Dark days 17/03/20...

Mkuu nakuelewa vizuri ila this time umeniacha njia panda hasa kwenye other companies, hapo companies umemaanisha nchi nyingine au vyama vya siasa?
Hii riwaya imenikumbusha kitabu cha "THE DOGS OF WAR"by Frederick Forthy.
Agent baada baada ya kumaliza operation alipiga simu makao makuu ya CIA akisema:
MANGOES,PAWPAW AND CASSAVA.
 
Big boss kajichanganya during campaings, kapigwa tukio, after uchaguzi wa kampuni only three monthes katema ndoano!
kumbe kabla ya kampeni yule banana alikuwa yuko vizuri kabisa halafu kipi kilisababisha mpaka atamani kukikalia hicho kiti milele daima wakati watangulizi wake hawakuthubutu hata kuongeza sekunde 1 ya muda wao
 
D
Aisee
 
kumbe kabla ya kampeni yule banana alikuwa yuko vizuri kabisa halafu kipi kilisababisha mpaka atamani kukikalia hicho kiti milele daima wakati watangulizi wake hawakuthubutu hata kuongeza sekunde 1 ya muda wao
Ndugu yangu mbona kutajawatu ambao hawausiki jamani[emoji39][emoji1787] usintie matatani bwana[emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…