Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hujui deep informer ni nani kwenye hadithi?
Hujui kijana msema sana?
Hujui old Ceo?
Nje ya simulizi umeshindwa kufungua code nyepesi baba mpambania democrasia alokuwa kabatini? Una umri gani?
Ninakumbuka shairi moja la zamani kidogo, "akili yangu nyembamba, haijajua methali" wale wa umri lazima uliimba au kusema ngonjera hili shairi.
 
Siamini kama CEO Alikuwa mzembe kiasi hiko, labda kama walimpumbaza na uchawi au alikosa watu sahihi wa kufanya nao kazi
Kama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.

Money the root of all Evil.
 
Naomba kumjua branch Manager tafadhali maana wengine wote code zipo uchi
Mwenye shule ndogo ila akili mingi mjini, mtu wa kujipendekeza saana na rahisi kuaminiwa anapenda sana kugombana na matajiri, nasikitika sana kwa nini the late ceo alimuamini wakati yule ni kijana wa old CEO ndo alimleta kwenye kampuni.
 
Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.

Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?

Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?

Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.

Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
 
ni ujinga kuamini mzee wa msoga ndio alicheza hii movie, ila naamini kabisa kuna watu walicheza, lakin mastermind hawezi kuwa mzee wa msoga!

pia yezebeli ametumika kwenye stori hii kama informer, kitu ambacho sio kweli, maana huyu hakuwahi kuaminiwa na timu jiwe!
Upumbavu namba moja ni kukubaliana na hili chapisho lako hapa.
 
Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.

Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?

Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?

Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.

Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
Jamaa ni muumini mzuri wa kristo ndicho kilimuokoa kile😅 af jamaa walivyokuwa wahuni wakatembelea upepo wa Korona yani kila waliempiga na kitu kizito wakaipa lawama Covid kwa hio kundi la maboya waliamini New CEO kakabwa na Corona and the rest of the Company members
 
Back
Top Bottom