Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Huu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..

Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..

Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
Bahati nzuri au mbaya hata wewe hujui Kama anasema uongo au ukweli.

Gang tunafatilia kwa unakini Kuna vitu tutaunganisha Kisha tumlabe chekacheka.
 
Niliidharau hii Hekaya mwanzoni ila hapo makamu mwenyekiti kutaka kuzuiwa kupewa uCEO na Bashi boy pana kaukweli kiaina pia wizi wa hela na penyewe pana kauweli Yes kosa kubwa walilolifanya kina Katibu ni kutomshirikisha Beyo boy kumtenga manyota lilikua kosa sana angewasaisia kubeba hii kampuni...alafu deep informal kuwa ni yule bibie hapo mmemuonea sana huyo mama...jamaa alikua hamshirikishi kabisa she was too ceremonial....Pia mtunzi kasahau kuhadithia kuwa waliandaa ka kijipande cha kigazeti cha mchongo kujustify jamaa eti alikua na pesimeka na aliumwa kuanzia akiwa yudizenga ila hii dunia ina mambo jameni anyways



Robo tatu conspiracy robo ukweli
kama unakumbuka baada ya kupewa uCEO alimuagiza bwana mahesabu akague miamala yote kuanzia Januari mpaka Machi. Ripot hata haikueleweka,nadhani waliamua kutunziana heshima tu
 
Huu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..

Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..

Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
[emoji23][emoji23][emoji23] guys who told you there is so called "truth" in this narrations?? [emoji23][emoji23]

By the way our new CEO is now busy. few days ago, level two of the mission "checks and balance" was deployed! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stage one on that level inatekelezwa kwa kasi, and the next stage, is stage two!! [emoji23][emoji23][emoji23] The top head in one of the securty agency is about to be taken down!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lets wait for another episode ....,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] guys who told you there is so called "truth" in this narrations?? [emoji23][emoji23]

By the way our new CEO is now busy. few days ago, level two of the mission "checks and balance" was deployed! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stage one on that level inatekelezwa kwa kasi, and the next stage, is stage two!! [emoji23][emoji23][emoji23] The top head in one of the securty agency is about to be taken down!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lets wait for another episode ....,[emoji23][emoji23][emoji23]
When another episode?
 
When another episode?
Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]

Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!

Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]

Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa namuona the current president of Kenya.
Something fishy.....was goin on,......

kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!

Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!

Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!

Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO

So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!

Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!![emoji848] Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!

Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........[emoji12]

Walitaka pate woga!!!!

Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!

[emoji16][emoji16][emoji16]Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini[emoji848])


The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison[emoji16][emoji23][emoji23] with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss![emoji38][emoji38] Kumbe anatengeneza a very nice trap[emoji23][emoji23]


So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake![emoji18][emoji18][emoji18]

The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo

Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!


So the boss took a flight [emoji3575] chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news[emoji16][emoji16][emoji16] akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!! [emoji38]

The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone[emoji3][emoji26][emoji26]


Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!?? [emoji849]

Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana [emoji57][emoji12][emoji12]

mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake [emoji849][emoji57][emoji57][emoji850]

So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara

Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........[emoji849][emoji26][emoji26]

So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene[emoji849][emoji848][emoji848]




What hapened to the deep informal.........[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] guys who told you there is so called "truth" in this narrations?? [emoji23][emoji23]

By the way our new CEO is now busy. few days ago, level two of the mission "checks and balance" was deployed! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stage one on that level inatekelezwa kwa kasi, and the next stage, is stage two!! [emoji23][emoji23][emoji23] The top head in one of the securty agency is about to be taken down!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lets wait for another episode ....,[emoji23][emoji23][emoji23]
Do you mean the appointment of the police man will be terminated?
 
Hii story nimecopy nataka niisome vizuri weekend hii baada ya kuwa nime-decode kila kitu, ni page 24. halafu nina wasiwasi haya ma-idiots ya kampuni anayoiongelea yoga yanaweza kuikatisha na kuifuta wakati wowote
Mkuu sorry kama ntakukwaza naomba unitumie yote na mimi dm maana tayari Kuna vipande huko nyuma walishavichomoa, kama hutojali lakini.
 
Bahati nzuri au mbaya hata wewe hujui Kama anasema uongo au ukweli.

Gang tunafatilia kwa unakini Kuna vitu tutaunganisha Kisha tumlabe chekacheka.
Hamuwezi kumfanya chochote..

Yule mtoto wa mjini kitambo, mmeshindwa kumfanya chochote Mbowe ndio muweze kwa Born Town. Nyie mjini si mmekuja na treni, rambo na ndala wakiwaona
 
Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]

Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!

Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]

Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanajihisi hakuna mtu kamtaja mwenzake mimi kuna mtu kwenye comment kaniuliza kuwa tumwache mzee wa msoga nikamuuliza huyo mzee wa msoga ndo yupi mimi mbona simjui? Kakaa kimya maana kajiona mmbea.

Wewe shusha anaza episode mwendo wa code mwanzo mwisho.
 
Old boss is now a new CEO ...though kuna CEO kivuli... Na it seems Kama old boss this time around ameamua kuibinafsisha kabisa kampuni na kuifanya ya kifamilia....Mabwenyenye hawajali sana mabadiliko yanayotokea ndani ya kampuni as long as wao commission yao iko palepale, wanaoumia na kutoa macho ni watumiaji wa mwisho wa bidhaa zinazozalishwa na kampuni kwani siku zimekua kwenye mfumuko wa bei kila uchwao na isitoshe now days kampuni haiajiri kwa wingi tena...Wengi tumebaki kuomba MUNGU tu..


NO DOUBT..
 
Trust me!ujue hii story ita alert upande wa new CEO na watakua smart Sana Ili kumdhuru old CEO!!!na pia new CEO Anaweza KUTUMIA ushawishi wa kimaumbile na kimkakati akampa old CEO kwa kutoka nae out abroad halafu akam do polonium 210 aka die slowly!!!
Hahaha kwa hiyo unahisi old CEO ana njaa na k kiasi hicho au sio?
 
Unaona sasa! [emoji15][emoji15][emoji15] Unataja watu waheshimiwa hata hawausiki na fasihi yetu[emoji23][emoji23]

Hem kuwa na nidham bwanaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi kwako kuendelea na fasihi.

Tafuta Publisher nzuri utapiga sana hela kuliko yule wa Prisident loves my wife. Lakini usituwekee bei kama za Jasusi wa Chadema..

Kudos!!
 
Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]

Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!

Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]

Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hadithi watu wanapata munkari...ni hadithi tu kama nyinginezo.
 
Back
Top Bottom