Ndomana members walianza DHARAU d.ste maana walikuwa wanajijenga wao Si Nchi.
KAZI alikuwa akifanya uncle ilikuwa ni Kwa maslah ya members, watu wanatukana tu bila kujua.
Ile dst ya Mchonga inarudi na kitabu kitasaidia kampuni kupaa tena.
Kitabu kipya before 2028!!! Aliye juu amewafunulia Walio wake kitabu kuja 2026!!!!
Raha sana kuwa agent wa Mbinguni.
Ameeeeen.
Dip state ipi inaundwa na masikini?
Mwanadamu amepewa mamlaka ya kuitawala dunia na kutengeneza mifumo yake ili watu waishi kwa amani na utaratibu.
Moja ya mifumo inayofanya watu wawe salama ni dark management aka leading from the dark for checks and balance...