Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mkuu nakuelewa vizuri ila this time umeniacha njia panda hasa kwenye other companies, hapo companies umemaanisha nchi nyingine au vyama vya siasa?
Hii riwaya imenikumbusha kitabu cha "THE DOGS OF WAR"by Frederick Forthy.
Agent baada baada ya kumaliza operation alipiga simu makao makuu ya CIA akisema:
MANGOES,PAWPAW AND CASSAVA.
 
Big boss kajichanganya during campaings, kapigwa tukio, after uchaguzi wa kampuni only three monthes katema ndoano!
kumbe kabla ya kampeni yule banana alikuwa yuko vizuri kabisa halafu kipi kilisababisha mpaka atamani kukikalia hicho kiti milele daima wakati watangulizi wake hawakuthubutu hata kuongeza sekunde 1 ya muda wao
 
D
Something fishy.....was goin on,......

kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!

Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!

Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!

Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO

So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!

Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!![emoji848] Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!

Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........[emoji12]

Walitaka pate woga!!!!

Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!

[emoji16][emoji16][emoji16]Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini[emoji848])


The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison[emoji16][emoji23][emoji23] with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss![emoji38][emoji38] Kumbe anatengeneza a very nice trap[emoji23][emoji23]


So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake![emoji18][emoji18][emoji18]

The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo

Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!


So the boss took a flight [emoji3575] chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news[emoji16][emoji16][emoji16] akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!! [emoji38]

The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone[emoji3][emoji26][emoji26]


Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!?? [emoji849]

Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana [emoji57][emoji12][emoji12]

mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake [emoji849][emoji57][emoji57][emoji850]

So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara

Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........[emoji849][emoji26][emoji26]

So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene[emoji849][emoji848][emoji848]




What hapened to the deep informal.........[emoji16][emoji16][emoji16]
Aisee
 
kumbe kabla ya kampeni yule banana alikuwa yuko vizuri kabisa halafu kipi kilisababisha mpaka atamani kukikalia hicho kiti milele daima wakati watangulizi wake hawakuthubutu hata kuongeza sekunde 1 ya muda wao
Ndugu yangu mbona kutajawatu ambao hawausiki jamani[emoji39][emoji1787] usintie matatani bwana[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom