Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwamba
Mzee,Bt na current CEO wote waondolewe kwenye kampuni sio!!?

Ndipo FDR aje aibuke hapo Baadae (uzi wa Tumia akili)

Kitabu kikamilike cha Mzee WETU warioba sio!!

Kumbe Bt akienda kuzuia mr jaluo asiwe sio!!?
Sawa
Am sorry the originals and kudos !Good work!

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA mpya"!
hahahaha naona unaunga dots
 
sasa dip state inawezaje kuwa dip state kwa kusambaratishwa na mtu mmoja BT.
kuisambaratisha dip state maana yake nawewe ni zaidi ya dip state.
Iliundwa dipusteti ndani ya dipusteti kisha hiyo mpya ikameza ya zamani na hiyo ya zamani ndo inafurukuta kurudi kazini je itaweza? Kila mjanja na mjanja wake
 
Hahaaaa nakubali mkuu, mzee wa hamia Burundi atakuwa ndo yy
Miongoni mwa jamaa ambao watakuwa multi millionaires akistaafu ni jamaa. Ila Tanzania raha sana yani ukiwa kwenye nafasi tu kama hio lazima uwe Don ukishindwa we mzembe.

Unakwarua billions unaenda kuziweka uswizi. Ukicheki mke utakuta ni mama wa nyumbani tu ila anamiliki Yutong za kutosha 😂😂😂!!! Acha watu waroge tu hamna njia rahisi ya kuwa tajiri bongo kama kupita kwenye siasa.
 
Miongoni mwa jamaa ambao watakuwa multi millionaires akistaafu ni jamaa. Ila Tanzania raha sana yani ukiwa kwenye nafasi tu kama hio lazima uwe Don ukishindwa we mzembe.

Unakwarua billions unaenda kuziweka uswizi. Ukicheki mke utakuta ni mama wa nyumbani tu ila anamiliki Yutong za kutosha 😂😂😂!!! Acha watu waroge tu hamna njia rahisi ya kuwa tajiri bongo kama kupita kwenye siasa.
Una uhakika ndumba zinaweza saidia mtu kutoboa?
 
Iliundwa dipusteti ndani ya dipusteti kisha hiyo mpya ikameza ya zamani na hiyo ya zamani ndo inafurukuta kurudi kazini je itaweza? Kila mjanja na mjanja wake

if somebody can overthrow the dip state and take the charge, what do you think of him. Is the dip state weak to be overthrown? never happen in the world brother.

Unawezaje kucounter back kwa mtu ambaye ni mmiliki wa dip state with all the facilities and networks na nchi ikabaki salama?
 
The boy from Singida ~ christian.
The boy from Tanga ~ Muslim.
There is house rules, but they are all in coin sides.

They are all grown up and mentored by him.
They are heads of all big sources of money for the nation economy, incase of any shakes of the two sources will justify the collpase.
 
Iliundwa dipusteti ndani ya dipusteti kisha hiyo mpya ikameza ya zamani na hiyo ya zamani ndo inafurukuta kurudi kazini je itaweza? Kila mjanja na mjanja wake
Ndomana members walianza DHARAU d.ste maana walikuwa wanajijenga wao Si Nchi.

KAZI alikuwa akifanya uncle ilikuwa ni Kwa maslah ya members, watu wanatukana tu bila kujua.

Ile dst ya Mchonga inarudi na kitabu kitasaidia kampuni kupaa tena.

Kitabu kipya before 2028!!! Aliye juu amewafunulia Walio wake kitabu kuja 2026!!!!

Raha sana kuwa agent wa Mbinguni.

Ameeeeen.
 
if somebody can overthrow the dip state and take the charge, what do you think of him. Is the dip state weak to be overthrown? never happen in the world brother.

Unawezaje kucounter back kwa mtu ambaye ni mmiliki wa dip state with all the facilities and networks na nchi ikabaki salama?
According to Yoga he was one of them and diveded them, weakened them and created 'new' using some of them, understand?
 
Ndomana members walianza DHARAU d.ste maana walikuwa wanajijenga wao Si Nchi.

KAZI alikuwa akifanya uncle ilikuwa ni Kwa maslah ya members, watu wanatukana tu bila kujua.

Ile dst ya Mchonga inarudi na kitabu kitasaidia kampuni kupaa tena.

Kitabu kipya before 2028!!! Aliye juu amewafunulia Walio wake kitabu kuja 2026!!!!

Raha sana kuwa agent wa Mbinguni.

Ameeeeen.
Hahahhaaaaa usisahau kazi ya mchwa ni kula, acha wale asali kwa sasa
 
Ndomana members walianza DHARAU d.ste maana walikuwa wanajijenga wao Si Nchi.

KAZI alikuwa akifanya uncle ilikuwa ni Kwa maslah ya members, watu wanatukana tu bila kujua.

Ile dst ya Mchonga inarudi na kitabu kitasaidia kampuni kupaa tena.

Kitabu kipya before 2028!!! Aliye juu amewafunulia Walio wake kitabu kuja 2026!!!!

Raha sana kuwa agent wa Mbinguni.

Ameeeeen.

Dip state ipi inaundwa na masikini?

Mwanadamu amepewa mamlaka ya kuitawala dunia na kutengeneza mifumo yake ili watu waishi kwa amani na utaratibu.

Moja ya mifumo inayofanya watu wawe salama ni dark management aka leading from the dark for checks and balance...
 
Back
Top Bottom