Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Sasa hivi born town na wezi/wauaji wenzake akili zinaanza kuwacheza yaani mambo yanaanza kuhatibuka kimoja baadabya lingine, ukifatikia namna late CEO anavyoshambuliwa utaona namna Gani watu wanavyojihami.

Nilishaapa Mimi wale wote waliohusika Kwa namna moja au nyingine kumzimisha shujaa watakufa kifo kibaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajazamishwa mtu...hii hadithi tu.
 
Ulikuwa kwa manufaa yake .na familia yake .kwani uongo
Screenshot_20220419-153434.png

Huyo kyagata ni mbishi wa kutupwa nimempa mfano wa hasara ya Mobutu kuku wa zabanga, sasa mapema hii hasara zinaanzo onekana, acha wa.....
 
huyo hawezi kukujibu ndio walewale waosha vyombo nyumbani kwa Dr mwendazake, kahojiwa tu PhD kamuua kijana wa watu, bado kamvunja Mr culture mguu kabla ya Uchaguzi, Kuna watu Wana roho mbaya bora kuwatanguliza ingawa tutafuata lkn kidogo tunapumua
Acha urongo Mr Culture alivunjwa mguu na Konyagi na hata msaidizi wake alikopotelea yeye ndie anajua,au hujui kuwa Mr Culture nae ni mafia.
 
Huyo zitto alikuwa wapi kipindi jamaa yupo hai..? Mbona hasemi hospitali, masoko, barabara, bwawa la nyerere, flyover na vituo vya mabasi alivyojenga.... Hawa ni wachumia tumbo na madalali wa kimataifa wenye uchu wa madaraka.. Bado ana hasira za kupigwa na kitu kizito kipindi cha uchaguzi, the old ceo anawajua kuwatumia hawa ni chawa tu.. Aongee mtu mwingine sio huyu aliyepitwa na wakati unless kama humjui vizuri..
Na anapoenda kwao Mwandiga anapanda ndege hizo hizo anazomlaumu mwendazake kwa kuzinunua,ugomvi wa Zitto ni kuwa alitarajia angepewa wizara ya nishati pale alipobaki mjengoni peke yake wakati wenzake wote walisusa na akasifiwa sana na mwendazake lakini kila akisubiri uwaziri ndio siku zikawa zinaenda ,huyu Zitto si ndie alisema atataja watu walioficha fedha Uswisi? na alimini kama ubunge ni wake maisha yake yote, Zitto ,Culture,Mbeligiji wote ni wanasiasa wachumia tumbo na walio mfukoni mwa Born town
 

Attachments

Mobutu alikuwa afadhali kuliko magufuri.

Magufuri lilikuwa shetani katika umbo la binadamu.

Limekufa kifo kibaya mzoga wake ukazungushwa uku unanuka maana alikufa na mavi tumboni.
Mimi na wenzangu hatukuamini ilibidi tuukimbilie kwenda kwenye halaiki kuhakikisha ni kweli ameondoka au anaweza kurudi, maana walisema ana kabetri, mpaka wanamfukia mwaka Sasa tunapumua, hongera waliomtanguliza, tutafuata lkn sio kifo kile
 
Na anapoenda kwao Mwandiga anapanda ndege hizo hizo anazomlaumu mwendazake kwa kuzinunua,ugomvi wa Zitto ni kuwa alitarajia angepewa wizara ya nishati pale alipobaki mjengoni peke yake wakati wenzake wote walisusa na akasifiwa sana na mwendazake lakini kila akisubiri uwaziri ndio siku zikawa zinaenda ,huyu Zitto si ndie alisema atataja watu walioficha fedha Uswisi? na alimini kama ubunge ni wake maisha yake yote, Zitto ,Culture,Mbeligiji wote ni wanasiasa wachumia tumbo na walio mfukoni mwa Born town
Sababu kubwa ya Jiwe kutokupendwa na watu wengi pamoja na kusemwa vibaya ni uovu wake enzi za utawala wake
 
Sababu kubwa ya Jiwe kutokupendwa na watu wengi pamoja na kusemwa vibaya ni uovu wake enzi za utawala wake
Watu gani unaowazungumzia wewe.. Mafisadi na wauza unga ndio kundi la unalozungumzia.. Najua mmetumwa mje kuharibu huu uzi na kampeni yenu ya kuzika LEGACY ya JPM... Nakuhakikishia leo kwa Technology ndio inawaumbua na itazidi kuwaumbua.. Kazi alizofanya tumeziona na mabaya yake tunayajua lakini mazuri ni mengi mnoooo... Hivyo atakumbukwa na vizazi kwa vizazi Thanks to YouTube video zake zipo na mzalendo yoyote akiangalia lazima apate moto wa uzalendo moyoni.. Nawaonya viongozi wengine wanaodhani hizi ni zama za Porojo wataishia pabaya Technology itawaanika uchi kwasababu kipindi hiki hata mtu wa kijijini anajua kiongozi wake yupo wapi anafanya nn.. Hata useme nini JPM amshakaa mioyoni mwa watu mbali na mapungufu yake. FOREVER JPM
 
Back
Top Bottom