Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mobutu alikuwa afadhali kuliko magufuri.

Magufuri lilikuwa shetani katika umbo la binadamu.

Limekufa kifo kibaya mzoga wake ukazungushwa uku unanuka maana alikufa na mavi tumboni.
Vyeti feki hasira zao utazijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majipu utayajua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee wa legacy [emoji23]. Tuachane na wafu na tuangaike na waliohai. Wafu wameshamaliza kazi yao waliyotumwa kufanya iwe na Mungu ama shetani.
Watu gani unaowazungumzia wewe.. Mafisadi na wauza unga ndio kundi la unalozungumzia.. Najua mmetumwa mje kuharibu huu uzi na kampeni yenu ya kuzika LEGACY ya JPM... Nakuhakikishia leo kwa Technology ndio inawaumbua na itazidi kuwaumbua.. Kazi alizofanya tumeziona na mabaya yake tunayajua lakini mazuri ni mengi mnoooo... Hivyo atakumbukwa na vizazi kwa vizazi Thanks to YouTube video zake zipo na mzalendo yoyote akiangalia lazima apate moto wa uzalendo moyoni.. Nawaonya viongozi wengine wanaodhani hizi ni zama za Porojo wataishia pabaya Technology itawaanika uchi kwasababu kipindi hiki hata mtu wa kijijini anajua kiongozi wake yupo wapi anafanya nn.. Hata useme nini JPM amshakaa mioyoni mwa watu mbali na mapungufu yake. FOREVER JPM
 
Sababu kubwa ya Jiwe kutokupendwa na watu wengi pamoja na kusemwa vibaya ni uovu wake enzi za utawala wake

Acha kutengeneza story dogo, kukoswa kwako ajira usimlaumu chuma, wenzanko wakati wanakamua wewe uko Insta Na Group adm sasa unakula matunda. By the way hii [emoji477]️ tu kutoka kwa yoga usipanick haina uhalisia mzee, just enjoy the tea
 
Mimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
USA ameua wangapi in Arabs countries
 
Vyeti feki hasira zao utazijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majipu utayajua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
late CEO hakua na Cheti fake PHD kailstia wapi mpaka anaua wenzake,
Chinga na wafanya biashara Kariakoo wanaingiza kutwa kuliko wanaotamba na vyeti
ss wengine hatutaki ajira na hatujaajiriwa tumejiajiri ndio maana hatusimamiwi kuingia na bundle, utumwa mpaka mwisho wa mwezi.
CEO Hangaya katumbua jipu ilikuwa vigumu kufanya kazi na mwenye faili Mirembe
mtasema kadanganya
Je na Chama kipya Cha Mwendazake hakipo?
Screenshot_20220421-120503.jpg
 
Nyie hii dunia muione hivi. Nikiwaza kuna wakati nawaza mengi maana mimi nasoma sana riwaya.

Nasisitiza hii ni riwaya. Nilivyosoma ile riwaya na mimi nikajikuta navaa uhusika yaani kama vile naota ndoto.yaani nilikuwa naota kupitia kwenye ile riwaya

Kwamba wakati late CEO wakati anausaka u CEO mr new culture aliona customers wale vijana wake ambao wako chini yake wale wapiga kelele wanaojita mabrigedia bila elimu,aliona hawamfai.

Akaamua kutengeneza team ya mutu kama 90 hivi, iliitwa team " wherever you're we are there".
Kazi yake ilikuwa ni moja. Kushika stil waya na kusugua masufuri yatakate haswa!! hii yote ni kimsafisha mr bright. kumbuka kwenye hiyo ndoto na mimi nilikuwa kwenye hiyo team.

So hiyo team ya wenye elimu ya kuweza kueleza uwezo na uzuri wa mr bright ilibidi itembee mguu kwa mgu, nyumba kwa nyumba.

Maskini kwakuwa na mimi nina ka elimu basi nikifika kwenye kaya hapo nimeambatana na vijana kama watano hivi wale wapiga kelele wasiokuwa na elimu, basi mimi ndo naananza kujieleza.

Kwenye kujieleza lazima uwe umesoma vizuri ile ripot ya mr bright kuachia ngazi. Kwa kifupi sisi wenye ka elimu ile ripoti tuliimeza so ukifika kwenye kaya ambako kuna wasomi walikkuwa wakituhoji, ilikuwaje mr new culture akampokea mr bright?
Basi nashusha nondooooo, na vipeperushi kibao tunahamia nyumba nyingine. Jamani kumbukeni hapa nilikuwa naota.

Basi wakuu tulizunguka hii branch yenye matawi zaidi ya 2o mguu kwa mguu nyumba kwa nyuma hii yote ni kusugua na stil waya kutu za mr bright.

Kinachoniuma ilikuwaje na mimi nikajikuta kwenye hiyo team ta kusugua kutu? Wakuu nikiwaza sasa hivi najikuta nacheka, hivi huyu mr new culture anatuonaje sisi mpaka atutumie kama dodoki? Nasikitika sana kwa nini sikujua huu upuuzi

Nakumbuka kwenye ile ndoto tulikuwa na wimbo ketu,......... mr bright, mr bright , ana ka mtima keupe, ana ka ngozi ka mtume, na kichwani kwake kuna mchele mweupe, tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lazima alale kwenye hekaru nyeupe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamami jamani nyie hawa wapuuzi walijuwa kutuchezea.

Lakini kitu nilichojifunza kwenye ile ripot ya kuachia ngazi kabisa mr bright hakuwa na hatia so wakati tunamsugua na stil waya huko kwenye matawi tulikuwa sahihi.

Kilichoniuma ni mimi kujikuta chini ya mpuuzi mmoja mr culture .lakini hata hivyo kwenda kule kulinisaidia kujua upuuzi wanaoufanya akina, kijana msema sana na mr new culture.

Kingine nilichoona kwenye ile ndoto, kijana msema sana, aliyekuwa kapoteza daftari lake hivi karibuni, hakupenda mr new culture ampokee mr bright kwa wakati ule. Alikubali shingo upande. Mambo yaliisha aliye pata u CEO akapata maisha yakaendelea.

Lakini baada ya mwaka moja kijana msema sana akanasa kwa mr born in town. Je wewe ungekuwa late CEO mzalendo unaona wateja wa kampuni wakichezewa na mr born in town, mr new culture, na kijana msema sana je ungekaa kimya?

Kwakweli hata mimi ningemfundisha adabu.kwa kufatia rules za uongozi zilivyo ngumu. Baada ya kuota haya yote nikastuka usingizini.
Yes , I guess who your.
 
Jamani mnataja watu mie sijawataja [emoji16][emoji16][emoji16] please hii ni story tuuu wapendwa [emoji41][emoji16][emoji23][emoji28]
Watu wanajifanya wanaintelijensia sana humu. Yaan wanajikuta wadadavuaaaji[emoji16][emoji16].

Hii nchi bana[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom