Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Japo born town ana mishe mishe nyingi

Ila dijawahi natamani afe kizembe.

Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.

born town ana utu kidogo.

Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.

Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.

nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Kumbe kisa ulipata ajira wakat wake ndo ufurahie? Mie staki hayo ya ajira wala nn nae asepeshwe.
 
Jazia nyama mkuu kwahuyo kamanda aliyestaafu na baadhi ya op huko porini

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Vitu vingine naogopa kuongea sana nisije nikavuka mstari mwekundu maana dah ulimi uliponza kichwa.

Kuna kamanda amestaafu anaitwa sabuni Toffy ile ya kufulia nguo ,hiyo hiyo mkuu [emoji846]

Huko bwana kuna kipindi kulikuwa na ujambazi sana magari kutekwa tekwa hovyo, askari wananyang'anywa hadi bunduki halafu zinatumika kutupiga sisi wenyewe.

Ukifuatilia unakuta ni watu wanavuka mipaka wanaingia kutoka nje na wanafanya yao,yaani hiyo njia kama mnaianza kuna kibao kinasema "sasa unaanza kuingia pori la..."Kama mlikuwa mnapiga story kila mmoja kimyaaaaa, unawaza sijui nitamaliza salama?

Roho mkononi mwenye kuomba anaanza, tasibihi mkononi, Rozary, wa njia ya msalaba ilimradi kila mmoja anamlilia muumba wake.

Walivyozidi ikabidi wampeleke huyo Kamanda kufanya utalii kwenye mapori yote, yeye mwanzo hakuwa anaenda front anawatuma tu vijana wake.Wakienda na kurudi hawaji na majibu ya uhakika sana maana baada ya muda unasikia tena wapuuzi wameanza tena.(wameteka) na kuua.

Akaona huu ujinga, akaita vijana wake kadhaa akasema kuanzia sasa mimi sikai ofsini tunaenda wote, vijana wanashangaa boss uko serious? Akawaambia twendeni na msiseme tunaenda wapi.

Kabla hawajafika zikaanza kulia,nao wakajibu ila upande wa maharamia ukaonekan una nguvu zaidi. Akaita Landrover kwa simu ya upepo kutoka makao makuu ya mkoa, ikaja iko loaded.

Mkuu tumefika, akawaambia nipishe niwaonyeshe, yeye mwenyewe akapanda juu weeeh, unaambiwa hadi kuku walikuta ni manyoya tu. Salamu zikapelekwa kwa wengine kwamba tulichofanyiwa si kwa akili hizi za hawa jirani zetu tulivyodhani wako, sivyo kumbe, adabu.

Akaendelea kuwajengea uwezo hadi sasa ukisikia ni kwamba aidha wamekufa wakijaribu au walikimbia kuko shwari. Kumbuka huyu alipelekwa huko na born town. Sasa hapa mtu atasemaje jeshi la Polisi ni dhaifu, hatuyajui mengi wanayoyafanya.

Jamani makamanda nimeamua kuongelea mazuri yenu ambayo wananchi hawayajui ndio maana wakati mwingine wanaleta dharau, ila kama mtaona naenda kinyume tafadhali niambieni nifunge kinywa changu.

Nimeongea kwa kifupi sana hilo tukio maana nilisimuliwa ila ni la kweli siku hizi kuko shwari, so Mr born town hawaachi kumlaum na kumlaani kule aliweka intelijensia kali ambayo ilitibua mambo yao mengi.

Utasikia Chi...mbaya sana,hovyo sana, wengi hawawezi kutamka herufi ya jina lake la kwanza.
 
Vitu vingine naogopa kuongea sana nisije nikavuka mstari mwekundu maana dah ulimi uliponza kichwa.

Kuna kamanda amestaafu anaitwa sabuni Toffy ile ya kufulia nguo ,hiyo hiyo mkuu [emoji846]

Huko bwana kuna kipindi kulikuwa na ujambazi sana magari kutekwa tekwa hovyo, askari wananyang'anywa hadi bunduki halafu zinatumika kutupiga sisi wenyewe.

Ukifuatilia unakuta ni watu wanavuka mipaka wanaingia kutoka nje na wanafanya yao,yaani hiyo njia kama mnaianza kuna kibao kinasema "sasa unaanza kuingia pori la..."Kama mlikuwa mnapiga story kila mmoja kimyaaaaa, unawaza sijui nitamaliza salama?

Roho mkononi mwenye kuomba anaanza, tasibihi mkononi, Rozary, wa njia ya msalaba ilimradi kila mmoja anamlilia muumba wake.

Walivyozidi ikabidi wampeleke huyo Kamanda kufanya utalii kwenye mapori yote, yeye mwanzo hakuwa anaenda front anawatuma tu vijana wake.Wakienda na kurudi hawaji na majibu ya uhakika sana maana baada ya muda unasikia tena wapuuzi wameanza tena.(wameteka) na kuua.

Akaona huu ujinga, akaita vijana wake kadhaa akasema kuanzia sasa mimi sikai ofsini tunaenda wote, vijana wanashangaa boss uko serious? Akawaambia twendeni na msiseme tunaenda wapi.

Kabla hawajafika zikaanza kulia,nao wakajibu ila upande wa maharamia ukaonekan una nguvu zaidi. Akaita Landrover kwa simu ya upepo kutoka makao makuu ya mkoa, ikaja iko loaded.

Mkuu tumefika, akawaambia nipishe niwaonyeshe, yeye mwenyewe akapanda juu weeeh, unaambiwa hadi kuku walikuta ni manyoya tu. Salamu zikapelekwa kwa wengine kwamba tulichofanyiwa si kwa akili hizi za hawa jirani zetu tulivyodhani wako, sivyo kumbe, adabu.

Akaendelea kuwajengea uwezo hadi sasa ukisikia ni kwamba aidha wamekufa wakijaribu au walikimbia kuko shwari. Kumbuka huyu alipelekwa huko na born town. Sasa hapa mtu atasemaje jeshi la Polisi ni dhaifu, hatuyajui mengi wanayoyafanya.

Jamani makamanda nimeamua kuongelea mazuri yenu ambayo wananchi hawayajui ndio maana wakati mwingine wanaleta dharau, ila kama mtaona naenda kinyume tafadhali niambieni nifunge kinywa changu.

Nimeongea kwa kifupi sana hilo tukio maana nilisimuliwa ila ni la kweli siku hizi kuko shwari, so Mr born town hawaachi kumlaum na kumlaani kule aliweka intelijensia kali ambayo ilitibua mambo yao mengi.

Utasikia Chi...mbaya sana,hovyo sana, wengi hawawezi kutamka herufi ya jina lake la kwanza.
We jamaa bana! Anyway [emoji1][emoji1]
 
Mkuu

Unamaanisha kuwa kuna vitu tunafichwa Sio!!!?

Mi niloshtuka nilipoona hakuna mwendelezo wa episode inapoisha bali inarukiwa nyingine nikajua mwandishi akataka tujue upande tu wa kile alichokusudia!!!
Inaonesha lengo la riwaya hii sio Born Town elimination.
Mzee na Yoga wanatuvuta kuonyesha lengo ni kumzima borntown lakini stori inavoendelea unaona kabisa anaetafutwa hapa ni Paka inaonyesha kwa ground kuna mambo yanafukuta maana mwendazake alikua brainwashed sana na jamaa so wanaclear messy na pia wanataka kumtumia ujumbe we are watching you very close ..
 
Inaonesha lengo la riwaya hii sio Born Town elimination.
Mzee na Yoga wanatuvuta kuonyesha lengo ni kumzima borntown lakini stori inavoendelea unaona kabisa anaetafutwa hapa ni Paka inaonyesha kwa ground kuna mambo yanafukuta maana mwendazake alikua brainwashed sana na jamaa so wanaclear messy na pia wanataka kumtumia ujumbe we are watching you very close ..
Hili nalo neno mkuu. Yaani kuhusu kumtumia ujumbe safi sana.
 
Vitu vingine naogopa kuongea sana nisije nikavuka mstari mwekundu maana dah ulimi uliponza kichwa.

Kuna kamanda amestaafu anaitwa sabuni Toffy ile ya kufulia nguo ,hiyo hiyo mkuu [emoji846]

Huko bwana kuna kipindi kulikuwa na ujambazi sana magari kutekwa tekwa hovyo, askari wananyang'anywa hadi bunduki halafu zinatumika kutupiga sisi wenyewe.

Ukifuatilia unakuta ni watu wanavuka mipaka wanaingia kutoka nje na wanafanya yao,yaani hiyo njia kama mnaianza kuna kibao kinasema "sasa unaanza kuingia pori la..."Kama mlikuwa mnapiga story kila mmoja kimyaaaaa, unawaza sijui nitamaliza salama?

Roho mkononi mwenye kuomba anaanza, tasibihi mkononi, Rozary, wa njia ya msalaba ilimradi kila mmoja anamlilia muumba wake.

Walivyozidi ikabidi wampeleke huyo Kamanda kufanya utalii kwenye mapori yote, yeye mwanzo hakuwa anaenda front anawatuma tu vijana wake.Wakienda na kurudi hawaji na majibu ya uhakika sana maana baada ya muda unasikia tena wapuuzi wameanza tena.(wameteka) na kuua.

Akaona huu ujinga, akaita vijana wake kadhaa akasema kuanzia sasa mimi sikai ofsini tunaenda wote, vijana wanashangaa boss uko serious? Akawaambia twendeni na msiseme tunaenda wapi.

Kabla hawajafika zikaanza kulia,nao wakajibu ila upande wa maharamia ukaonekan una nguvu zaidi. Akaita Landrover kwa simu ya upepo kutoka makao makuu ya mkoa, ikaja iko loaded.

Mkuu tumefika, akawaambia nipishe niwaonyeshe, yeye mwenyewe akapanda juu weeeh, unaambiwa hadi kuku walikuta ni manyoya tu. Salamu zikapelekwa kwa wengine kwamba tulichofanyiwa si kwa akili hizi za hawa jirani zetu tulivyodhani wako, sivyo kumbe, adabu.

Akaendelea kuwajengea uwezo hadi sasa ukisikia ni kwamba aidha wamekufa wakijaribu au walikimbia kuko shwari. Kumbuka huyu alipelekwa huko na born town. Sasa hapa mtu atasemaje jeshi la Polisi ni dhaifu, hatuyajui mengi wanayoyafanya.

Jamani makamanda nimeamua kuongelea mazuri yenu ambayo wananchi hawayajui ndio maana wakati mwingine wanaleta dharau, ila kama mtaona naenda kinyume tafadhali niambieni nifunge kinywa changu.

Nimeongea kwa kifupi sana hilo tukio maana nilisimuliwa ila ni la kweli siku hizi kuko shwari, so Mr born town hawaachi kumlaum na kumlaani kule aliweka intelijensia kali ambayo ilitibua mambo yao mengi.

Utasikia Chi...mbaya sana,hovyo sana, wengi hawawezi kutamka herufi ya jina lake la kwanza.
Mara ya mwisho

Alikuwa PATANA


Mtu mmoja poa sana

Nilimfahamu

Akiwa msela

Kaya moja

Kati ya tatu

Huko kaskazini
 
Mara ya mwisho

Alikuwa PATANA


Mtu mmoja poa sana

Nilimfahamu

Akiwa msela

Kaya moja

Kati ya tatu

Huko kaskazini
Ahsante sana mkuu siko peke yangu maana watu wanaweza kudhani ninatunga story. Huyu mzee serikali imlinde sana alifanya mambo makubwa mno. Wapo pia mashujaa wengine wasitupwe au kusahaulika wana mambo mengi mazuri nyuma ya pazia.
 
Imani imeshuka sana kwa raia kwa vyombo vyetu vya dola hasa polisi mpaka inatia hasira kwasababu kuna ujinga ulikuwa unafanyika mpaka mtu wa kawaida unajiuliza ina maana hawayaoni haya kweli?

Viongozi wetu ndio wakulaumiwa, vijana wetu wako vizuri lakini wanaamriwa kufanya utekelezaji tu japo hata wao roho inawauma
Ni kweli lakini wale Top wao wakiamua kukataa ujinga wa wanasiasa yataisha haya. Sema na wao wanayapenda hayp hayo
 
Nchi hii ipo na inaenda kuwa njema sana sana...Natamani kama macho ya wasioona yangefunguliwa kama ya mtumishi wa Eliya, wangepiga vigelegele vya shangwe...Glory be to the highest!

Mimi yangu si story kama ya bibie, yangu ni kauli ya kifalme ambayo inaishi bila kupingwa...
Glory to the Most High God. Amen Ameni . Mtumishi Ame umeongea neno lenye mamlaka ndani yake. Nasi wana wa kampuni tunapenda nchi yeny utawala bora, haki, umoja na mshikamano na maendeleo itakuwa kama kumsukuma mlevi tu.

Amen Ameni mimi naamini maneno yako. Usiku mwema mtumishi
 
Kwa kweli viongozi wetu wabadilike sana,waache tamaa, wazuie wizi, ufisadi, uzembe na rushwa. Bado ninaamini tuna jeshi zuri na imara kabisa, kama tukirekebisha hizi kasoro ndogo ndogo tutakuwa Taifa lenye kutamaniwa na wengi kuja kuishi ndani yake
Kidogo umeanza kunitia moyo. Asante
 
Ni kweli lakini wale Top wao wakiamua kukataa ujinga wa wanasiasa yataisha haya. Sema na wao wanayapenda hayp hayo
Yaani yanaisha muda huo huo na wanawapa moyo wale wa chini kupiga kazi haswaaa, sema siasa wanasiasa wanafanya kudivide na ku rule ,akiahidiwa cheo au zawadi anaweka weledi pembeni.

Ila kiongozi wao akiamua kuwaunganish wote wawe kitu kimoja na asiwaingilie maamuzi yao ya busara na ujuzi walio nao ni taasisi nzuri sana.

Ninaamini kuna siku mabadiliko yatatokea tu kwa maana sasa hivi wanasema wanataka kuyafanya majeshi yote yawe ya kisasa zaidi, waweke watu wenye uzalendo na wito.

Nashauri serikali ifanye vetting kwenye jeshi la Polisi wanaoingia, wafuatilie historia zao,screening iwe kubwa wasio na uwezo wasipewe nafasi zenye vitengo nyeti unakuta hawa ndio wavujisha siri za raia na kuleta ugomvi mtaani.
 
Back
Top Bottom