Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kama alisema ni 25 dec sioni sabb ya yeye kuja now zaidi ya kuja na kusalimia tu
 
Ntakujibu wewe deep kidogo UPATE PICHA KWANZA maana naona hii ishu Imeulizwa sana.


Iko hiv.........

Kampuni Ina security agency nyingi tu, lakini daily active security agency ni PCC and SSIT . These two must report daily to the CEO

BUT These two Were divided after the election of the late CEO!! Some didn't like late CEO and others did! (New one)

Remember SSIT has more power than PCC! 🤣

Sasa wakati wa late CEO, Kulikua na team BT inside SSIT, Hii was dealing with Late CEO People silently! At the same time kulikuaa na ujenzi wa team late CEO I'n side SSIT, to remove BT influence inside SSIT!

Yaaani Hii team ilikuwa Ina Kazi Moja kubwa ni ku hunt down na ku deal na wooote associated with BT in any how.

It means there was a war in side SSIT


Kufupisha story, after the new CEO came into power it was like team BT inside SSIT won the battle, Kwa msaada mkubwa wa the new CEO

New CEO after being given the throne she enjoyed it and want to become a god mother of the company! While the god father is still there

She played all the cards and failed most of the time, untill she remembers the existence of late CEO people inside the SSIT!

Anaamua ku collaborate nao ku fight against god father! She brought them back behind the scenes and give them authority, tena anawapa Sheria ya 2023 very fast 🤣🤣🤣

After that, those people wanaamua ku recruit members from PCC to in large their man power.

wanaweka goals mission and vision. To wards 2030 🤣🤣🤣

Wana apa kudeal na any one against new CEO. And the IR plan called 2030, Including their beloved enemy 🤣🤣🤣 BT

Wanapata special fund from the top! Na wanareport directly frome the top!! We hawa Ukiwagusa muulizee mzee "WASI "🤣🤣🤣

It's a group of SSIT inside SSIT ambao SI lazima kureport Kwa Bommo🤣🤣🤣 under the guidence of KP🤣

Wana magari Yao, offisi zao na watu wao all over the main big cities of the company. Wana power kupitia na kutumia any PCC post Ndani ya kampuni!

Most of them don't look like security agents, male and females of different kinds🤣🤣🤣!

These guys are now uncontrollable kiasi sasa hata new CEO she is worried!! Why?? Simply because She must listen to what they say and follow what they say towards 2030 succession plan!

Pray for her

Sasa kuhusu that abduction umeitaja next season utaipata deep with details.............

tenaaa this time with exclusive codes to prove what am saying 🤣

Thanks love
Mtoto unaadabu sana.umeletwa duniani kufungua pazia wakati wa usiku.
Hongera bibie.
 
Ntakujibu wewe deep kidogo UPATE PICHA KWANZA maana naona hii ishu Imeulizwa sana.


Iko hiv.........

Kampuni Ina security agency nyingi tu, lakini daily active security agency ni PCC and SSIT . These two must report daily to the CEO

BUT These two Were divided after the election of the late CEO!! Some didn't like late CEO and others did! (New one)

Remember SSIT has more power than PCC! 🤣

Sasa wakati wa late CEO, Kulikua na team BT inside SSIT, Hii was dealing with Late CEO People silently! At the same time kulikuaa na ujenzi wa team late CEO I'n side SSIT, to remove BT influence inside SSIT!

Yaaani Hii team ilikuwa Ina Kazi Moja kubwa ni ku hunt down na ku deal na wooote associated with BT in any how.

It means there was a war in side SSIT


Kufupisha story, after the new CEO came into power it was like team BT inside SSIT won the battle, Kwa msaada mkubwa wa the new CEO

New CEO after being given the throne she enjoyed it and want to become a god mother of the company! While the god father is still there

She played all the cards and failed most of the time, untill she remembers the existence of late CEO people inside the SSIT!

Anaamua ku collaborate nao ku fight against god father! She brought them back behind the scenes and give them authority, tena anawapa Sheria ya 2023 very fast 🤣🤣🤣

After that, those people wanaamua ku recruit members from PCC to in large their man power.

wanaweka goals mission and vision. To wards 2030 🤣🤣🤣

Wana apa kudeal na any one against new CEO. And the IR plan called 2030, Including their beloved enemy 🤣🤣🤣 BT

Wanapata special fund from the top! Na wanareport directly frome the top!! We hawa Ukiwagusa muulizee mzee "WASI "🤣🤣🤣

It's a group of SSIT inside SSIT ambao SI lazima kureport Kwa Bommo🤣🤣🤣 under the guidence of KP🤣

Wana magari Yao, offisi zao na watu wao all over the main big cities of the company. Wana power kupitia na kutumia any PCC post Ndani ya kampuni!

Most of them don't look like security agents, male and females of different kinds🤣🤣🤣!

These guys are now uncontrollable kiasi sasa hata new CEO she is worried!! Why?? Simply because She must listen to what they say and follow what they say towards 2030 succession plan!

Pray for her

Sasa kuhusu that abduction umeitaja next season utaipata deep with details.............

tenaaa this time with exclusive codes to prove what am saying 🤣

Thanks love
Yoga, please unveil the curtain while we're going to usher the new year 2025.

The year which will reveal many unthinkable issues, but Tanzanians must experience unexpected outcomes, though they will be amid of frustrations and fears of many unknown circumstances.
 
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike

Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!

Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!

The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!

The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?

Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!

Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!

Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? or...


Itaendelea.......


Guess the company!??

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...

Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Duuh
 
Mungu wa Biblia (YAHWEH), aliumba mbingu na dunia (na vyoote vilivyomo, including malaika wote) in 4005 BC, mwezi wa kwanza wa kibiblia (unaoitwa pia Abib au Nisan). In around March to April kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Adam na Hawa walikula tunda la kujua mema na mabaya, walipokuwa na miaka 30. Wali ishi bustani ya Eden kwa miaka 30.

Bwana Yesu Kristo (Bwana Yahushua Mashiach) alizaliwa 5 BC, siku ya 15 ya mwezi wa saba wa kibiblia, siku hii ilikuwa siku ya kwanza ya the Feast of Tabernacles. In around mwezi September to October kwenye kalenda yetu.

Bwana Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji, siku ya Pentekoste, mwaka 26 AD.

Pentekoste ni siku ya 6, ya mwezi wa 3 wa kibiblia. Punde baada ya kubatizwa alienda nyikani siku 40, ambapo alijaribiwa na Shetani. Bwana Yesu aliyashinda majaribu ya Shetani.

Siku ya Pentekoste huwa ina angukia kati ya mwezi May na June kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Siku ya 10, ya mwezi wa saba, wa kibiblia (on the day of Atonement), 26 AD, Bwana Yesu alihubiri Luka 4:18. Akitangaza Jubilee. Mwaka 26 AD ulikuwa mwaka wa Jubilee. Bwana Yesu Kristo alikuwa about 30 years of age, wakati huu.

26 AD ni miaka 483, toka 458 BC. Ni mwanzo wa 'wiki ya 69 ya Daniel'. Mwaka 458 BC, mfalme Artaxerxes alitoa decree kwa Ezra.

Miaka 490 inaishia mwaka 33 AD, ambapo Stefano aliuawa.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa katikati ya 'wiki ya 70 ya Daniel'.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa kibiblia (siku ambayo kondoo wa Pasaka alikuwa anauawa), Ijumaa, mwaka 30 AD; na kufa na kuzikwa, alifufuka siku ya 3, Jumapili; na alipaa mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu Baba, toka huko atakuja kuwa hukumu wazima na wafu.

Utatu Mtakatifu wa Mungu (The Holy Trinity) upo na ni kweli kabisa.

Mwaka 2026 AD ni miaka 2,000 tangu 26 AD.

Pia 2026 AD ni around miaka 6,000 tangu Adam na Hawa walipokula tunda la kujua mema na mabaya.

Mwaka 2030 AD ni miaka 2,000 tangu 30 AD.

Pia mwaka 2030 AD, ni miaka 2000 baada ya ujio wa Roho Mtakatifu, kwa wanafunzi wa Bwana Yesu, kwenye siku ya Pentekoste, in 30 AD.

Miaka 1260, 1290, 1335 na 2,300 (iliyotajwa kwenye kitabu cha Daniel) yoote inaishia mwaka 1798 AD. Ina anzia nyakati tofauti, lakini yoote inaishia 1798 AD.

Siku ya saba ya wiki (sabato), ndio siku ya kweli ya ibada, kwa Wakristo, kwenye Agano Jipya.

Siku ya saba ina anza jua linapozama Ijumaa jioni na kuisha jua linapozama Jumamosi jioni.

Usipoteze muda wako kwenda kwenye makanisa yanayosema kwamba ni ya kisabato, kuna mambo muhimu sana watakupotosha.

Baki kwenye kanisa lako.
 
Daah, shukrani mkuu yoga niliona thread kwa Fortunatus Buyobe kule X kumbe alicopy Uzi wako hapa yule jamaa halafu anataka tukalipie kule telegram kwenye channel yake. Aisee, kweli mtu usikae kizembe. Inabidi ukalie ground of tactical importance
 
Nadhani, kama it is a good idea, TISS ivunjwe:

Iundwe:

1) Tanzania Intelligence and Security Agency.

2) Tanzania Secret Service.

Zote mbili zihusike na mambo ya ndani pamoja na mambo ya nje.

Ila TSS inaweza kuwa maalumu zaidi kwenye eneo la ulinzi wa viongozi. Presidential Protection Unit, na VIP Protection Unit, zinakuwa ndani ya TSS.

Nadhani Takukuru ibadilishwe iitwe: Tanzania Bureau of Investigation, kwa kiswahili: Taasisi ya Uchunguzi (au Upelelezi). Kazi yake iwe kuzuia na kupambana na economic crimes (including corruption).

Kwingine kubaki kama kulivyo, Millitary Intelligence, Millitary Police, Police Intelligence, CID, FIU, DCEA, zote zibaki kama zilivyo.

Kuwe na 'polisi wa polisi' ndani ya jeshi la polisi. Ambao kazi yao itakuwa kusimamia nidhamu ya polisi wenzao, kama vile millitary police wanavyosimamia nidhamu ya wanajeshi wenzao.

Halafu kuwe na maximum security prison(s), ambapo watu waliokamatwa kwa mujibu wa sheria na kwa sababu za msingi kabisa (Using an improved Preventive Detention Act etc) na TISA au TSS, watakaa, hadi watakapo achiwa au kushtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Watu hao pia wanaweza kutembelewa na ndugu zao au na wanasheria wao. Pia, haki za binadamu za watu hao ziheshimiwe.

Magereza yaboreshwe ili kupunguza msongamano wa wafungwa, na ili kuboresha haki za binadamu za wafungwa wote.
 
Nadhani, kama it is a good idea, TISS ivunjwe:

Iundwe:

1) Tanzania Intelligence and Security Agency.

2) Tanzania Secret Service.

Zote mbili zihusike na mambo ya ndani pamoja na mambo ya nje.

Ila TSS inaweza kuwa maalumu zaidi kwenye eneo la ulinzi wa viongozi. Presidential Protection Unit, na VIP Protection Unit, zinakuwa ndani ya TSS.

Nadhani Takukuru ibadilishwe iitwe: Tanzania Bureau of Investigation, kwa kiswahili: Taasisi ya Uchunguzi (au Upelelezi). Kazi yake iwe kuzuia na kupambana na economic crimes (including corruption).

Kwingine kubaki kama kulivyo, Millitary Intelligence, Millitary Police, Police Intelligence, CID, FIU, DCEA, zote zibaki kama zilivyo.

Kuwe na 'polisi wa polisi' ndani ya jeshi la polisi. Ambao kazi yao itakuwa kusimamia nidhamu ya polisi wenzao, kama vile millitary police wanavyosimamia nidhamu ya wanajeshi wenzao.

Halafu kuwe na maximum security prison(s), ambapo watu waliokamatwa kwa mujibu wa sheria na kwa sababu za msingi kabisa (Using an improved Preventive Detention Act etc) na TISA au TSS, watakaa, hadi watakapo achiwa au kushtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Watu hao pia wanaweza kutembelewa na ndugu zao au na wanasheria wao. Pia, haki za binadamu za watu hao zinatakiwa kuheshimiwa.

Magereza yaboreshwe ili kupunguza msongamano wa wafungwa, na ili kuboresha haki za binadamu za wafungwa wote.
Kuna point
 
Nadhani, kama it is a good idea, TISS ivunjwe:

Iundwe:

1) Tanzania Intelligence and Security Agency.

2) Tanzania Secret Service.

Zote mbili zihusike na mambo ya ndani pamoja na mambo ya nje.

Ila TSS inaweza kuwa maalumu zaidi kwenye eneo la ulinzi wa viongozi. Presidential Protection Unit, na VIP Protection Unit, zinakuwa ndani ya TSS.

Nadhani Takukuru ibadilishwe iitwe: Tanzania Bureau of Investigation, kwa kiswahili: Taasisi ya Uchunguzi (au Upelelezi). Kazi yake iwe kuzuia na kupambana na economic crimes (including corruption).

Kwingine kubaki kama kulivyo, Millitary Intelligence, Millitary Police, Police Intelligence, CID, FIU, DCEA, zote zibaki kama zilivyo.

Kuwe na 'polisi wa polisi' ndani ya jeshi la polisi. Ambao kazi yao itakuwa kusimamia nidhamu ya polisi wenzao, kama vile millitary police wanavyosimamia nidhamu ya wanajeshi wenzao.

Halafu kuwe na maximum security prison(s), ambapo watu waliokamatwa kwa mujibu wa sheria na kwa sababu za msingi kabisa (Using an improved Preventive Detention Act etc) na TISA au TSS, watakaa, hadi watakapo achiwa au kushtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Watu hao pia wanaweza kutembelewa na ndugu zao au na wanasheria wao. Pia, haki za binadamu za watu hao ziheshimiwe.

Magereza yaboreshwe ili kupunguza msongamano wa wafungwa, na ili kuboresha haki za binadamu za wafungwa wote.
Mbuzi wa bwana heri, shamba la bwana heri
 
YOGA UMEPOTEA SANA,,,,KUNA JAMAA ANAPITA NA UZI WAKO HUKO MJINI X,NA WALA HATOI CREDIT. HEBU FANYA UVUNJE HATA ILE MIWANI YAKE,,,,ANAKULA ALFU TATU TATU ZA WADANGANYIKA BILA HURUMA KWA JASHO LAKO.
 
Back
Top Bottom