Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Tutafute pesa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mpendwa hizi ni hekaya tuuu, and nothing sereous[emoji15][emoji2960][emoji2960] anyways good analysis!!
NB: Literature reflect the society!! nothing sereous!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni hadithi.....Tatizo humu JF mnapenda sana hizi story.
Na huwa mnaziamini.
Ila kaa ujue hakuna inside informations zinatolewaga kizembe (hivi tena zinazohusu life za watu wakubwa kabisa).
Eti mtu atiririke kama gazeti hivi, tena kweupe hivi. Hakuna kitu kama hicho.
Hizi informations huwa zinafichwa kwa gharama yoyote ile.
Zikitolewa huwa zinatoka kwa uchache tuu.
Sio mtu anasimulia ya upande A, upande B na upande C yote yaliyofanyika anayajua. Hiyo collection ya hizo taarifa aliiwezaje wakati kila upande unajilinda taarifa zisivuje? Kama sio Utunzi .
Jamaa wanajuana sana sema wananchi wengi hatuelewiDaah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.
Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
Sawa sawa mzee wa maono!!!Sasa tuambie nani atashinda Kati ya timu zote!!?ina Maana old CEO ni Member wa the state!!??au state members wanajitegemea!!?Mimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
Yaani mtu anasimulia pande zote kama yy ndio directorTatizo humu JF mnapenda sana hizi story.
Na huwa mnaziamini.
Ila kaa ujue hakuna inside informations zinatolewaga kizembe (hivi tena zinazohusu life za watu wakubwa kabisa).
Eti mtu atiririke kama gazeti hivi, tena kweupe hivi. Hakuna kitu kama hicho.
Hizi informations huwa zinafichwa kwa gharama yoyote ile.
Zikitolewa huwa zinatoka kwa uchache tuu.
Sio mtu anasimulia ya upande A, upande B na upande C yote yaliyofanyika anayajua. Hiyo collection ya hizo taarifa aliiwezaje wakati kila upande unajilinda taarifa zisivuje? Kama sio Utunzi .
Duh!...Niamini mimi waliomuua MAGUFURI JOHN pombe hawatachukua round na wao watamfuata, kuanzia sasa.
Pigia mstari maneno yangu,
Taratibu zote zimeshakamilikia.
Tofauti ni kwamba yule mwingine ni kama alitumwa kutuandaa kisaikolojia na alitumwa au alikua mmoja kati ya waandaa mipango huyu mwingine bhooo bhooo bhooooPunguza ujuaji, mbona uliletwa uzi humu kua atatokea Rais ambaye hajawahi kugombea na sababu zikatajwa?
Haya mambo inaweza kuwa kweli yalifanyika lakini, usimuliaji wa huyu jamaa unatia shaka.Yaani mtu anasimulia pande zote kama yy ndio director
Kama uliusoma huo uzi ukauelewa,Punguza ujuaji, mbona uliletwa uzi humu kua atatokea Rais ambaye hajawahi kugombea na sababu zikatajwa?
Umetolea mfano wa Putin kwa Ukraine, kuwa Putin nae anaweza kufa muda si mrefu? Ingekua hivyo Bush, Obama hadi leo wasingekua hai kwa walioyafanya Iraq, Afghan, Syria na LibyaMimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
Mmeshaanza kuiharibu Hadithi yetu mnazichomoa post za yoga km Ile ya mwisho inayoelezea CEO kabla ya kukutana na tajiri la kiarabu aliona kwanza aonane na kijana wake aliyeandaa doc kwa mieziHuu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..
Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..
Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
Wameshaingia, badala watiririke ndio wameuzima kabisavp km ndugu zake mr born town na ndugu zake Deep informer wanatiririka na uzi.....no risk taker ahead????