Mama amelea hao watoto na amekuza, tangu akiwa pale kwenye ile shule yenye jina la mti mkubwa.Mwenye visima si mtoto wake wa kumzaa kwa huyo mama
firimani.Wakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
miraji yuko katikati ya dr na naibu ,mama ake amefariki pia kazikwa iringa.alikua anaishi dodomaMiraji anaingia wapi? Kwa huyu Mwalimu au huyo aliyefariki?
Wewe ni mwanamke kweli 🤔🤔?Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]
By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!
Good for him!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
Wakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
Jinsia tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Wewe ni mwanamke kweli [emoji848][emoji848]?
Wanawake wengi hawana roho kama yako, yaani umemuacha tu hivi hivi.
Hapo angekua mwingine ungezuka ugomvi mkali + kutushusha vyeo wanaume wote kisa huyo mjuba juha.
Kongole kwako nina imani u msomi wa kiwango chako.
🤔🤔🤔 Ndgu.haya bana ila Ukiona nyama imeachwa wazi buchani jua muuzaji yuko pembeni tu anasubiri mteja!!
Si tumekubaliana tusidigest sana code?Mwenyekiti wa chama pinzani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna kabisaaaaaa, wala sina jambo lolote lile mpendwa! Hii ni riwaya tu tuisome tufurahi!![emoji848][emoji848][emoji848] Ndgu.
Una lako jambo na huu uzi si bure.
🙌🙌 Haya sawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna kabisaaaaaa, wala sina jambo lolote lile mpendwa! Hii ni riwaya tu tuisome tufurahi!!
[emoji39]As a matter of fact......
What goes around, comes around like a hula hoop [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
haya bana ila Ukiona nyama imeachwa wazi buchani jua muuzaji yuko pembeni tu anasubiri mteja!!
Naunga mkono hoja, huyo beege ndo mkubwa wao Kwa Tanzania wakala wa shetani.Old CEO fitina nyingi sana huyu mzee, sio mafia au masonic kweli huyu??
Ukute Yuko kamati kuu ya kuhakikisha satanic law of fives inafanya kazi.
Ila sote tutakufa na Mungu yupo atatenda sawa na mapenzi yake.
You mean his deeds will come to haunt him or!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna kabisaaaaaa, wala sina jambo lolote lile mpendwa! Hii ni riwaya tu tuisome tufurahi!!
[emoji39]As a matter of fact......
What goes around, comes around like a hula hoop [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
He will die the painful death we subili.Naunga mkono hoja, huyo beege ndo mkubwa wao Kwa Tanzania wakala wa shetani.
Kupitia uwakala wa covid, wanalazimisha wanapokuwa mbele ya camera wavae barakoa.
Pia uongozi wake ni WA kutoa kafala watanzania kupitia ajari za barabarani.
Yoga. Nakusalimia katika Jina la mwenyezi MUNGU aliye hai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna kabisaaaaaa, wala sina jambo lolote lile mpendwa! Hii ni riwaya tu tuisome tufurahi!!
[emoji39]As a matter of fact......
What goes around, comes around like a hula hoop [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nimependa tu unavyojituma kufahamu mambo. But uwe tayari kuupooza moyo wako.Yule mama mleta wachuma zetu kwa kutumia kimbunga upepo alitakiwa awe kwenye kampuni maana kampuni na nyumba za yesu ni mapacha, hawa watu wenye nyumba za masiha wana wafuasi wengi ukitaka kuongoza vizuri kampuni lazima mle wote sahani moja.
Naenda library kusoma simulizi zingine wenda nikajua kwani aliwahi kwenda kwa baba mbinguni kuimba mapambio.
Tuendelee kusoma riwaya mbali mbali majibu yako humu humu duniani.mbunguni kuna kazi moja tu kuimba na kusifu