Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Naomba username yake pm mkuuMzee wa Msoga ni Master mind , Born town, Silent killer, Savege. Hilo niligundua Baada ya kutembelea Page yake1 ya IG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba username yake pm mkuuMzee wa Msoga ni Master mind , Born town, Silent killer, Savege. Hilo niligundua Baada ya kutembelea Page yake1 ya IG
Duh Kwan alikuwa raia WA nchi gani?Kwanza hakuwa Mtanzania, na mimi nilimdharau tu pale alipotuma watu wamuuwe Tundu Lisu Mungu akakataa matokeo yake limekufa yeye tena kizembe kabisa na Corona kwa kupuuza maelekezo yà wataalam.
Sasa angalie litoto lake Bashite damu za watu alizomwaga zimeanza kumrudia na kumlilia hana amani tena ya maisha, wauwaji hawa.
mbona unafungua Code mkuu?
kwenye hii story wew ndo uko tofauti ondoa mihemkoBinafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu yoga
Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.
Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.
Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.
In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.
Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.
Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.
Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.
Hawezi kuanzisha thread huyo hata nusu page, kajaa ujing* na chuki dhidi ya wazalendo! Haya ndio MAJIZZZ yenyewe.kwenye hii story wew ndo uko tofauti ondoa mihemko
mbona hao lupaso sijui yerico hawamo kwenye story
hebu anzisha uzi wako na wewe tuufatilie maana wikiendi ndefu
Wazalendo kina nani? Hawa washamba majizi ya sukuma gang?Hawezi kuanzisha thread huyo hata nusu page, kajaa ujing* na chuki dhidi ya wazalendo! Haya ndio MAJIZZZ yenyewe.
Anzisha uzi wa dotto james usishambulie nyuzi za wengineWazalendo kina nani? Hawa washamba majizi ya sukuma gang?
Hii tamthilia yenu ya kusadikika hamjasoma jinsi Dotto James mpwa wa shetani wa Chato alivyofanikisha wizi hazina? Au mnasoma juu juu tu?
Nilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza la Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Pole sana mpwaNilikuwa Gerezani kwa zaidi ya 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
umenifurahisha sana hasa pale ulupomuombea Yule aliyemtanguliza Mwendazake alambe udongo, kweli huyu old CEO Mungu amuongeezee mengi, kwani hakuna kiumbe angetuondolea hili dubwana lililotaka eti litawale maisha yake yote na ukoo wakeHayo mengine sijui yana maanisha nini lakini nilichoki quote umepatia kwa 100%.
Asikwambie mtu lile senge linatakiwa likiwa huko huko kuzimu life tena. Kama kuna mtu aliweka mkono kulilisha udongo, basi peponi ana kiti first class.
Hasara aliyoisababishia nchi ni kubwa kuliko ile iliyotokana na vita vya Nduli Akagera.
Limeua watu, limejeruhi, limefilisi watu, limepora na kuzalisha wake za watu, liligawa bustani vipande vipande.
Lilichukiwa na ulimwengu mzima isipokuwa kaukoo fulani ka kishirikina ambako alikatumia ipasavyo akiamini katamsaidia politically kwa sababu ya ukubwa na ushamba wake. Hako kaukoo ni watu poa sana lakini wanatakiwa waoge shombo walilopakwa na yule mkuda.
Aisee pole sana mkuuNilikuwa Gerezani kwa zaidi ya 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
Asante mjombaPole sana mpwa
Nishapoa. Nipo kitaa naendelea na maishaAisee pole sana mkuu
Late CEO aliwaumiza sana watu aisee pole sana kiongozi imagine umekaa ngome miaka mitatu harafu DPP anakuja kukuachia eti serikali haina nia ya kuendelea na kesi yaani umeteseka miaka mitatu jela bila kosa la msingi!!Nishapoa. Nipo kitaa naendelea na maisha
Nasubiria ijumaa kuu ipite nikualike upige hata nyama kwa bill yanguBinafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu yoga
Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.
Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.
Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.
In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.
Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.
Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.
Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.
Huyo kama ni kufa atakufaa mzee saanaaa tena akiwa anatabasamu halafu peponi straight coz aliifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu.umenifurahisha sana hasa pale ulupomuombea Yule aliyemtanguliza Mwendazake alambe udongo, kweli huyu old CEO Mungu amuongeezee mengi, kwani hakuna kiumbe angetuondolea hili dubwana lililotaka eti litawale maisha yake yote na ukoo wake
Bora katangulia motoni
😂😂😂wewe una kamoyo kadogo hakawezi imili mikiki ya hapa duniani sasa umeumizwa na hii simulizi, je sisi tulojuwa CEO is no more afu huwezi fungua domo kumwambia hata rafiki wiki ya kwanza ilipita ya pili ndo wanatangaza si ungekufa na hasira kabisa?.
Na ukitaka kulipa kisasi funga mdomo wako, kula nao sahani moja miaka ipite watu wa jiachie fanya yako. Ukitaka kulipiza kisasi wakati una maumivu basi utaumizwa.
Nb nasisitiza hii simulizi tu😂😂
Hiyo inner circle iliopukutika ni akina nani tofauti na KMK?
Member humu Intelligence wanaomba usiweke majina, tumiaCode , huyo unaemtaja keshazungumziwa na mleta Mada yoga Kuna sehemu km bado ipo alishurutishwa akachomoe kwenye mfuko bulungutu wagawiwe wahusika wampige chini New CEO kwani hakuwa na sifa, ilitumwa mbayuwayu kumchukua akilindwa na huku akipewa briefcase yenye code asifungue mpaka atakapoidhinishwa.Wazalendo kina nani? Hawa washamba majizi ya sukuma gang?
Hii tamthilia yenu ya kusadikika hamjasoma jinsi Dotto James mpwa wa shetani wa Chato alivyofanikisha wizi hazina? Au mnasoma juu juu tu?