Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Mchangisha nauli nadhaniNaomba ufungue hii code ya branch manager kwa neno raisi bila kumtaja jina Natanguliza shukran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchangisha nauli nadhaniNaomba ufungue hii code ya branch manager kwa neno raisi bila kumtaja jina Natanguliza shukran
HahahaaaaHuu mzigo kama katuni za masudi kipanya full mafumbo, dah kweli shule muhimu.
Umeshtuka jamaa anakuset ili wakufanyie kazi. Endelea tunafuatilia kwa karibu sana pia hongera mkuu kwa hilo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha weee
Una uelewa mdogo sana.yani umeshindwa kufungua hiyo code kweli,Jf ulifikaje?Naomba ufungue hii code ya branch manager kwa neno raisi bila kumtaja jina Natanguliza shukran
USITHUBUTU kukubali michango ya kupitia simu, Hawa watu wasiojulikana wapo wengi humu, wakati wa the late CEO walisumbua hata humu JF[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha weee
Ujue nini mkuu?Thomaso
ni lazima urudi ofcourse.😃😃Nitarudi
Acha watu wamwage deepshit hadharani maana mlihisi yanafichikaga haya. Kwa kudra za Mungu angemaliza terms zote mbili na tungekuwa mbali sana kiuchumi baada ya miradi kukamilika ila ni kutokana na roho za chuki na tamaa za mafisadi wamedhulumu uhai wake.Acheni kumsingizia na kumpaka tope mstaafu wetu Msoga. Vitu vingine tumieni akili, hivi inaingia akilini amuache miaka yote 6, halafu am terminate akiwa amebakiza miine? Ni upotoshaji, acheni ku make conspiracy theories kwa mzee Msoga.
Acheni apumzike. Ni kweli Jiwe alikuwa mgonjwa na ndio maana kuna rumors kuwa aliomba mpaka upako kabla hajafa, na alijijua kuwa alikuwa mgonjwa.
Narudia, acheni mzee apumzike msimpake shombo.
Na stori za hivi zipo nyingi sana kila mtu anaongea anachojua. Kwenye tukio lolote lile ni lazima conspiracy theories zinakuwa nyingi sana. Acheni hizo bhana,muacheni mzee msoga apumue, msimuonee mzee wa watu.
#StopConspiracyTheories
Umenipoteza, code nyingiKelele zote huwezi amini kijana msema sana ana mahusiano maziri na old CEO. Hii michezo ndio ilivyo.
Majuzi kuna mtu alinambia face to face kuwa deep informer ana mahusiano maziri na baba mwenye democrasia zake.nilipinga ila naanza kuunga dots.
Alivyowekwa kabatini kelele kibao utadhani hawajuani, siku anaondolewa anaenda kusujudu.
Hizi michezo waachieni wenyewe kelelee nyingi utadhani ni wakweli.
Embu fikilia kelele za kijana msema sana hadi leo kumbe yeye na old ceo ni mabest? Mdo maana baada ya tukio deep informer alienda kumjulia hali na majuzi wamekutana yaani mara daftari limeibiwa anunuliwe jingine aweze kusoma tena, nyoooolo zako nimepata kichefuchefu
Hujui deep informer ni nani kwenye hadithi?Umenipoteza, code nyingi
Utakuwa haufuatilii yanayoendelea kwenye hii nchiUmenipoteza, code nyingi