Dark days 17/03/20...

Code nyepesi saana hii +255 is the company
 
Am here, unataka kusikia Nini?? Be free
1. Ni nini hatma ya Mr. New culture na Kijana msema sana ndani ya kampuni ya Mr. new culture.
2.Kuhusu ukimya wa BT na Mr.Tembo unadhani both of them are already on target by KP?
3. Unadhani DAB kupewa ubranch manager wa tourism destination branch, ni mkakati wa kumuweka on target Mr Tembo?
 
But Born town amekua kimya mno, hadi kutisha.
 
Kigugumizi on flick.......🤣🤣🤣

Kuhusu hili Mme sema hapa ... ngoja nimkaribishe mzeee ......🤣

Mzee: kwanza wachawi wamesha kufa (unamjua mchawi?) 🤣🤣🤣🤣🤣

Mzee tena: kuhusu UCEO Tukiamuaaa hata sasa ......... Naomba ........... Nyie Vijana msije na mabango ...🤣 Tunaogea mambo mazito mtulie kwanza .....🤣



🤣🤣 Ila Huu mwaka huuu wapendwa Kuna Raha sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…