Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani muda kama huu ndio una haki ya kuuliza maana alisema ni 25.12.2025Bado eti?
Duh… acha hata iwe 2030 tu.Mwakani muda kama huu ndio una haki ya kuuliza maana alisema ni 25.12.2025
DuhLaki moja na arobaini na nne Elfu,
Na hesabu hiyo ni coded, Si ya kibinadamu.
Upo we mtu tuletee chochote basi jamani.HAPPY NEW YEAR
Yogaaaaa😘😘HAPPY NEW YEAR
Mambo ni mengi tupe file la BT na Kampuni Rafiki kuhusiana na kijana msema sana na mwenyekiti wakeAm here, unataka kusikia Nini?? Be free
Natamani kusikia mambo mengi sana juu ya kinachoendelea kwasasa ukizingatia mwaka huu ni qa uchaguzi mkuu. Vipi Sasha atapeperusha bendera au born town na timu yake wana mtu wao. Maana ukiangalia ni kama wawili hawa si wamoja tena baada ya Plisner na kina marope kuachiq ngazi. Natamani nisikie chochote mpaka naogopa hata kuendelea kuandika ni kama nitakuta umetoweka hewani. Karibu sana!!Am here, unataka kusikia Nini?? Be free
We have missed you, we are glad ur backHAPPY NEW YEAR
😂😂 Hints:Mambo ni mengi tupe file la BT na Kampuni Rafiki kuhusiana na kijana msema sana na mwenyekiti wake