Dark days 17/03/20...

Duuuh

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Haya ni maoni binafsi ila JPM alikua analindwa sana sio tu kimwili ila kiroho pia. Nakumbuka aliwahi tupiwa "Bomu" ile tu kabla ya kuapishwa baada ya tambiko zito bahari ya Hindi huko. Ssa mtu kma yule unadhani nani angemsogelea??

Tokea kampeni wote mliona alivyokua amechoka sana. Mashine ilishaanza visa toka 2017 na Alisha collapse mara kadhaa kabla ya 2021 so naamini HAKUULIWA ila mtambo ulipata hitilafu kma tu mtambo wa mcheza soka Daley Blind ulivyopata hitilafu akiwa uwanjani!!

Tuache speculation
 
Ni Riwaya tu wala sio siriazi sana
 
Ushaambiwa hii ni tamathari za semi, unaanza kuleta ujuaji...soma kama kitbu cha Ngoswe tu ulale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…