka 490 inaishia mwaka 33 AD, ambapo Stefano aliuawa.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa katikati ya 'wiki ya 70 ya Daniel'.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa kibiblia (siku ambayo kondoo wa Pasaka alikuwa anauawa), Ijumaa, mwaka 30 AD; na kufa na kuzikwa, alifufuka siku ya 3, Jumapili; na alipaa mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu Baba, toka huko atakuja kuwa hukumu wazima na wafu.

Utatu Mtakatifu wa Mungu (The Holy Trinity) upo na ni kweli kabisa.

Mwaka 2026 AD ni miaka 2,000 tangu 26 AD.

Pia 2026 AD ni around miaka 6,000 tangu Adam na Hawa walipokula tunda la kujua mema na mabaya.

Mwaka 2030 AD ni miaka 2,000 tangu 30 AD.

Pia mwaka 2030 AD, ni miaka 2000 baada ya ujio wa Roho Mtakatifu, kwa wanafunzi wa Bwana Yesu, kwenye siku ya Pentekoste, in 30 AD.

Miaka 1260, 1290, 1335 na 2,300 (iliyotajwa kwenye kitabu cha Daniel) yoote inaishia mwaka 1798 AD. Ina anzia nyakati tofauti, lakini yoote inaishia 1798 AD.

Siku ya saba ya wiki (sabato), ndio siku ya kweli ya ibada, kwa Wakristo, kwenye Agano Jipya.

Siku ya saba ina anza jua linapozama Ijumaa jioni na kuisha jua linapozama Jumamosi jioni.

Usipoteze muda wako kwenda kwenye makanisa yanayosema kwamba ni ya kisabato, kuna mambo muhimu sana watakupotosha.

Baki kwenye kanisa lako.
 
Daah, shukrani mkuu yoga niliona thread kwa Fortunatus Buyobe kule X kumbe alicopy Uzi wako hapa yule jamaa halafu anataka tukalipie kule telegram kwenye channel yake. Aisee, kweli mtu usikae kizembe. Inabidi ukalie ground of tactical importance
 
Nadhani, kama it is a good idea, TISS ivunjwe:

Iundwe:

1) Tanzania Intelligence and Security Agency.

2) Tanzania Secret Service.

Zote mbili zihusike na mambo ya ndani pamoja na mambo ya nje.

Ila TSS inaweza kuwa maalumu zaidi kwenye eneo la ulinzi wa viongozi. Presidential Protection Unit, na VIP Protection Unit, zinakuwa ndani ya TSS.

Nadhani Takukuru ibadilishwe iitwe: Tanzania Bureau of Investigation, kwa kiswahili: Taasisi ya Uchunguzi (au Upelelezi). Kazi yake iwe kuzuia na kupambana na economic crimes (including corruption).

Kwingine kubaki kama kulivyo, Millitary Intelligence, Millitary Police, Police Intelligence, CID, FIU, DCEA, zote zibaki kama zilivyo.

Kuwe na 'polisi wa polisi' ndani ya jeshi la polisi. Ambao kazi yao itakuwa kusimamia nidhamu ya polisi wenzao, kama vile millitary police wanavyosimamia nidhamu ya wanajeshi wenzao.

Halafu kuwe na maximum security prison(s), ambapo watu waliokamatwa kwa mujibu wa sheria na kwa sababu za msingi kabisa (Using an improved Preventive Detention Act etc) na TISA au TSS, watakaa, hadi watakapo achiwa au kushtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Watu hao pia wanaweza kutembelewa na ndugu zao au na wanasheria wao. Pia, haki za binadamu za watu hao ziheshimiwe.

Magereza yaboreshwe ili kupunguza msongamano wa wafungwa, na ili kuboresha haki za binadamu za wafungwa wote.
 
Kuna point
 
Mbuzi wa bwana heri, shamba la bwana heri
 
YOGA UMEPOTEA SANA,,,,KUNA JAMAA ANAPITA NA UZI WAKO HUKO MJINI X,NA WALA HATOI CREDIT. HEBU FANYA UVUNJE HATA ILE MIWANI YAKE,,,,ANAKULA ALFU TATU TATU ZA WADANGANYIKA BILA HURUMA KWA JASHO LAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…