Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hii dpst (the originals), wanafikisha sana. Walikua wapi wakat bt anaunda dpst ndan ya dpst? Je walijua na wakamuacha makusudi wakijua namna watamdhibiti?

Bt kuna mtu ameonesha kushirikiana nao na kushangaa kwa nini kageuka mzee hadi wewe.? Imekuaje ukawa na hawa Cowards.?
 
Hii dpst (the originals), wanafikisha sana. Walikua wapi wakat bt anaunda dpst ndan ya dpst? Je walijua na wakamuacha makusudi wakijua namna watamdhibiti?

Bt kuna mtu ameonesha kushirikiana nao na kushangaa kwa nini kageuka mzee hadi wewe.? Imekuaje ukawa na hawa Cowards.?
Mkuu ulimwelewa Yoga? BT alikuwa mwenzao...akawatenganisha baada ya madaraka..akawadhoofisha...akawachukua baadhi yao kuanzisha kundi lingine..kumbuka hapo ana power kwenye kila kitu...yani kwa kifupi hawamuwezi..wamuache tuu..
 
is that a dip state or you are talking about vibwengo organization.
Inafikirisha sana. Hao the originals dipst inawezekanaje ipelekeshwe na mtu mmoja mpaka kufikia kiwango cha kuanzisha dipst nyingine kupitia hao hao dipst.

Dipst kupelekeshwa na mtu mmoja, they were too week and probably they are.

Ngoja tuone kwenye hili madj watatupigia midundo gani.
 
Mkuu ulimwelewa Yoga? BT alikuwa mwenzao...akawatenganisha baada ya madaraka..akawadhoofisha...akawachukua baadhi yao kuanzisha kundi lingine..kumbuka hapo ana power kwenye kila kitu...yani kwa kifupi hawamuwezi..wamuache tuu..
Nimemuelewa sana mkuu. Hawa originals ndio walimwalika bt wao wakamweka kikao aachane na harakat za kuutaka u ceo middle of 90s. Ishu inakuja how comes awachezee kirahisi hvyo? Wakat hyo ni dpst. Dipst sio kirahis kama tujuavyo kupindua pindua tu mambo hata kama ni mwenzao watakuondoa fasta.
Cha kuzingatia ni kwa nini, na kwa vipi inayoitwa dipst "the originals" wavurugwe na mtu mmoja kiasi cha kuanzisha dipst yake ndan ya dipst? Was that a powerful dipst, au jina tu?
 
Miongoni mwa jamaa ambao watakuwa multi millionaires akistaafu ni jamaa. Ila Tanzania raha sana yani ukiwa kwenye nafasi tu kama hio lazima uwe Don ukishindwa we mzembe.

Unakwarua billions unaenda kuziweka uswizi. Ukicheki mke utakuta ni mama wa nyumbani tu ila anamiliki Yutong za kutosha 😂😂😂!!! Acha watu waroge tu hamna njia rahisi ya kuwa tajiri bongo kama kupita kwenye siasa.
Sema suuu....Si kila pori ni salama, kuna watu mbele yao ni giza na utelezi...Well, time is a good friend
 
if somebody can overthrow the dip state and take the charge, what do you think of him. Is the dip state weak to be overthrown? never happen in the world brother.

Unawezaje kucounter back kwa mtu ambaye ni mmiliki wa dip state with all the facilities and networks na nchi ikabaki salama?
Never say never...There are people and kings...A kings word is a decree...Hakuna mtu atavunja maneno ya kifalme, this time arround unabii unaenda kukamilika..."Niliona ndege yao ikiungua angani"
 
All done have got hands in dark.
He was the son and part of them, they like him and he take care of them.
The good thing of him, dont have school head but he has natural street brains and he can properly operate in-dark plans.
Mwanga haujawahi shindwa kuimulika giza...Tell them the power hand is changed!
 
The boy from Singida ~ christian.
The boy from Tanga ~ Muslim.
There is house rules, but they are all in coin sides.

They are all grown up and mentored by him.
They are heads of all big sources of money for the nation economy, incase of any shakes of the two sources will justify the collpase.
Utajua hujui...give it time sir!
 
Never say never...There are people and kings...A kings word is a decree...Hakuna mtu atavunja maneno ya kifalme, this time arround unabii unaenda kukamilika..."Niliona ndege yao ikiungua angani"
" Ndege Yao ikiungua angani".
Ameeeen
 
Ndomana members walianza DHARAU d.ste maana walikuwa wanajijenga wao Si Nchi.

KAZI alikuwa akifanya uncle ilikuwa ni Kwa maslah ya members, watu wanatukana tu bila kujua.

Ile dst ya Mchonga inarudi na kitabu kitasaidia kampuni kupaa tena.

Kitabu kipya before 2028!!! Aliye juu amewafunulia Walio wake kitabu kuja 2026!!!!

Raha sana kuwa agent wa Mbinguni.

Ameeeeen.
Tukazane kuomba wanga wasifanikiwe kutufarakanisha na mbingu...Hao hata kama hawatataka watafanya kama robbots...Its done once and forever.

I know the God I serve, He is ye and AMEN!
 
Back
Top Bottom