Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaAlisema ya 2025 sio hii mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaAlisema ya 2025 sio hii mkuu
MmmhWhat should worry u ni hiiii silent team (new) acting on their own, do what they wish, hunting both CEO and BT😂
I SWEAR THIS AM IN TROUBLE ⛄
MAMA SAMIA anagombea au hagombeiAm here, unataka kusikia Nini?? Be free
Code nyepesi saana hii +255 is the companyKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Mkuu naomba unisaidie DAB sijamng'amuaThe new silent is likey formed and controlled by PK.Na zile tetesi the CEO atakuwa wiped before 2025 ends hatuoni movements zake,BT is equal to loverboy? DAB,those powers based what? Why him? Haya mambo yanaanza kuwa complex kabisa.
Mbonaa Kama mwamba ankula Bata na position aliyonayosidhani mm nahisi atakuwa DAB kwani huyu ndio wanamwitaga mtoto pendwa
Land lover festivalMkuu naomba unisaidie DAB sijamng'amua
Mbonaa Kama mwamba ankula Bata na position aliyonayo
1. Ni nini hatma ya Mr. New culture na Kijana msema sana ndani ya kampuni ya Mr. new culture.Am here, unataka kusikia Nini?? Be free
But Born town amekua kimya mno, hadi kutisha.1. Ni nini hatma ya Mr. New culture na Kijana msema sana ndani ya kampuni ya Mr. new culture.
2.Kuhusu ukimya wa BT na Mr.Tembo unadhani both of them are already on target by KP?
3. Unadhani DAB kupewa ubranch manager wa tourism destination branch, ni mkakati wa kumuweka on target Mr Tembo?
Ooohhhh asante nimeelewaLand lover festival
thechanzo.com
Mambo ndio yanaaanza kunoga!!?njoo yoga njoo!!According to the source The only problem is the new team under the lover boy! hunting all of them
Kumeanza kuchangamka.Am happy leo!! 😀
Leeeeeeteeeeeee maneeeenoooi kipenziAm happy leo!! 😀