ππππππ khaaaaaaaHuyo ni shujaa, hiyo mimba kila siku tunakuambia itoe. Itakutesa maisha yako yote
πππ mkuu umeandika ukiwa wapiHuyu zitto mwenye sura yenye ngozi kama ya mapumbu wa kumsema shujaa?.
Bwege kweli kweli hili jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ nimechekaaaaaaaaNimesoma hii comment kijana wangu akiwa anabadilishwa diaper kupelekea kuwa na mfano hai wa ngozi ya pumbu kisha kuimithilisha na sura ya bwana Kabweπ€£π€£π€£π€£
mkuu naona umegeuza kigenge cha kahawaIla kuna watu mnaweza sana kujitoa ufahamu, eti shujaa shujaa mwizi, muongo na muuaji
Ukisema shujaa wa wanyonge ntakubali, ila siyo kwa watu wanaojielewa. Shujaa kwa lipi sasa?Huyo ni shujaa, hiyo mimba kila siku tunakuambia itoe. Itakutesa maisha yako yote
Mimi sijambo, umesema vyema sana hasa baada ya kutumia umoja tofauti na wale wanaotumia wingi kwa kusema Shujaa wetu badala ya kusema Shujaa wangu. Wanadhani kila mtu ni mnyonge kama walivyo wao. Hongera sana mkuuKwangu ni shujaa sijui kwako ni muuaji au vipi.
Ndo maana hatujuani kwa huyo hatufanani kimtazamo.
Nakusalimia Sana Ndugu hujambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi namwambia huyo aliyeanza kuleta habari za unyonge wake na ishu za shujaa wenu. So na wewe pita [emoji118]mkuu naona umegeuza kigenge cha kahawa
haya majungu sio sehemu yake hapa tunamsoma yoga tu hao watu wenu hatuwajui kwenye hii story ya yoga so pita [emoji117]
Ulikuwa kwa manufaa yake .na familia yake .kwani uongoHuo uwanja wa ndege unaousema kwani aliutumia yeye na familia yake tu au na Watanzania wengine nao wanaruhusiwa kuutumia?
mbn unamuita kirahisi hvyoo km wew ndie uliyemletea??? mkuuYoga njoo basi
Shukrani sana.tuendelee kulijemga taifa kwa amani upendo na mshikamano.Mimi sijambo, umesema vyema sana hasa baada ya kutumia umoja tofauti na wale wanaotumia wingi kwa kusema Shujaa wetu badala ya kusema Shujaa wangu. Wanadhani kila mtu ni mnyonge kama walivyo wao. Hongera sana mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16]anamuita kizembe sanambn unamuita kirahisi hvyoo km wew ndie uliyemletea??? mkuu
Shujaa fakeSasa hivi born town na wezi/wauaji wenzake akili zinaanza kuwacheza yaani mambo yanaanza kuhatibuka kimoja baadabya lingine, ukifatikia namna late CEO anavyoshambuliwa utaona namna Gani watu wanavyojihami.
Nilishaapa Mimi wale wote waliohusika Kwa namna moja au nyingine kumzimisha shujaa watakufa kifo kibaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenisikitisha kwenye kauri ya Kuwa Marais wamezidikwa Sana. Kuzindikwa kunazuia physical attack za kiabiologia??.Wapi nimetaja corona?? Nimekwambia defribillator ilikua Ina hitilafu tokea 2017!!
Yaani Mkapa afe kwa polonium? Kwamba matambiko hayawezi kumshtua?? Hawa Marais wamezindikwa sana hamjui tu huwezi kumdhuru kipuuzi hivyo.
JPM alikufa kwa hitilafu ya defribillator na nemshakupa mifano ya watu kma Daley Blind mchezaji wa Ajax. Kwanini mnaleta ujuaji wakati facts ziko wazi?
Yes mkuu na Hilo nimezungumzia sana huko nyuma kwenye thread ya "Dark arts". Spiritual forces play a focal point in protecting your physical being.Umenisikitisha kwenye kauri ya Kuwa Marais wamezidikwa Sana. Kuzindikwa kunazuia physical attack za kiabiologia??.