X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo mchoma mahindi tu yuko hapo kibaigwa,ninamfahamu vizuri
Siyo kwel mbag unamjuwa unazugaBranch manager Ni Nani nmeshndwa kumjua
Awali ulishoboka kua hawez kurud na akirud uitwe mbwa , mbona ww hujakoma kuitwa mbwa?Story za kishamba na uongo uongo mna shadadia sana Yoga naona hujakoma eee
Kwel nimeshindwa kumjua, nambie ht kwa mafumboSiyo kwel mbag unamjuwa unazuga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninaamini mtalinda usalama wa vidole vinavokoment HUMU jamvini!kumbukeni tunachangia uchumi KWA kununua MBS!HATUFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE
Duh....Sasa issue ya Kova uliisikia? Yeye ndo aliitwa Ikulu na boss wake then wakafanyiwa kama wapo kwenye meeting na late CEO, kumbe LATE CEO akiwazuga kulikuwa na mzigo wa magendo unatakiwa kupita sehemu fulani mida hiyo,
na mzigo ni wa mzee wa msoga! Ukafika mda ule mzigo kupita ukazuiwa askar, wale vijana wabeba mzigo wakapiga simu kwa mabos zao, mzee wa msoga akafikishiwa taarifa kuwa wamezuiwa, Mzee wa Msoga akaruka hewani kwa Elnest Mangu, hapo wakiwa kwenye kikao na late CEO! simu ziko mezan maana LATE CEO aliwaambia simu ziwekwe mezani!
Mangu alimwambia usipokee kwanza, simu ikakata baada ya kukata simu ikaita kwa Kova kwa namba ileile msoga, sasa kova akaambiwa pokea weka Loud ikabidi afanye hivo maana ni agizo tena! Sasa pale MZEE WA msoga hajui kitu akaanza kulalamika mbona mbona Mangu hapokei simu na vijana kule mnawapa shida? Basi kova ikabidi aseme ywapo kwenye kikao na No. 1.
Baada ya hapo walifunguka yote na ndiyo maana Kova alistaafu kwa hiyari.
Usione Msoga anamsema vibaya mzee wa Chato anachukinae kwenye mengi
nipo temeke.
Ni hadithi, hadithi tamu..Ninaamini mtalinda usalama wa vidole vinavokoment HUMU jamvini!kumbukeni tunachangia uchumi KWA kununua MBS!
Hata HIVYO hii ni story!
Hizi wine hizi zimeua wengi!!
Unakumbuka ya mchonga et?😉😉😉Hizi wine hizi zimeua wengi!!
Mchonga na wine ilikuwaje mkuu?Unakumbuka ya mchonga et?😉😉😉
Makonda wa daladala dala, wanashindwa kulala lala...Branch manager Ni Nani nmeshndwa kumjua
Dah itabid nianze kusoma story tena ili niweke files SawaMakonda wa daladala dala, wanashindwa kulala lala...
Kwamba huajelewa?Dah itabid nianze kusoma story tena ili niweke files Sawa