miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Pesa sijui kwakweli sikufatilia as wote sikua na interest nao kwa kweliKwenye Nini alimzid kete? Bei gani?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa sijui kwakweli sikufatilia as wote sikua na interest nao kwa kweliKwenye Nini alimzid kete? Bei gani?
Kuna wale waliokua katika idara nyeti tena wakubwa mnoUnamuonea bure late CEO, hawa watu kutoka kwa PAKA wapo miaka mingi hapa nchini tokea enzi za uhuru, na wengi wao walikuwa majeshini,serikalini ,vyuoni na hata huyo `born town anawajua sana na hata kwenye utawala wake walikuwepo, na mmoja wapo alikuwa msemaji wa jengo jeupe karibu na soko la samaki enzi za Born town, na hadi sasa tunao ndio hawa wanajifanya wataka katiba ,hawa walikuwa wanamiliki magazeti na hadi sasa wana gazeti lao la kufungia utumbo, huyu amewahi kuwa mtu mzito na kuwa meneja kampeni wa marehemu mzee Ole wa Lupaso Koplo Dunia. Born town ndiyo aliyoyataka baada ya kuwaondoa wenzake ili abaki yeye kama Don. Marehemu Ole aliawanyamazisha akina Koplo Dunia sasa wameanza tena kubweka, mtu hasahau kwao hata kama hajazaliwa kwao.
Born town ni mhuni tu kaondoka mwanzilishi wa kampuni, na kampuni haijateteleka, kampuni itakuwepo tu kwani umauti upo palepale.Again... naona ukanda na uchuki umetawala..
Mr. Born town is smart. Na atashinda na nameombea ashinde. Sijui imekuaje hawa warwandese wameachwa hivi mpaka kwenye kampuni. I hate PAKA with passion. Uzuri mr. Born town anamjua kimbwa mbwa. Najua born town atawanyooshaaa. Kitu ambacho hamhakifikiria ni, born town leo hii akasepeshwa mmewaza ya Congo? Huyu paka anataka kututawala huu ukanda wote? Haiwezekani. Born town dont let us down. Kama hii code ni ya kweli wanyooshee. Na huyu bi kidude anaingia vipi kwenye vita na born town? Amemkosea nini? Mbona hata yeye hayuko salama? Shenzi kabisa. Anafikiria akimmaliza born town ndo atakua salama kwa huyo pakarapa? Ila jiwe alaaniwe sana boya yule. Aliruhusu huyu fala akawa na access zote mjini. Tz tumepatikaba
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ninadhani kuna wakati tunajisahau kama Taifa badala ya kudeal na vitu vya msingi tunajikita kujadili siasa na upinzani tu, sasa watu wanapata loopholes na kujipenyeza kimya kimya.Kuna wale waliokua katika idara nyeti tena wakubwa mno
Walipopata fununu wanafatiliwa waliamsha faster. Kitu kinanishangazaga , kwanini mipaka yetu iko wazi hivi? Kwann nchi yetu imekua jalala hv? Walinzi wa mipaka wako wapi?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hili nalo neno mkuu. Umeongea kweli kbs. But natural death will serve him better. Hapa its not about him, ni huyo paka[emoji23]Born town ni mhuni tu kaondoka mwanzilishi wa kampuni, na kampuni haijateteleka, kampuni itakuwepo tu kwani umauti upo palepale.
Kwamfano, hawa ambao wameshalowea inakuaje? Maana ndo mashushushu wenyewe hawa. Naamini kila mtu ni mlinzi wa hili taifa.Ninadhani kuna wakati tunajisahau kama Taifa badala ya kudeal na vitu vya msingi tunajikita kujadili siasa na upinzani tu, sasa watu wanapata loopholes na kujipenyeza kimya kimya.
Kunatakiwa kuwe na operation endelevu, kuwatafuta na kuwabaini. Kiongozi mkuu wa nchi kwenye masuala ya Ulinzi na Usalama awe anatega sikio kwa umakini kuwasikiliza makamanda wake ushauri anaopewa, asiwaingilie kuzima operation zao au mipango yao ya muda mrefu na muda mfupi.
Hawa ndio wataalam wanajua nini kiko namna gani, kipo wapi na kwa ajili gani.
Hakuna maana ya kutoana maisha...Kama kweli wazalendo wawapeleke lupango tu itatoa fundisho mpaka vizazi vyao vya mbali...Show aliyopiga hayati kwenye vyeti fake ikipigwa kwa wahujumu uchumi pia hakuna atakayerudia mambo ya hovyo tena hata kutamani...Ndiyo sababu nime mind sana hawa wanaojiita wazalendo huku wakiacha vizazi vya viwavi vikiendelea kula mema ya nchiHivi jamani hili jambo titalisort vipi. Mbaya zaidi hii mizizi ccm waliyoikita daah
Upinzani nao ndo nkaa tia maji tia maji. Huu uzalendo wa kweli utaoatikana wapi jamani? Kuendelea kuua sindo tutazidi kichochea visasi? Maana kila kundi lina watu wao. Sindo matabaka yanazidi?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hawa walikuja toka enzi za mchonga, matatizo kwao yapo miaka mingi hata kabla ya Mr Slimboy kushika usukani,yaani hawa watu kwa asili ni wagomvi hapa nchini wapo wengi wanajiita Watz kutoka Ngara,na wana nyadhifa kubwa na nyeti ila wote wana kitu kimoja ni kama Waisrael hawasahau kwao!Mkuu, hii code ya koplo dunia imenifanya nicheke. Nilirudia twice ndio nikaelewa vizuri.
Hawa kutoka kwa paka walikuja zama za machafuko ya kimbari sio?
😅😅😅sawaLate ceo nafasi ya kuwa CEO Bora kuliko wote hakuwa nayo sababu ya uwezo wake mdogo, nilichoona watu walikua na matarajio makubwa tu, ni Kama Sasa watu walivyo na matarajio makubwa kwa current ceo ikiwa uhalisia wanaujua au wameamua.
Born town anaonekana bora? Angalia vizuri anaonekana kwa akina nani bora, ni Kama wanaoona late ceo alikua bora.
Walio kwenye circle yake watamuona alikua bora, hivyohivyo kwa waliokua kwenye circle yaa late ceo.
Hawa washabiki wengine wala hawana nguvu, wao hutegemea tu upepo unavuma wapi kulingana na hao walio kwenye circle wanasemaje.
hahahaha,unasema?Kuna wale waliokua katika idara nyeti tena wakubwa mno
Walipopata fununu wanafatiliwa waliamsha faster. Kitu kinanishangazaga , kwanini mipaka yetu iko wazi hivi? Kwann nchi yetu imekua jalala hv? Walinzi wa mipaka wako wapi?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
ina maana mtu kutoka ngara sio mtanzania? Hastahili kuwa kiongozi.au kuwa serikalini?Hawa walikuja toka enzi za mchonga, matatizo kwao yapo miaka mingi hata kabla ya Mr Slimboy kushika usukani,yaani hawa watu kwa asili ni wagomvi hapa nchini wapo wengi wanajiita Watz kutoka Ngara,na wana nyadhifa kubwa na nyeti ila wote wana kitu kimoja ni kama Waisrael hawasahau kwao!
Angalia vizuri kuna utifauti mkubwa yoga wa mwanzo na wa sasa hata ladha inapungua[emoji56] aseeee kwa hyo unataka kusema kuna uwezekano yoga og aliwekwa mtu kati na wazee wa kazi wameishikilia account yake ya jf na kuiendesha.
Hujamuelewa, soma tena comment vizuri.ina maana mtu kutoka ngara sio mtanzania? Hastahili kuwa kiongozi.au kuwa serikalini?
Kabisa,sote tuwe macho tusikubali kuchezewa wala kufanyiwa mzaha na yeyote yule kwenye kampuni yetu.Kwamfano, hawa ambao wameshalowea inakuaje? Maana ndo mashushushu wenyewe hawa. Naamini kila mtu ni mlinzi wa hili taifa.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
nielewesheHujamuelewa, soma tena comment vizuri.
"Wanajiita watanzania kutoka Ngara" akimaanisha sio watanzania ila ni kutoka kwa Mr.CATnieleweshe
Hv huyu koplo dunia jna lake limekaa kiswahili sana kumbe naye anaasili ya kuleMkuu, hii code ya koplo dunia imenifanya nicheke. Nilirudia twice ndio nikaelewa vizuri.
Hawa kutoka kwa paka walikuja zama za machafuko ya kimbari sio?
Mbona kama hujamuelewa jamaaina maana mtu kutoka ngara sio mtanzania? Hastahili kuwa kiongozi.au kuwa serikalini?